Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

hakuna uwekezaji mwepesi. Dangote bilionea na anawashauri wa biashara lakini kwenye cement akakutana na za uso.

hii ni biashara ambayo ina high risk, but ukiweza kumanage inafaida nzuri. gari nyingi zinarudisha mtaju mwaka na nusu. then baada ya hapo uza. utakachouza ndo faida yako.

kuweka utt 70M na kuweka gari road. after 1year na nusu kwenye gari ukiuza umekosa sana 40 inategemea na utunzwaji wa gari. nambie utt kama inafika hyo.
Vipi ikipiga mzinga
 
ChiefGodlove,ChristopherPaul15,
Football,bora uje na hizo ID zako tu ili uendeleze matusi kuwatukana watu na kujifanya wewe ni tajiri,

Kwa akili hizo,wewe huwezi kufanya hata biashara ya Genge kuuza Nazi.
Unacosta ngapi mkuu mbona hasira 🤣🤣🤣🤣🤣
 
hakuna uwekezaji mwepesi. Dangote bilionea na anawashauri wa biashara lakini kwenye cement akakutana na za uso.

hii ni biashara ambayo ina high risk, but ukiweza kumanage inafaida nzuri. gari nyingi zinarudisha mtaju mwaka na nusu. then baada ya hapo uza. utakachouza ndo faida yako.

kuweka utt 70M na kuweka gari road. after 1year na nusu kwenye gari ukiuza umekosa sana 40 inategemea na utunzwaji wa gari. nambie utt kama inafika hyo.
Kama unanunua gari ili uuze sio bora ukafanya biashara ya kununua na kuuza magari?
 
Back
Top Bottom