Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbili za kuchora kwenye daftari.Unacosta ngapi?
Watu wanarahisisha mambo tuKwakweli nilishafanyaga ujinga huu ,ni upuuzi mtupu ,total wastage of money
Hizi ni hesabu za karatasi, ingia groundHii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
Basi endelea kuzichora zifike 100Mbili za kuchora kwenye daftari.
Mfano: Papaa fololoHii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
Unacosta ngapi?Uwoga wako ndio umasikini wako.
Unacosta ngapi mama?Kwa hizi akili zako hakuna biashara utaweza wewe.
Huoni kwamba utajiri utanielemea?Nihurumie nichore ziwe tatu tu.Basi endelea kuzichora zifike 100
Siongelea maneno ya vichochoroni naongelea fact na evidence kwenye transportation and logistics..We umefanya hiyo biashara tuanzie hapo naona unarahisisha tu
Wewe unazo ngapi?Unacosta ngapi?
Hahahaha 🤣🤣🤣Mfano: Papaa fololo
Idadi ya Costa: 50
Makadirio ya manunuzi Mil 100@ Costa.
Hesabu ya Boss: Tsh 100,000 kwa siku.
Tutumie siku 360 ( 1 year).
Jumla ya Manunuzi ya Costa Tsh 100,000,000 * 50 = 5,000,000,000/= ( Billion 5)
Hesabu ya Boss
1 Costa Tsh 100,000 * 360 = 36,000,000
36,000,000 * 50( idadi ya Costa)
= Tsh 1,800,000,000 ( 1.8 B) per year kwa 50 Costa
Kila kitu kina plan, let use 5 year plan
1,800,000,000 * 5 = 9,000,000,000 ( Billion 9)
Billion 9 Toa Manunuzi ya Billion 5
Faida ni 4,000,000,000/=
Gawanya kwa miaaka 5, inamaana kila mwaka anaingiza faida ya Mill 800 ambapo kwa siku anaingiza Faida ya million 2. 22
Hapo sijaweka matengenezo makubwa na madogo. Nime assume hakukuwa na matengenezo makubwa kwa miaka 5.
Hesabu ngumu sana, hapo nahisi nimeboronga. Mnisamehe tu.
Unacosta ngapi mbona unapaniki?Wewe unazo ngapi?
Na zimekutia hasara kiasi gani na kwa muda gani?
Kwahiyo wote wenye hayo magari Barabarani hawana akili ila wewe peke yako ndio una akili?
Hasira za nini mkuu Mimi sijakusababishia umasikini ulionao 🤣🤣🤣🤣Huyo dogo ni jobless ambaye kasoma elimu ya dumu fagio.
Anajiita Chief God love Ana I'd kibao zote ni miaka ya 2024 na 2023
Nimeona hapo haelewi kuhusu bima
So kichwa kimejaa matusi
hakuna uwekezaji mwepesi. Dangote bilionea na anawashauri wa biashara lakini kwenye cement akakutana na za uso.ni uwekezaji mgumu. Itachukua miaka miwili kurudisha pesa. Mwaka wa 3 ndo faida itaanza.
Vipi hiyo hiyo hesabu inaingia akili au inagoma😂Hahahaha 🤣🤣🤣
Umeona sasaHasira za nini mkuu Mimi sijakusababishia umasikini ulionao 🤣🤣🤣🤣