Jipe moyo tu.Sikuwahi kukuweka kwenye orodha ya wachawi hapa JF lakini leo umethibitisha umecolifie.
Kwa taarifa yako kutoka anapoishi Mange na ofisi za Instagram zilipo ni kama kutoka Mwenge kwenda Posta na issue kama hizi mamtoni ni kama wewe unavyokwenda kwenye tigo shop kuripoti matatizo ya simu yako.
Hili ukae ukilijuwa vizuri kabisa na ujiandae kisaikolojia maana punde atakaporudi hewani kama una mimba changa isije ikapuruchuka kwa ugonjwa wa Mangephobia.
wee jamaa bhana....unajua kila kitu,nchi hii hakuna usichokijua...ningeshangaa sana kama ungepitwa na hili.
Hivi wewe mpaka leo bado hujui kama kuna translator kwenye internet?hahahaha na yale matusi?? maana c mpaka waelewe kilichoandikwa
Wanaelewa sana wale wakiamuahahahaha na yale matusi?? maana c mpaka waelewe kilichoandikwa
Huyo baadae anarudi mtaniambia cz sio mara yake ya kwanza kupotea hivyoAnajifanya ana akili, mbinu na ujanja wakati kumbe ni mweupe tu mbele ya wanaojua majukumu / kazi zao walizozibobea kisawasawa.
kwani zile information ni za uongo ama kutunga ??Wale waliokuwa wanamtumia information si watajulikama kama mtego ni simu?
kuliwa denge nini?Alishaliwa ' denge ' Kimafia siku nyingi sana ila Yeye kaja ' Kushtukia ' mchezo ndani ya wiki mbili hizi wakati imekuwa ' its too late '. Na hiyo si dalili njema Kwake kwani anything can happen at anytime. Sijawahi kuonaa ni wapi ' Mafia ' wakiungana na ' System ' kukutafuta wakakukosa. Na waliotumika kummaliza ni hao hao Watu anaodhani ni ' Marafiki ' zake kumbe ndiyo ' Nyoka ' wakubwa Kwake. Moja ya Kanuni ' Kuu ' ya Kimafia na Kijasusi popote pale duniani mbele ya potential target ' yao ni ama kumtumia Rafiki yake wa karibu sana au Ndugu yake ( mwana Familia wake ) katika kulifanikisha wanalolitaka na huwa hawakukosi katika hayo mawili hata ufanyeje. Na nina uhakika kuna Watu wengi sana ' yatawakuta ' makubwa siku zote ukiwa katika ' Mapambano ' makali ukitaka kulishinda Kundi fulani basi Kwanza anza na yule the ' Strongest ' wao kisha kuwamaliza hawa wengine inakuwa ni kama tu ' Kuteremka ' na Gari Mlima Kitonga bila kuliwasha na linatiririka na kuserereka lenyewe tu hadi chini.
Na wewe tunakufuta kiufundi JF![emoji1][emoji1][emoji1]Mange page yake imefutwa kiufundi,alitumiwa simu akajuwa zawadi kumbe mtego.
Kosa hilo.Sio Nokia, alipelekewa iPhone na mtu asiejulikana akaipokea na kuanza kuitumia,
Mbona alisema ile simu alienda kuibadilisha apple storeAlikuwa na followers milion karibia mbili,ni pigo sana kwake,tulimpenda ila Iphone 8 imempenda zaidi.Wale wa hide my name mjiandae.Astagallafullah.
wee jamaa bhana....unajua kila kitu,nchi hii hakuna usichokijua...ningeshangaa sana kama ungepitwa na hili.
Mimi uniachaga hoi pale anapomsasambuwa Le kubwa jingaz halafu anamalizia na msonyo wa Harmorapa.Mkuu matusi yake ya kawaida Sana huyo dada
Jack of many trades, master of none..wee jamaa bhana....unajua kila kitu,nchi hii hakuna usichokijua...ningeshangaa sana kama ungepitwa na hili.