Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
🥰🥰🥰Thanks MI AMOUR much love 🌹❤️💋
Btw, Wifi hajambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥰🥰🥰Thanks MI AMOUR much love 🌹❤️💋
Ww sema una appointment na mawifi leo 😂😂😂Majivu siendi kupakwa bn maji hamna taogea nn
Hajambo kabisa😍🥰🥰🥰
Btw, Wifi hajambo?
We njoo tu tumalizaneMkuu Wifi hajambo?
Bila shaka kaja PM tayari, huyu kijana anapenda sana ngonoMkuu Wifi hajambo?
😂😂 Valentine ya zawadi tu hamna 🍑🍆Ww sema una appointment na mawifi leo 😂😂😂
Msalimie sana❤️❤️Hajambo kabisa😍
🤣🤣😘kumbeSina hela.
ZimefikaMsalimie sana❤️❤️
Ana maanisha nini?Haijaisha hio mkuu anauliza swali kijanja hapo
Msalimie shem....hahahahahahaMsalimie sana❤️❤️
😂😂Nyuzi za hv muwe mnaandika mapema sasa!
Mtaa naokaa tuna siku kadhaa maji hamna Jana jioni ikabidi nikatafute hata ya chumvi ili nisurvive, mda narudi na ndoo zangu mbili nkakutana na wadada wakaniuliza mbona unachota maji usiku wifi hayupo?
Unajibu KARIBU .. usiongeze nenoMkuu unajibuje hapo nipe materio
Watoto wa siku hizi bwana. Yaani unakuwa duanzi mpaka demu ndiye aanze kukutupia kijembe? Bila shaka hapo anakuwa ameshaona hili li-jamaa kila saa linaniletea story za ''maza yangu ni mkali kweli nikichelewa kurudi nyumbani'' akaona signal uzinduke kwenye uduanzi.Dem ndo mmejuana juana siku moja mbili tatu hivi. Hujaweka clear intention yako kwake ila mkikutana au mkipigiana simu mnaongea mnafurahi.
Hata kama mmejuana muda mrefu. Ila hamjuani kiundani hasa katika eneo la mahusiano. Ni workmate wako pengine, ila recently mmekuwa na ukaribu sana na utani utani wa hapa na pale.
Ikatokea siku katika mazungumzo yenu yakutaniana taniana mliyoyaibua juzijuzi, mwishoni akikuaga akakwambia 'Msalimie wifi', bro, wala hata usijihangaishe kuwaza anamaanisha nini. Ameshakuelewa huyo. Anakutengenezea njia upite nae.
hapo kuna kautata, unaweza kumpoteza ukitumia hio kauli, huwa wanasema "msalimie mama"Hahahahaha...hivi na sisi tukisemaga msalimie shemeji...huwa tuna maanisha hv hv ? au
Unawatafutia watu matatizo nakumbuka niliambiwa hivyo na mtu muhimu sana alafu sikutegemea km atanirushia hicho kimsemo nikamuuliza umesema akaniambia mdogo wako wa kike, duuuh sikuweza kufungua hio code mpaka kesho kumbe ndio hivyo?mwishoni akikuaga akakwambia 'Msalimie wifi', bro, wala hata usijihangaishe kuwaza anamaanisha nini. Ameshakuelewa huyo. Anakutengenezea njia upite nae.