Akaunti ya Instagram ya mange Kimambi yapotea hewani; yarudi hewani baada ya masaa kadhaa

Status
Not open for further replies.

Dume zima hovyooooo bonge la aibu , Mange nyoko nyoko unabana hadi pia ,kwendraaaaaaaa hamumuwezi Mange hata mkeshe makaburini
 
Hahahahahahaaah mtoa post acha uongo kuna account kibao zinaitwa kwa jina la mangekimambi na akaunti ipo hewan kama kawa na followers ni wale wale yawezekana wewe umechek hzo account nyingne, na post ya mwisho ni ya last 1 hr
 
mmh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa maana hiyo unataka kusema serikali inashirikiana na mafia?!
Dhidi ya RAIA zakr?!
 
sawa bhana...
 
Mbona yupo full hewani?

au ndio imeshakuwa Mali ya watu wasiojulikana!
 
Hahahahahah huwezi cheza na Serikali ina mkono mrefu,bye bye Mange Kimambi.Ile simu nokia 8 imekuponza.Nimeamini bora ukose mali kuliko kukosa akili.
Ipo acha kuweweseka dada
 
Du kwahiyo simu mpya ndo imeleta mambo? Lakini mbona kama alisema alii change
 
Hahahahahah huwezi cheza na Serikali ina mkono mrefu,bye bye Mange Kimambi.Ile simu nokia 8 imekuponza.Nimeamini bora ukose mali kuliko kukosa akili.
hii sred nayo isije kuwa mtego ili watu watoe comments mbaya watafutwe, wacha mimi nikae kimya.
 
TIME WILL TELL,PICHA NDIO LIMEANZA !!

Yeye alidhani ' Wanamume ' wamenyamaza tu hakuna kinachoendelea. Sasa ameingia ' patamu ' sana na soon tutapumzika na ' upuuzi ' wake ambao kwa kiasi kikubwa sana umesaidia kuharibu ' maadili ' ya Kizazi kikubwa cha hivi karibuni na kuichafua ' taswira ' ya nchi ' abroad '.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…