Akikuonya uachane na mkewe, acha usilazimishe yasikukute kama haya

Akikuonya uachane na mkewe, acha usilazimishe yasikukute kama haya

Nimeoa mkuu lakini mke wangu akichepuka siwezi kufanya huo ujinga hata siku moja.

Mtu umeshamuacha tayari alafu unaendelea kumfaatilia mkuu?
Kama huyo mke alikuwa anabakwa sawa lakini kama anafanya kwa ridhaa yake naona jamaa alipanick sana
Sikukatalii kwamba hujaoa ila inawezekana umeoa kiwepesi sana say mahari 50,000 na gharama za ndoa 150,000 hapo mke hawezi kukuuma.

Ila kama umeoa kwa mbinde tena kwa kuhustle miaka kadhaa ili uoe... Ndugu yangu mke anauma kuliko msiba. Mtu anafiwa halii lakini kusalitiwa analia kwa kuomboleza jamaa yangu
 
9
Mtoa mada anachukulia vitu simple sana yaani anadhani kwa kuwa ni ajali itachukuliwa lightly tu kuwa ni ajali wakati nia ya muuaji ilikuwa inaeleweka
Inaeleweka kwa sababu umesoma na kumhukumu mtendaji/muuaji.

Ila vyombo husika vinajua hiyo ni traffic case! Wala hapo hamna usimpo wowote.

Uliza wenye ujuzi watakusidia au la uliza askari yeyote unaemfahamu atakuelewesha vizuri na utaelewa
 
Sio tu mawazo ya vijiweni mimi pia ninayo kesi ya traffic, pia rejea kilichotokea kwa Chenge ile ilikua ni murder sema sababu ni barabarani ndo imekua traffic case..itakua unazungumzia mambo ya actus reus na mens rea...
Huyo jamaa ni mbishi na haelewi sheria ilivyo.
 
Pole sana kwaiyo wewe upo radhi kuacha ndoto zako kisa Mapenzi lazima kichwani kuwe na tatizo. Kama mkeo hakutaki si umpe tarala?
Si umeambiwa keshawaonya sasa kwa nini wasiuliwe. Mapenzi yanaua mwenye chake mwache ukimnyanganya mtanyanganyana
 
Hii stor itakuwa ya kutunga tu, yaan una mpnz uache gar wakuletee pikipiki guest, kwel??
Ukiachana na wizi hio haipo
Yani unaconclude kabisa eti haipo!

Unajua alipanga kuitumia kwa sababu gani?
Mimi na ww hatujui dhamira yake ilikuwa nini hivyo badala ya kubisha ni bora kupokea kama lilivyo mana tukio limetokea na watu wamelia
 
Wanaume kama huyo jamaa nawaonaga wapumbavu sana yaani.
Mke anauma lakini haujazaliwa nae tumbo moja.

Hivi hawajiulizi kwa nini wale tuliozaliwa nao tumbo moja ni haramu kuwaoa?
Kwa sababu ukimuoa dada yako ama shangazi yako alafu ukahisi kuna mtu anakuchukulia,wivu unakuwa spidi kali sana.

Tunawaoa wasiokuwa wa damu moja kwa moja yaanintunawaoa wale ambao damu hazijaingiliana sana kuepusha wivu wa kipumbavu kama huu wa kuua,mtu umekutana nae tu ukubwani unamuoa alafu unajifanya una wivu sana mpaka una muua ina maana wakati wote alikuwa anaishi kwa ajili yako mpaka sasa uone hafai kuishi?

Akikusaliti na ulishamuonya sana basi jua hakutaki,unachotakiwa kumhukumu ni kumwbia aendee kwa anayemchepukia.huo ndo uamuzi wa kiume japo utaumia lakini maumivu yana karibisha amani mbeleni.

Jamaa mpuuzi sana yani ila sawa.

Jamaa bwege sana yani kajipatia dhambi ya bure kwa jambo la kijinga sana.



