Akikwambia 'msalimie wifi', imeisha hiyo mtu wangu

Akikwambia 'msalimie wifi', imeisha hiyo mtu wangu

Dem ndo mmejuana juana siku moja mbili tatu hivi. Hujaweka clear intention yako kwake ila mkikutana au mkipigiana simu mnaongea mnafurahi.

Hata kama mmejuana muda mrefu. Ila hamjuani kiundani hasa katika eneo la mahusiano. Ni workmate wako pengine, ila recently mmekuwa na ukaribu sana na utani utani wa hapa na pale.

Ikatokea siku katika mazungumzo yenu yakutaniana taniana mliyoyaibua juzijuzi, mwishoni akikuaga akakwambia 'Msalimie wifi', bro, wala hata usijihangaishe kuwaza anamaanisha nini. Ameshakuelewa huyo. Anakutengenezea njia upite nae.
Yes,
Uko sahihi kabisa,
hiyo ni anakupa signal kwamba jimbo liko wazi na kwakweli unakaribishwa haraka sana wakati wowote for everything 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Muwe mnasema mapema sasa mbona nimeshakutana na hiyo hali na sikushtuka?

 Mimi: utanipigia baadae kunijulisha imeendaje

Yeye: Mi naogopa kupigia simu mabwana za watu unataka wifi anizingue

Mimi: hamna wifi labda huyo wifi uwe wewe

yeye: uongo huo yani hadi leo wifi awe hayupo? Siamini

Mimi: kama huamini basi ntatafuta ili awepo

Nilipiga mpira nje wakati nimeshaingia kwenye box
 
Nyuzi za hv muwe mnaandika mapema sasa!

Mtaa naokaa tuna siku kadhaa maji hamna Jana jioni ikabidi nikatafute hata ya chumvi ili nisurvive, mda narudi na ndoo zangu mbili nkakutana na wadada wakaniuliza mbona unachota maji usiku wifi hayupo?
Msela 1: "Hayupo nitafutie basi, lakini naona wewe unanifaa zaidi"
Msela 2: "Hayupo , afu siku moja uje unisaidie kupika nibadili chakula."
Msela 3: "Sina mtu, wewe njoo nitembelee tu"
Mkuu unajibuje hapo nipe materio
 
Back
Top Bottom