Akifanya mzungu inaitwa 'Teknolojia', akifanya Mwafrika inaitwa 'Uchawi', kwanini inakuwa hivi lakini?

Akifanya mzungu inaitwa 'Teknolojia', akifanya Mwafrika inaitwa 'Uchawi', kwanini inakuwa hivi lakini?

Wewe umewahi kuona mtu akiruka na ungo, una ushahidi gani?, hivyo vingine ni tricks tu, ila kwakuwa huijui ndio unaita "uchawi', hiyo trick usiyoijua ndio technique/technology yenyewe
Kabla sijaingia kwenye mjadala naomba kukuuliza; hivi unajua tofauti ya "sayansi" na "uchawi"?
 
Uchawi ni imani, a belief just kama religion, but haina practicality or huwezi ku touch wala ku prove

Mzungu process inaonekana kuanzia mwanzoni mapaka product, na inaonekana imekuwaje mpaka imetokea.
Tech sio imani, ni actual science
Actual science sababu unajua na kuelewa, hii unayoita technology, ingefanyika miaka 500 tu nyuma kwa wasioelewa, ungechomwa mtockwa uchawi..
 
Kabla sijaingia kwenye mjadala naomba kukuuliza; hivi unajua tofauti ya "sayansi" na "uchawi"?
Sayansi ni ujuzi na maarifa. Uchawi ni sayansi usiyoijua, ukiijua inakuwa sayansi. Nje ya hapo ni imani potofu zisizothibitika, mfano kuoaa na ungo, sio uchawi wala sayansi, ni imani potofu tu, haman kitu kama kupaa na ungo.
 
Back
Top Bottom