Akaunti ya Facebook ya Alfred Mutua, Waziri wa Ajira Kenya imejaa post za nafasi za kazi kwa Wakenya nje. Pitia ya Riziwani ujionee


Huko Qatari usidhanie wanaenda tu Kienyeji
 
Bongo hakuna Uneemployment? mnachekesha sana, au Graduate wakaendeshe Bodaboda?
 
Serikali imewahi tangaza labor deals huko arabuni mkaanza kusimanga viongozi kwamba wanaenda Kufa ya Watoto Wenu mayaya hamuendi.

Shenzi kabisa tafuteni wenyewe
 
Una uhakika? Nikuoneshe post za mabalozi wakionesha fursa za masoko, biashara na elimu?
 
Serikali imewahi tangaza labor deals huko arabuni mkaanza kusimanga viongozi kwamba wanaenda Kufa ya Watoto Wenu mayaya hamuendi.

Shenzi kabisa tafuteni wenyewe
kenya Serikali yao inatafuta sio kwa Waarabu tu, hadi Ulaya, Ujerumani, Uk na kule Australia, sasa onyesha kazi za Serikali ilizo watafutia
 
... Asilimia 10 kwenye Halimashauri zeinde kwa vijana wajiajiri. ...
Ashauri serikali ishushe Kodi na tozo za kuanzisha Biashara zinazotengeneza ajira nyingi. Watu wengi Wana ubunifu mwingi wa kutengeneza ajira lakini wakiwaza kutekeleza ubunifu huo kwa vitendo wanakata tamaa.
 
Punguza na acha upuuzi wewe mjinga mmja Waziri Kikwete: Fursa za ajira kwa vijana nje ya nchi kipaumbele cha Serikali ya Rais Samia
 
Ni sisi watanzania ndio tuna matatizo, wala sio Ridhiwani.mfano kuna jamaa angu flani hana ajira hapa mtaani,ana ndugu zake wako marekani wakawa wamemfanyia mpango kumvuta jamaa nae aende marekani kupambana,you know what jamaa amekataa kwa visingizio vya kijinga eti hawezi kukaa mbali na wazazi wake,nikajisemea at age ya 30s bado jitu linawaza kukaa mbali au karibu na wazazi kweli?
 
sikiliza hizo ni kazi za muda mfupi sio proffesional job, vipi za Ujerumani? Uchawa unawasumbua sana nyie
Kinachoongelewa hapa ni kusiifia ukurasa wa Waziri Mutua kujaa post ya fursa za kazi, wakati huko Kenya inapondwa...hizo fursa za Ujerumani ni suala la muda ukweli utajulikana, mpaka sasa tetesi zinazunguka ni siasa za Ruto na hakuna la maana...Wanasiasa wa Kenya wapo vizuri kwenye optics ukifuatilia mambo kwa juu juu utasema wanafanya mambo ya maana ila ni upuuzi ule ule wangekuwa hapa Tanzania ambapo majority ya Raia hawana uwezo wakutumia akili ingekuwa ni rahisi sana....kwa jinsi unavyokaza kichwa kumtetea Mutua na Ruto unazidi kuonyesha usahihi wa kauli ya Jomoe Kenyata aliyemuambia Nyerere kuwa anaongoza maiti lakini yeye anaongoza binadamu waliolala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…