Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

Hivi ww hujapitia shule unazani 100 ukiiwekeza utapewa milioni Moja kila siku watu wanawekeza Vodacom hisa za bilioni tatu kwa mwaka anapewa asilimia 12 kwa mwaka NAZANI KATIKA BIASHARA BADO SANA KUNA DUKA LA UJENZI MILION MIA UKIIWEKEZA ukitoa pango,vibarua,Kodi na hali ya biashara nabikiwa na laki 9
 
Hii biashara ni kweli pasua kichwa lkn ina uwakika wa kuingiza hela mara tu gar ikiingia road

Nimeifanya kwahiyo naijua vizur sana,kikubwa uwe na dereva mzuri,fundi mzuri hapo biashara utaiweza

Dereva mzuri ataepusha ajali zinazo tokana na uzembe wa kipumbavu na kutunza chombo chako,siku moja nilipanda daladala jinsi lilivyokuwa linaendeshwa yaani uchungu nilipata mimi na lau kungekuwa na namba za mmiliki ningemwambia huyu dereva hafai kabisa

Uwe na dereva ambaye anaweza.kukomaa mwenyewe kwa mda mrefu,hawa deiwaka wanaharibu sana gari kwakuwa ni deiwaka hawajali,ila dereva ambaye anajua haya ndio maisha yake atakitunza chombo

Fundi mzuri naye ni jambo muhimu sana,ila ukiwa na fundi kanjanja ujue utakwama,gari kila siku ikiwa inarudi gereji ujue hapo utakwama,walau ikikomaa kwa siku tano kwa wiki hela utaiona

Ukifanikiwa hapo hakika hela utaiona sana tu,zingatia service kwa wakati,kwa kawaida kila baada ya wiki mbili
 
Hiyo ni Mali yangu Sasa hivi au ndio maana unahasira na Mimi mkuu atoae ni mungu hahahaha ndio nimepata jibu kwanini unachuki pambana tu na Hali yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bado hujakuwa nazani ukishika hata MILION 10 unazani ukiiwekeza kwa siku utapewa laki 5 au sio wakati ukiiwekeza hata kaduka la nguo MILION kumi Kuna siku huuzi hata mia Moja Africa Bado sana ndugu lakini ukikuta utajua
 
Na hapo hapo Kuna siku huuzi hiyo laki 9 sio kwa siku kwa mwezi jomba
 
Sio poa kabisa, kuna patrick trans, rondo na dommy....hawa watakua n mabingwa sana pande hzo za usafirishaji mana gari zao unakuta znafatana njia zote zipoo
 
Biashara za gari hazitaki njaa, hata biashara za mabasi unaanza kuingiza faida baada ya miaka miwili kwa wastani, hizo ni biashara ya watu waliokwisha jitafuta kiuchumi, we na mkopo wako wa M 100 unataka hadi sukari utoe kwenye mapato ya gari pole sana.

Na biashara maajabu yake , ukiona biashara in return kubwa ufahau pia una risk kikubwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…