Wanaume wenzanguu eee
"dont make a parmanent decision over a temporary circumstance"

N:B. Mke anauma

This is what we call self awareness and Self Actualization. Big up Mkuu
 
Oa kwanza ili ujue nini kinapelekea hayo maamuzi. Tena nakusihi Oa mwanamke ambae uko responsible nae 100% na unampenda kiasi kwamba kumsaliti huwezi ama unamtunzia heshima kuliko kitu chochote kwa namna unavyompenda na kumthamini. Trust her by 100%

Waliooa malaya wenzao hawawezi kuelewa chochote zaido ya kumuona jamaa kituko.

Napingana na wewe nigga ila ninacho shauri tuwe na Self love kwanza, kuhusu kufanya kama alivyo hadithiwa aliyeua inatokea sababu ukiwekeza sana kwa mtu yeyote lazima roho ikuume sana kwahiyo cha kuepuka ni kuwekeza sana kwa binadamu pia si lazima iwe binadamu lakini jambo lolote ambalo utalipa asilimia kubwa ya hisia zako na akili zako

Mental healthy ni kitu muhimu kwenye maisha yetu ya uzima Binafsi nisingeweza kufanya kama huyo muuaji
IMG_2048.JPG
 
Ishu kama hii iliwai kutokea ukonga maeneo ya moshibar pale relin mjeda alikuwa na .mchepuko wake anahuudumia kwa kila kitu akaja kusikia mchupuko wake unamegwa na kijana muuza mahindi ya kuchoma pemben ya balabala mjeda akatoa onyo lakin kijana hakusikia siku ya siku mjeda akachukua gari yake adi mbele ya muuza mahindi gar ikiwa inaangaliza usawa wa muuza mahindi alifanya nini sijui au ndo mbinu za jeshi ile gar ikawa kama ilonasa vijana tulokulia uswahilin tunasema Inaslip akaita vijana waje waisukume maana imenasa kumbuka gar inasukumwa kwa mbele alipo muuza mahindi vijana ile kuisukuma tu jamaa kachochea mafuta kibat kagonga jiko muuza mahindi adi maind yenyewe mungu alikua upande wake muuza mahindi kapona ila alichokuja kumfanyia bola muuza mahindi angekufa kwa ajal ya ile gari mhhh aligeuzwa nyama za mishkaki

Nb.wanaume ikifika stej adi mwanaume mwenzio kufunga safar kuja kukupa onyo Msikilize awe mke au mchupuko achana nae...
 
Wewe unaonekana ni mchepukaji tu kama huyo aliyeuliwa (ndege wafananao huruka pamoja).Nasema hivi, mwenye mke yupo sahihi,tena ilipasa aondoke kabisa na mizoga yao akapike nyama.NA WEWE ENDELEA KUCHEPUKA NA WAKE ZA WATU,DAWA YAKO IPO JIKONI INACHEMKA.
KAKA NA WW NI MUHANGA NN UBASEMA ANGEENDA AKAWALE KBSA😂😂
 
Napingana na wewe nigga ila ninacho shauri tuwe na Self love kwanza, kuhusu kufanya kama alivyo hadithiwa aliyeua inatokea sababu ukiwekeza sana kwa mtu yeyote lazima roho ikuume sana kwahiyo cha kuepuka ni kuwekeza sana kwa binadamu pia si lazima iwe binadamu lakini jambo lolote ambalo utalipa asilimia kubwa ya hisia zako na akili zako

Mental healthy ni kitu muhimu kwenye maisha yetu ya uzima Binafsi nisingeweza kufanya kama huyo muuaji
View attachment 1096130
Ndio hivyo sasa mzee, we ulivyo sio yule alivyo. Power ya reasoning yako sisawa na ya yule. How people fall inlove with others is suh differento
 
Ishu kama hii iliwai kutokea ukonga maeneo ya moshibar pale relin mjeda alikuwa na .mchepuko wake anahuudumia kwa kila kitu akaja kusikia mchupuko wake unamegwa na kijana muuza mahindi ya kuchoma pemben ya balabala mjeda akatoa onyo lakin kijana hakusikia siku ya siku mjeda akachukua gari yake adi mbele ya muuza mahindi gar ikiwa inaangaliza usawa wa muuza mahindi alifanya nini sijui au ndo mbinu za jeshi ile gar ikawa kama ilonasa vijana tulokulia uswahilin tunasema Inaslip akaita vijana waje waisukume maana imenasa kumbuka gar inasukumwa kwa mbele alipo muuza mahindi vijana ile kuisukuma tu jamaa kachochea mafuta kibat kagonga jiko muuza mahindi adi maind yenyewe mungu alikua upande wake muuza mahindi kapona ila alichokuja kumfanyia bola muuza mahindi angekufa kwa ajal ya ile gari mhhh aligeuzwa nyama za mishkaki

