Akaunti ya Instagram ya mange Kimambi yapotea hewani; yarudi hewani baada ya masaa kadhaa

Akaunti ya Instagram ya mange Kimambi yapotea hewani; yarudi hewani baada ya masaa kadhaa

Status
Not open for further replies.
Usipende kudanganywa kirahisi,
Mange alivyopewa ile simu aliipeleke apple store wakampa ya rangi nyingine.
Hapo wewe ccm makondaktako na mange nani ana akili?
Hapa unakuja kushangilia eti mange katumiwa simu? Usidhani kama mange ni kiazi kama mlivyo nyinyi.
Soon atacome back.
Na funny enough mange haachagi history kwenye DM yake.

Jipe moyo na endelea ' Kujidanganya ' hivyo hivyo na ' Kuwadanganya ' wale ' Mapopoma ' wa Masuala ya Kimafia na System ila kwa wenye ' akili ' tayari tumeshaanza kunusa ' danger ' hapo na nimesema kama hata Yeye ni ' mjanja ' kwa sasa ' auchune ' kwani ' upepo ' si mzuri Kwake sasa. Ushauri wangu ni huo tu tafadhali.
 
ha ha ha ha ha ha system bwana wameisha m fix hawa jamaa hawashindwagi jambo
 
Mi nkajua wamempata kumbe wamefungia account!!!! Yule tayari ni maarufu akifungua nyengine atapata watu kibao
 
This time harudi na akirudi arudi kwa device nyingine,akitumia ile iphone 8 alopewa zawadi ni kazi bure.Nimeamini Mange hana akili ya kufikiria kabisa.
kumbe hana uwezo hata wakununua device nyingine duh .device gharama sana
 
Sema usemavyo na semeni mtakavyo ila 40 zake zimeshakaribia / ameshajaa katika 18 na ndipo mtajua siku zote ' Kolabo ' za Kimafia na System hazijawahi kushindwa lolote / chochote na kumuacha Mtu salama duniani kote. Ogopa sana pale ambapo unajitutumua kumshambulia na kumtusi Mtu kwa nguvu zako zote halafu Yeye kanyamaza tu ' Kishindo ' chake baada ya hapo huwa ni ' Kikali ' na ' deadly ' too.
Acha ujinga wewe, hakuna mtu serious wa Taasisi ile nyeti anazurura mitandaoni kutisha watu hivi, you are nothing , just a merely dog looking for the bones, acha kutisha watu wazima wenzio kishamba.

Halafu kwajinsi mlivyo na akili nyepesi mnashangilia eti account haipo kwani kurudisha account inahitaji Us dollars ngapi? Au Visa? Halafu hamjiulizi anaweza kuidiactive mwenyewe tu simple. Am not her fun ila nimefikiri mnaofurahia hii issue mkapimwe akili.
 
Wape moyo Wajinga na Wapumbavu ila hapo tayari mission has been accomplished na najua umeshajua what next. Yeye alijua watakaomfuatilia watakuwa ' Waafrika ' wenzie wakati wenye ' akili ' zao wamempandikizia ' Marafiki ' kibao tena Wazungu na ndiyo wanamaliza Kazi taratibu. Hii ni ya Kwanza na soon watakamilisha ya pili kisha ' tutaheshimiana ' hapa mjini. Ukimya wa yule unayemsumbua, kumuonea na kumdhalilisha huwa unakuwa na majibu yenye ' Kishindo ' Kikali sana na huwezi amini.

Kwa jinsi ninavyokujua najua fika umeshajua what happened na what next juu yake ila humu unawazuga tu Watu wajue upo nao katika ' masikitiko ' kumbe unawasanifu tu.
Tatizo unajifanya unajua
Ya TL cjuh yalishia wap
 
Mimi nikiingia insta nakutana na account zake zaidi ya tano!![emoji116]
 

Attachments

  • IMG_20171016_145632_170.JPG
    IMG_20171016_145632_170.JPG
    32.9 KB · Views: 31
Mimi nampenda sana Mange,tatizo ukikomenti right kabisa ila sivyo anavyotaka yeye anakublock.Kuna habari za ukweli na za uongo pia huwa anapost.Ila mwisho wake umefika.
Umefika vipi? Kwakuwa anamchukia mtu tunayempenda na kumtukana rais wetu matusi ndio tuutake mwisho wake?
 
hahahshahahaaha,kumbe amezoea kuhongwa,hahaha hahaha hahaha usawa huu wa magufuli lazima utumike.
hahah hahahha
 
Mbona ipo hewani, nimeona kuna post ya 2 hrs ago. Wana JF tuwe watu wa kutafuta fact kwanza.
Lilikuwa jambo dogo la kucheck Instagram kuprove. Watu walivyokuwa wanatiririka [emoji23][emoji23][emoji23].
Imerudi sahivi
 
Mange anatikisa Tanzania. Yani ac yake imepotea hewani kwa saa moja na kurudi tayari imekua news ya kubamba headlines
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom