Tatizo hapa ni hili. Atafungua ingine na within a daya itakuwa na wafuasi wengi zaidi.Na pengine sasa ata hire experts wa kumshauri, na itakuwa ngumu zaidi . mkiendelea fanya sana atareport instagram kuwa mnafuta accounts za watu.Wataanza ban watu wa serikali taratibu.Mishowe watabaki wengine waki enjoya issue za mange bila break.Alikuwa na followers milion karibia mbili,ni pigo sana kwake,tulimpenda ila Iphone 8 imempenda zaidi.Wale wa hide my name mjiandae.Astagallafullah.
Siyo official hii,yake ilikuwa na followers milioni na ushee.
hajawahi kuwa na official acc.nadhani kama ni kumkomesha bado hawajafanikiwaSiyo official hii,yake ilikuwa na followers milioni na ushee.
Yaani wamempata kirahisiii,wangemkosa hapo wangemtumia mzungu wakampa ma hela akamtongoza basi anapatikana very simple.
Ndio lazma wajulikane.... inshort imekula kwao pia why walimuamini kwa kiasi kubwa yule swine.....Wale waliokuwa wanamtumia information si watajulikama kama mtego ni simu?
Hao walioidukua kwa sasa wanacheza na DM yake tu,sasa kwani si anafungua nyingine tu? hahaha panya ukimzuia hapa anatoboa tundu lingine anaendea kwingine
Duh, unalia kama uko msibani vile.Tatizo hapa ni hili. Atafungua ingine na within a daya itakuwa na wafuasi wengi zaidi.Na pengine sasa ata hire experts wa kumshauri, na itakuwa ngumu zaidi . mkiendelea fanya sana atareport instagram kuwa mnafuta accounts za watu.Wataanza ban watu wa serikali taratibu.Mishowe watabaki wengine waki enjoya issue za mange bila break.
Wale waliokuwa wanamtumia information si watajulikama kama mtego ni simu?
Aisee.....Alikuwa na followers milion karibia mbili,ni pigo sana kwake,tulimpenda ila Iphone 8 imempenda zaidi.Wale wa hide my name mjiandae.Astagallafullah.
Mbona iyo iphone alisema kabisa kaenda kuibasili apple store na kapewa nyingine. Alioletewa kaiacha dukaniThis time harudi na akirudi arudi kwa device nyingine,akitumia ile iphone 8 alopewa zawadi ni kazi bure.Nimeamini Mange hana akili ya kufikiria kabisa.
LAKINI MBONA ALISEMA ALIENDA KUBADLISHA RANGI KUAVOID HABARI HII??? yaani kama alikua tu anajishaua uwezo wa kubadili hana... hahahhahahahah famba sanaHahahahahah huwezi cheza na Serikali ina mkono mrefu,bye bye Mange Kimambi.Ile simu nokia 8 imekuponza.Nimeamini bora ukose mali kuliko kukosa akili.
unampaisha sana adeal na macontroler kwa umaarufu gani au heshima gani anayo katika dunia hii???kudeal na macontroler hiyo ni special favour na haitolewi tolewi tuu ilimradi umejisikia tuu.kweli ile iPhone it's either hajaijulia kuitumia vizuri au c salama ila Yule ni akili kubwa wanasubiri kalala ndo wanamuotea wameshajaribu sana kumuhuck wakashindwa uzuri huwa hadeal na maIT anadeal na macontroler wa IG ngoja ashtuke usingizini kama hajairudisha
Na anavyopenda wababu wa kizungu asingeweza kutoboa kwa huo mtego.....Yaani wamempata kirahisiii,wangemkosa hapo wangemtumia mzungu wakampa ma hela akamtongoza basi anapatikana very simple.
Kazi gani?Anajifanya ana akili, mbinu na ujanja wakati kumbe ni mweupe tu mbele ya wanaojua majukumu / kazi zao walizozibobea kisawasawa.