Basi msalimieSina hela.
Hahahahaha...mkuu ni kweli hii? Kuna mdada juzi kaniambia hivi mie nikabaki kujibu..poa poaDem ndo mmejuana juana siku moja mbili tatu hivi. Hujaweka clear intention yako kwake ila mkikutana au mkipigiana simu mnaongea mnafurahi.
Hata kama mmejuana muda mrefu. Ila hamjuani kiundani hasa katika eneo la mahusiano. Ni workmate wako pengine, ila recently mmekuwa na ukaribu sana na utani utani wa hapa na pale.
Ikatokea siku katika mazungumzo yenu yakutaniana taniana mliyoyaibua juzijuzi, mwishoni akikuaga akakwambia 'Msalimie wifi', bro, wala hata usijihangaishe kuwaza anamaanisha nini. Ameshakuelewa huyo. Anakutengenezea njia upite nae.
ππππ dah! Sawa wanafunzi wa Fidel CastorSina hela.
Dah! Ushajichanganya tyr winga πππNyuzi za hv muwe mnaandika mapema sasa!
Mtaa naokaa tuna siku kadhaa maji hamna Jana jioni ikabidi nikatafute hata ya chumvi ili nisurvive, mda narudi na ndoo zangu mbili nkakutana na wadada wakaniuliza mbona unachota maji usiku wifi hayupo?
Haina haja ya kumaliza maneno Mkuu, omba appointment tu mengine utajiongeza kwenye huo mtokoHahahahaha...mkuu ni kweli hii ? ...kuna mdada juzi kaniambia hivi mie nikabaki kujibu..poa poa
Sasa usije kuniponza nikasema maneno ya moyoni nikajikuta nakula kibuti kingine cha mbavu
Sipigwi hela hapo?Tafuta namna mtu wangu. Tafuta namnaπ
Kama hamjui huyo wifi anaemsalimia huyo keshakuelewa anakuanzishia mpira.Hahahahaha...mkuu ni kweli hii ? ...kuna mdada juzi kaniambia hivi mie nikabaki kujibu..poa poa
Sasa usije kuniponza nikasema maneno ya moyoni nikajikuta nakula kibuti kingine cha mbavu
Mmmmh...usinitie mtegoniHaina haja ya kumaliza maneno Mkuu, omba appointment tu mengine utajiongeza kwenye huo mtoko
Aiseee! Ungekuta saiv npo na mtoto wa mtu Mbudya IslandDah! Ushajichanganya tyr winga πππ
Hahahahahaha....kwahiyo nimalizie mpira uliokufa ?Kama hamjui huyo wifi anaemsalimia huyo keshakuelewa anakuanzishia mpira.