Nb.wanaume ikifika stej adi mwanaume mwenzio kufunga safar kuja kukupa onyo Msikilize awe mke au mchupuko achana nae...
Ila hyo muuza mahindi akusoma alama za nyakati umekoswa na na gari na mbaya wako bdo tu unaendelea kugegeda so aligeuzwa kisusio
 
Basi labda tuko tofauti sana mkuu.
Mimi binafsi wivu ninao lakini napingana sana na wanaosema wanaweza kuuwa kisa mkee.

Huwenda tumeumbwa tofautiii,mke hawezi kuniuma kiasi nimtoe uhai.

Kama yeye ndo furaha yangu,nikimuua nitaipata wapi furaha?
Kama nakubali kwamba yeye ni furaha yangu basi vipi nimuue?
Kama sio furaha yangu sasa huo wivu unatoka wapi?
Au ni kukomoa na kulipa kisasi?

Hakuna mantiki juu ya hilo,ni roho ya kipuuzi na kikatili tu ambayo mtu imemjaa kutokana eidha na mazingira alozaliwa au namna alivyojikuza...

Alafu kuhusu mahari ya kuolea labda nikudokeze jambo moja kwambaa.... Haina maaana ya kwamba kutoa mahari kubwa ndo unampenda sana mwanamke,na wala haina maana kutoa mahari ndogo haumpendi mwanamke.

Kama ni hivyo basi jua kwamba uliyemuoa kwa mahari kubwa hakupendi kwa nini ujuee ? Kwa sababu kama anakupenda mahari kubwa ya nini ?
Kakupenda wewe ama kazipenda pesa zako ?

Hivyo kama umeoa kwa mahari kubwa basi tafsiri yake(kwa mujibu wa kauli yako)ni kuwa huyo mke hakupendi na kama hakupendi kwa nini asichepuke kutafuta anaowapenda?

Kwa sababu si ndo tunasema mwanamke anayekupenda wewe hajali pesa zako wala hakuombi ombi pesa,sasa iweje mwanamke anayekupenda atake mahari nyingi ?
Basi kwa huo msemo wako jua kwamba akitaka mahari kubwa hakupendi na hapo zinduka wewe sasa uone kwamba kama anataka mahari kubwa =hanipendi.na kama hanipendi basi nikimuoa atachepuka kuwatafuta anaowapenda.

Ebu kuwa siriaz mkuu haya mambo siriaz usiingize mzaha kabisaa

Huyo asisingizie wivu kabisa.
Sikukatalii kwamba hujaoa ila inawezekana umeoa kiwepesi sana say mahari 50,000 na gharama za ndoa 150,000 hapo mke hawezi kukuuma.

Ila kama umeoa kwa mbinde tena kwa kuhustle miaka kadhaa ili uoe... Ndugu yangu mke anauma kuliko msiba. Mtu anafiwa halii lakini kusalitiwa analia kwa kuomboleza jamaa yangu
 
Ni siku tatu sasa tumemaliza mazishi ya watu wawili; Mwanamke na Mwanaume na wote walikufa siku moja kwa tofauti ya masaa tu.

Maneno mengi yalisemwa ila kubwa na lililoteka hisia za wengi ni hili....

Mwanamke aliekufa ni mke wa mtu na mwanaume aliekufa alikuwa ni mseja yani kamtaliki mkewe hivyo akawa na mahusiano na mke wa mwenzake.

Mwenye mke alijua mahusiano yao, akamuonya mkewe ila mwanamke hakusikia.
Mwenye mke akaona ni vyema amfuate mume mwenzie na kumuonya ila mwanaume akampiga mwenye mke na kwa nguvu ya pesa akamweka kolokoloni.

