Endelea kujidanganyaNani kakuambia ?Mange hamiliki tena hiyo account,imerudi ili wale wa please hide my ID mkamatwe vizuri.
Uvccm wamevurugwa.Mbona iko hewani? Au kufutwa ina maana gani kwako. Pia it's easy to have more than one page on one device.
Bado yupo hizo ni propaganda tu ngoja aendelee kuwasumbuaMimi nikiingia insta nakutana na account zake zaidi ya tano!![emoji116]
ExactlyNaona followers wake wanalia hapa eti atafungua nyingine. Tatizo sio kufungua nyingine,tatizo ni kupata followers milion 2 kwa muda mfupi. Maana wale followers wengi aliwavuta kwa kumtukana lowassa kisha,mafufuli,msiba wa ivan,mimba za zari etc
Kama ile fb uliyonayo. Tena naijua jina lake na wewe nakufahamu vizuri tumwisho wapi wewe yupo hewani halafu acc za insta mimi kwenye simu yangu ninazo 6
kesharudi zamani, manake watu wameongea wee, nadhani sasa limewashuka, aisee watu wamebwabwaja nilikuwa nasoma na kucheka tu,Haaaa kuna ma IT humuu ngoja tusubiri wakati utimie,atarudi tuu nadhani
Hujui lolote, we n mburula tu unaejiita gentamycin,,,,, unaandika ushuz tu huku jf,,, just shut up
Kajambe uko huna hata haya, ona uso ulivyokushuka kwa kushushuka.Nyie nendeni na hide my ID.Mtashitukia defender ya police inawafuata.
Acha umbea wewe kula urojo ukalaleNani kakuambia ?Mange hamiliki tena hiyo account,imerudi ili wale wa please hide my ID mkamatwe vizuri.
Ngoja aendelee kukunyoosha na aliekutuma...kumbe anawanyima usingizi huyu dada mnatamani afe?!Mwambieni aingie ista live kama kweli ni yeye.
sijawahi msikia akiingia insta live, tangu nimeanza kumjua, aibu yako, ungetulia kwanza kabla ya kuleta uzi victwaMwambieni aingie ista live kama kweli ni yeye.
Acha ujinga wewe, hakuna mtu serious wa Taasisi ile nyeti anazurura mitandaoni kutisha watu hivi, you are nothing , just a merely dog looking for the bones, acha kutisha watu wazima wenzio kishamba.
Halafu kwajinsi mlivyo na akili nyepesi mnashangilia eti account haipo kwani kurudisha account inahitaji Us dollars ngapi? Au Visa? Halafu hamjiulizi anaweza kuidiactive mwenyewe tu simple. Am not her fun ila nimefikiri mnaofurahia hii issue mkapimwe akili.
Yani wewe bado kufunguwa kilinge tu uwe mchawi kamili.Muulizeni what happened kama atawajibu,na kuwa hewani siyo kwamba yeye ndo anayo.
Ngoja aendelee kuwasumbuaUvccm wamevurugwa.
Da Mange yupo kajaa tele
Juzi tu hapo watu wame hack na mwenye akakiri.kweli ile iPhone it's either hajaijulia kuitumia vizuri au c salama ila Yule ni akili kubwa wanasubiri kalala ndo wanamuotea wameshajaribu sana kumuhuck wakashindwa uzuri huwa hadeal na maIT anadeal na macontroler wa IG ngoja ashtuke usingizini kama hajairudisha