milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Tatizo Elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stori yako ni ya uongo tupuWacha nitoe niliyokutana nayo kiuhalisia kabisa ana kwa ana mbivu na mbichi kutoka jikoni.
1. Taasisi niliyokuwa natumika, kulikuwa na mbaba anabiashara ya malori ya kubeba mizigo kwenda mikoani. Muda wa kuanzia saa nne asubuhi, muda wa lanchi mchana na kuanzia saa kumi muda wa kurudi nyumbani... huyo baba alikuwa anaongea na simu za madereva na mafundi yaani alikuwa mkali kwenye simu hadi unahisi nikipita karibu yake atanisweka kibao au mbata. Utamsikia, nakwambia wewe na huyo utingo wako ntawaweka ndani na kabla sijawaweka ndani nawakata mapanga kwanza halafu linafuata tusi.
Wafanyakazi wenzie tulimzoea hasa kinamama, tukawa tunaambizana, biashara hizi za kufanya upande presa waachie wanaume wenyewe misiwezi, mali yako halafu kupata hela/malipo hadi ugombe/uwe mkali.
2. Huyu dada aka mshangazi, alizaliwa pekeyake na alilelewa na mama yake tuu hakuwahi kumjua baba yake wala ndugu upande wa baba. Mama yake alipofariki alimuachia nyumba hapo Sinza, akaja kuipiga bei ili apate mtaji afanye biashara......!!!🙄🙄🙄
Alianza kuuza mkaa anaagiza mkoani aulete Dar auze kwa jumla, akatapeliwa kaletewa magunia 10 yote chenga na unga wa mkaa... sehemu ya mtaji ukalala hapo. Akashauriwa anunue daladala DCM ya ruti ya Mbagala Kawe hiyo hela ya mauzo ya wiki anatoboa maisha. Kaingia wanguwangu sijui aliuziwa milioni ngapi ile daladala ila ilikuwa used na inafanya ruti hiyohiyo Mbagala Kawe, aliletewa hesabu ya wiki moja tuu ambayo nayo alilipia matengenezo ambayo hayakuisha baada ya hapo gari ikawa juu ya mawe haitengenezeki.
Pesa iliyobakia akajenga huko ukanda wa Tegeta nyumba haikuisha iko kwenye lenta haina milango wala madirisha akahamia...
Maisha yanatisha acha tuu.
3. Miaka 4 kabla sijastaafu nilimfata baba mmoja hapo kazini nikamwambia nataka nianzishe biashara ya uber ninunue ist moja used nitafute dereva niwe naingiza hela ya thupu. Akaniambia dada yangu Kasinde, biashara ya magari ni kichaa, sikushauri dada yangu hiyo biashara inataka ujitoe ufahamu kwelikweli. Kwanini usifungue duka la vyakula au madawa. Nikaachana na habari ya kununua it for uber, saa hii uongo maisha alhamulilah 🙏, can't complain.
Brother mambo sio mepesi kiasi hichoKweli hiyo million 100 niliingia nayo chimbo Ngara kununua mahindi au maharage miezi mitatu inakuwa ishazaa million 100 nyingine
Kweli wazungu wanahaki ya kuita mtu mweusi nyani kama ndio akili hiiMtu anae toa 100ml kununua the said coaster uyo sio mwenzako hana njaa ndo maana kaitoa kununua unacho dai hana akili..
Narudia tena mkuu Mimi sijakusababishia umasikini usinichukie 🤣🤣🤣🤣🤣Umeona sasa
Nimekuambia wewe ni immature person ambaye upo financial broke ambaye umekosa mwelekeo unatafuta matumaini mitandaoni
Kiwanja ulikipata,?Narudia tena mkuu Mimi sijakusababishia umasikini usinichukie 🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu mbona unhasira na Mimi sijakusababishia huo umasikini wako lakini pambana tu na Hali yako ndio maisha hayo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unaidharau laki moja huku unatafuta kiwanja tena cha hatua kumi na ...mbwa wewe...
Ungekua na pesa ungetafuta likiwanja skweamita hata elfu mbwa wewe ujenge bangaloo fala wewe umetoka kwenye bajaji ulipoitukana hio biashara vijana waliojiajir nayo sabbab unanskia uchungu kuwaona wenzio wanajishuhulisha wewe umekalia mapumbu kwa shemej hapo unasubir akultee chakula mbwa wewe, umehamia kwa wenye kosta, wao wana kosta, wewe una nini zaid yamapumbu christopher paul.
Naihitaji Kiwanja cha miguu 13x13 Kibaha, Pwani
Kama kichwa Cha habari kinavyosema Naihitaji Kiwanja miguu 13x13 ya hatua kubwa kibaha jaribu na barabarani bahitaji pia nijue ni bei gani nipo serious wadauwww.jamiiforums.com
Ndio nimekipataKiwanja ulikipata,?
Hahaha ni kituko🤣🤣🤣Binadamu tuna akiri ya ajabu sana, na hiyo hela una kuta haijatokana na Costa. Sasa badala kuimarisha biashara iliyo mpa hiyo 100m, mtu anaenda kununua au kuingia kwenye biashara nyingine
Wewe umewekeza kiasi gani kwa biashara ipi? Usikute wewe hata basikeli mbovu huna alafu unamwita mtu anaenunua coaster eti "kichaa"Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
Hahaha kumbe inaizidi milion 100 akili Gani hii na bima umekata unalipia Kila mara inamaana uwekezaji umezidi milion 100 Ili upewe laki 1 aisee mtu mweusi akili hana🤣🤣🤣🤣Kwan Bima kazi yake ni nn? Hv niweke 60/70m na najua chombo kinapiga kazi daily alafu nisikikatie bima? Kwanza iyo mizinga ipo kwenye vyombo vya moto tu? Huo mzinga wa mafremu ya kariakoo umeusahau? Kuungua? Fremu kuvunjwa (wizi). Kaa ukijua hamna baishara isiyokuwa na risk na ukichaa.
Samahani mkuu ulishawahi kumiliki hata guta Ili nijue unaufahamu Gani kwenye haya mambo ya usafiriWewe umewekeza kiasi gani kwa biashara ipi? Usikute wewe hata basikeli mbovu huna alafu unamwita mtu anaenunua coaster eti "kichaa"
Hamna kitu kichwani huyo ni boxJe
Na wale wanaonunua nyumba 250m alafu anapangisha kwa 250k kwa mwezi au 300k?
Wewe umekuja kuropoka humu kua ni biashara ya "kichaa", taja biashara unayoona inafana kwa hiyo bei vinginevyo unataka thread intrend na kutafuta attentionSamahani mkuu ulishawahi kumiliki hata guta Ili nijue unaufahamu Gani kwenye haya mambo ya usafiri
Jibu swali ushawahi kumiliki hata guta la kubebea nyanyaWewe umekuja kuropoka humu kua ni biashara ya "kichaa", taja biashara unayoona inafana kwa hiyo bei vinginevyo unataka thread intrend na kutafuta attention
Ujanja nunua yaliyopiga 3yrs matajiri mfano Abood au Shabiby ndio wanafanya .....ukiwa nazo 4 unajenga jina njia na wewe unaimgia kununua mpya....haifiki 300m.....nakupa number dealer soon +8618837100965 +255 625 836 833. All the bestM
mmmmh youtong 250M?
Siyo 400M
Milioni 100 unachukua costa mbili na gari nyingine ndogo.Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50.
Aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani.
NitumieUjanja nunua yaliyopiga 3yrs matajiri mfano Abood au Shabiby ndio wanafanya .....ukiwa nazo 4 unajenga jina njia na wewe unaimgia kununua mpya....haifiki 300m.....nakupa number dealer soon
Unapigaje hessbu weweMilioni 100 Yale itanchukua miaka 10 kuirudisha