Kesi ikakosa nguvu jamaa akatoka na kukuta bado mkewe analiwa kama kawaida.

Hakuwabugudhi akawaacha.

Mwenye mke nae alikuwa na marafikk wenye magari, jumatano,akaazima gari la best yake na alipewa.

Hakuna aliejua lengo ni nini.

Mkewe nae akaaga nyumbani, akapakiwa kwenye gari la mchepuko na kwenda lodge kisha mchepuko akaita dereva na kurudisha gari yeye akabaki na pikipiki aliokuja nayo dereva wake,wakapigana miti tani yao, jioni wakapakiana kwenye pikipiki na kuanza kurudi walipofika maeneo ya 4way(Dodoma),wakapata ajali ya kugongwa na gari vibaya sana yani mke na mchepuko wake.

Mchepuko alikufa palepale na mwanamke alifia njiani akipelekwa hospital ya mkoa(Genero).

Aliegonga ndie mwenye mke akiwa na gari la kuazima.

Sasa mjuavyo kesi ya kugonga na kuua ni kama hamna kesi hivi(madereva wanafahamu).

Tumezika huku mabaharia tukiwa tumepata funzo kubwa sana.

Usijifariji kwamba maziwa unayo geto, vidosho ni wengi anaegarimikia mke muache na mkewe
Ilitike lini hii mbona sijaisikia na 4wayz Hapo ndo maeneo yangu ya kujidai mkuu?
 
Kaua kizembe sana kwa jambo la kizembe sana.
Napingana na wewe nigga ila ninacho shauri tuwe na Self love kwanza, kuhusu kufanya kama alivyo hadithiwa aliyeua inatokea sababu ukiwekeza sana kwa mtu yeyote lazima roho ikuume sana kwahiyo cha kuepuka ni kuwekeza sana kwa binadamu pia si lazima iwe binadamu lakini jambo lolote ambalo utalipa asilimia kubwa ya hisia zako na akili zako

Mental healthy ni kitu muhimu kwenye maisha yetu ya uzima Binafsi nisingeweza kufanya kama huyo muuaji
View attachment 1096130
 
Sikukatalii kwamba hujaoa ila inawezekana umeoa kiwepesi sana say mahari 50,000 na gharama za ndoa 150,000 hapo mke hawezi kukuuma.

Ila kama umeoa kwa mbinde tena kwa kuhustle miaka kadhaa ili uoe... Ndugu yangu mke anauma kuliko msiba. Mtu anafiwa halii lakini kusalitiwa analia kwa kuomboleza jamaa yangu
Mke anauma KULIKO nn Mzee😂😂😂
 
Mshahara wa dhambi ni mauti "Bible verses"
Wanaume kama huyo jamaa nawaonaga wapumbavu sana yaani.
Mke anauma lakini haujazaliwa nae tumbo moja.

Hivi hawajiulizi kwa nini wale tuliozaliwa nao tumbo moja ni haramu kuwaoa?
Kwa sababu ukimuoa dada yako ama shangazi yako alafu ukahisi kuna mtu anakuchukulia,wivu unakuwa spidi kali sana.

Tunawaoa wasiokuwa wa damu moja kwa moja yaanintunawaoa wale ambao damu hazijaingiliana sana kuepusha wivu wa kipumbavu kama huu wa kuua,mtu umekutana nae tu ukubwani unamuoa alafu unajifanya una wivu sana mpaka una muua ina maana wakati wote alikuwa anaishi kwa ajili yako mpaka sasa uone hafai kuishi?

Akikusaliti na ulishamuonya sana basi jua hakutaki,unachotakiwa kumhukumu ni kumwbia aendee kwa anayemchepukia.huo ndo uamuzi wa kiume japo utaumia lakini maumivu yana karibisha amani mbeleni.

Jamaa mpuuzi sana yani ila sawa.

Jamaa bwege sana yani kajipatia dhambi ya bure kwa jambo la kijinga sana.



Wanaume wenzanguu eee
"dont make a parmanent decision over a temporary circumstance"

N:B. Mke anauma
 
Back
Top Bottom