Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

Binadamu tuna akiri ya ajabu sana, na hiyo hela una kuta haijatokana na Costa. Sasa badala kuimarisha biashara iliyo mpa hiyo 100m, mtu anaenda kununua au kuingia kwenye biashara nyingine
kuna biashara zinafika climax haziongezeki tena wateja.
real invester must have multiple income sources.
 
Biashara kichaa hiyo
Sasa ingekuwa biashara kichaa isiyo na faida si watu wangelishaacha kununua na usafiri ungekuwa shida!
Na kila kukicha kila njia zinazidi kijazana maanake Kuna faida ndo maana watu wanazidi kufanya biashara hiyo.
Wewe ima unataka kuwekeza huko Ila umeleta ili upata taarifa kijanja
Au unataka uambiwe namna gani watu wanakusanya hela kwa biashara hiyo ...

Usisahau hakuna tajiri au mfanyabiashara yoyote duniani ATAKUAMBIA namna ya kupata faida hayupo so sidhani mtego wako Kama utawanasa watu humu.,😂
 
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
Labda victor costa wa simba ndo milioni 100
 
Biashara kichaa hiyo
We kiazi kwanza sio mfanyabiashara. Hamnaga mfanyabiashara anayekaa kuponda business za wenzake. Kama ulikua hujui hamna biashara isiyokuwa na risk wala ukichaa. Ukute hata leseni ya udereva huna kazi kuponda business za usafirishaji, na ukute hzo costa ndo unazipanda kila cku. Endelea na ajira yako tu.
 
fatilia vizuri hii biashara mkuu, usije na hesabu za juu juu.
wengi wanaofanya daladala ya kuingiza 100k kwa siku hawanunui hiyo bei. wengi wanakimbilia nissan civilian 55M hadi 60M. aliyejiongeza atatoa 70M apate ile old na hesabu kwa gari mpya 130 hadi 150k inategemea na route.

wanaonunua hizo za M100 wanafanya special hire ama tlb ya kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine na hesabu zake zinavuka 200k kutegemea na route.

ukija njoo na unachokifaham usije na maneno ya kuambiwa utakatisha watu tamaa wanaotaka kuwekeza kwenye hii biashara.
Bado hajabeba maiti na utalii
 
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani

Kuna coaster ya 100m kweli?
 
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
Kwani Kodi ya meza bei gani,kwanini usitueleze kwa kuipenda ccm tumewekeza bei zaidi ya trillion za Musk na bado bajeti ya trillion 50 hatujafikia na hata nusu,jasho linagonga Kizmkazi,my friend watu wanapambania ada,Kodi ya meza na kutoka out kidogo vacation yenyewe nchi hii ni uchawi,hebu tuanzie kwenye ccm ya parachichi kilo kwa miatano na kutapakaa kwa matapeli hai kila Kona huenda hicho unachoamini pia ni utapeli buda.
 
Naona watu bado wanahitaji Sana Financial and investment education,

Shida Sio unaingiza kiasi Gani cha pesa per day, shida Sio unawekeza kiasi Gani kama capital.
Kwanza tunaangalia risk ya kupoteza origin capital.
Ukichukua 100m unainvest kwenye duka ni rahisi Sana kupoteza mtaji wote kwasababu costumers ndio wanadetermine money flow kwenye biashara yako

Tofauti na biashara ya usafirishaji ambapo money floor inategemea na root zako kila siku.

Kingine watu wanahangaika kutafuta passive income( with little supervision)

Sasa MTU ameinvest 100m let's say kila day anapata 100k hapo ameshatoa gharama zote za uendeshaji wakati huo huo ana comprehensive insurance kuna shida Gani??

Hatuangalii Biashara inatoa shingapi tunaangalia tunabiashara ngapi ambazo zinatoa faida kidogo kidogo Ila tukijumlisha tunapata Hela nyingi na biashara hizo zinajiendesha na kuna kuwa na uhakika wa mtaji wetu kuwa safe
Very true,. Vinginevyo Kila biashara itaonekana haifai,.
 
M
Ungetoa ushauri akiwa 100m afanye nini ....toa options watakushukuru.....costa kawaida ni 60m inarudi miaka 2.5....gari inakaa miaka 5 ....una change engine ....rekebisha bodi inapiga tena miaka 5....ni mzunguko tu....TaTa 120m ....inaleta 200k....Yutong 250m ....inaleta less 2mil likijaa ni suala mzunguko tuuu.....Costa za Special.Hire ni 85m ...zina mzunguko wake pia
mmmmh youtong 250M?
Siyo 400M
 
Vipi ikipiga mzinga ikabaki skrepa
Kwan Bima kazi yake ni nn? Hv niweke 60/70m na najua chombo kinapiga kazi daily alafu nisikikatie bima? Kwanza iyo mizinga ipo kwenye vyombo vya moto tu? Huo mzinga wa mafremu ya kariakoo umeusahau? Kuungua? Fremu kuvunjwa (wizi). Kaa ukijua hamna baishara isiyokuwa na risk na ukichaa.
 
Back
Top Bottom