Akaunti ya Instagram ya mange Kimambi yapotea hewani; yarudi hewani baada ya masaa kadhaa

Akaunti ya Instagram ya mange Kimambi yapotea hewani; yarudi hewani baada ya masaa kadhaa

Status
Not open for further replies.
one day her ass will be under safe hands! keep watching.
 
Na hata ' waliomtaimu ' nao wanataka arudi ili sasa wamalize ' Kazi ' kabisa. Hata katika Mafunzo ya ' Kimedani ' unapotaka kupambana na ' adui ' mahiri na mjanja mjanja yakupasa unapoanza kupanga ' mikakati ' ya kumkabili uandae kama aina Tatu za ' mbinu mashambulizi ' na lazima zote ziwe ' Kabambe / Hatari ' ila zenye kuleta matokea chanya na yenye mafanikio Kwako. Hapo kilichofanyika ni ' Kumshtua ' tu ili waone atarudije hatimaye sasa tuseme mengine na tusonge mbele kuiletea maendeleo Tanzania yetu na Afrika ya Mashariki nzima. Tahadhari zote za kama je kama akirudi itakuwaje zimeshachuliwa na sasa ' Wataalam ' akina Mafia na System wamekaa tu wanamsikilizia ' ajipendekeze '.
Tuliaaa mbwembwe nyingi kama upoo jikoni loooh!;!
 
Acha upwayaya, sio rahisi kihivyo. Account ya Mange ina point ya blue pale angalia kwa makini. Sio level yako kabisa, na haiwezekani kufutwa hata Trump anajua.
 
Mkuu huyu jamaa nimemjibu!!! Ana kadegree ka St hivi vyuo vya hovya cha uandishi wa habari anajidai najua wakati ni BOGUS!!!aka MORON
Hahaha nakaangaliaga tu maana huwa sichangii humu sana. Huwa kanaandika kwa kushindilia wino utafikiri kana uhakika na kanajua kanachoandika
 
haters mange amerudi mnatumia soda gani tuwalipie
Hajarudi hapo imerudi ili nyie wa hide my ID mkamatike vizuri.Mjue zile milioni sita sita zikikusanywa zitasaidia sana kwenye maendeleo.
 
Mimi nampenda sana Mange,tatizo ukikomenti right kabisa ila sivyo anavyotaka yeye anakublock.Kuna habari za ukweli na za uongo pia huwa anapost.Ila mwisho wake umefika.


bado unae? karudi hewani nasikia
 
Nimekuwa nafikiri labda kuna tatizo upstairs, sijui lkn kwani kuna wakati aliamua kumvua nguo mzazi mwenzie na mwisho wa siku ikawa hata yeye alijidhalilisha kabisa bila sababu yoyote ya msingi, kisa HASIRA.
Mange siyo mzima na shida nahisi maisha yanamvuruga alikuwa na mbwembwe Sana wakati yuko na mzungu na zile biashara zake za nguo,Sasa hivi ndoa hana biashara hana lazima awaonee wivu wakina Zari
 
sawa bhana...

Yaani kabisa Mkuu na Wewe leo unajifanya hujui what's going on kwa huyo Mwanamke? Ama hakika kuna Watu humu JF mnajua ' Kuzuga ' na kutaka ' Kuwaaminisha ' Watu kama mpo nao katika ' harakati ' zao na ' mapambano ' yao wakati ukweli ni kwamba nyie ndiyo ' Mafundi Mitambo ' wenyewe. Haya bhana Mkuu nimekuelewa ngoja Mimi ninayekujua ' Kindakindaki ' nikuache na nisikuharibie bure ' Majukumu ' yako. Nisalimie huyo Dada aliyekuzoea Wewe sana hapo ' unapowajibika ' kuliko Wafanyakazi wengine wote. Mwambie tu GENTAMYCINE anamsalimia sana na pia nimemmisi ile kinoma.
 
Hajarudi hapo imerudi ili nyie wa hide my ID mkamatike vizuri.Mjue zile milioni sita sita zikikusanywa zitasaidia sana kwenye maendeleo.
point yako ni nini labda coz wew mwenyew unamchungulia every seconds? hahahaha obsesed fun[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mnadhani ndo mtasababisha watu wasiotumie fact walizonazo?
 
Mods ondoeni huu uzi sio relevant tena
cc Invisible, Mod Two, Mod One, Rider
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom