Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
Costa Japan ni milioni 40 hadi 50, ikiwa nzuri zaidi ni 60M. Hiyo ya 100 jko wapi?
 
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani

Mkuu kwani ukiwa na akili wewe tu si inatosha?
 
Hatuangalii Biashara inatoa shingapi tunaangalia tunabiashara ngapi ambazo zinatoa faida kidogo kidogo Ila tukijumlisha tunapata Hela nyingi na biashara hizo zinajiendesha na kuna kuwa na uhakika wa mtaji wetu kuwa safe
Deep.
 
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
Ni upuuzi
 
fatilia vizuri hii biashara mkuu, usije na hesabu za juu juu.
wengi wanaofanya daladala ya kuingiza 100k kwa siku hawanunui hiyo bei. wengi wanakimbilia nissan civilian 55M hadi 60M. aliyejiongeza atatoa 70M apate ile old na hesabu kwa gari mpya 130 hadi 150k inategemea na route.

wanaonunua hizo za M100 wanafanya special hire ama tlb ya kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine na hesabu zake zinavuka 200k kutegemea na route.

ukija njoo na unachokifaham usije na maneno ya kuambiwa utakatisha watu tamaa wanaotaka kuwekeza kwenye hii biashara.
PIa wenye kufanya hizi biashara hawawezi kuwa na gari moja kuwa moyo wake wote ameweka kwenye hiyo gari.
 
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
Mbona mabasi yanagharamiwa mil 400 mengine lakini hayaleti mil zaidi ya mil 10 kwa mwezi?

Mbona nyumba zinajenga kwa mil 350 lakini hazileti mil zaidi ya mil 24 kwa mwaka?

Waache watupe huduma ,kwa fikra hizo akuna ambaye angewekeza huko na tusingepata usafiri nafuu.

Biashara ambayo inakupa Gawio la 20% kwa mwaka sio mbaya,mbaya ni inayokupa chini ya asilimia 11% na haidumu kwa miaka zaidi ya 10
 
Wacha nitoe niliyokutana nayo kiuhalisia kabisa ana kwa ana mbivu na mbichi kutoka jikoni.

1. Taasisi niliyokuwa natumika, kulikuwa na mbaba anabiashara ya malori ya kubeba mizigo kwenda mikoani. Muda wa kuanzia saa nne asubuhi, muda wa lanchi mchana na kuanzia saa kumi muda wa kurudi nyumbani... huyo baba alikuwa anaongea na simu za madereva na mafundi yaani alikuwa mkali kwenye simu hadi unahisi nikipita karibu yake atanisweka kibao au mbata. Utamsikia, nakwambia wewe na huyo utingo wako ntawaweka ndani na kabla sijawaweka ndani nawakata mapanga kwanza halafu linafuata tusi.

Wafanyakazi wenzie tulimzoea hasa kinamama, tukawa tunaambizana, biashara hizi za kufanya upande presa waachie wanaume wenyewe misiwezi, mali yako halafu kupata hela/malipo hadi ugombe/uwe mkali.


2. Huyu dada aka mshangazi, alizaliwa pekeyake na alilelewa na mama yake tuu hakuwahi kumjua baba yake wala ndugu upande wa baba. Mama yake alipofariki alimuachia nyumba hapo Sinza, akaja kuipiga bei ili apate mtaji afanye biashara......!!!🙄🙄🙄
Alianza kuuza mkaa anaagiza mkoani aulete Dar auze kwa jumla, akatapeliwa kaletewa magunia 10 yote chenga na unga wa mkaa... sehemu ya mtaji ukalala hapo. Akashauriwa anunue daladala DCM ya ruti ya Mbagala Kawe hiyo hela ya mauzo ya wiki anatoboa maisha. Kaingia wanguwangu sijui aliuziwa milioni ngapi ile daladala ila ilikuwa used na inafanya ruti hiyohiyo Mbagala Kawe, aliletewa hesabu ya wiki moja tuu ambayo nayo alilipia matengenezo ambayo hayakuisha baada ya hapo gari ikawa juu ya mawe haitengenezeki.
Pesa iliyobakia akajenga huko ukanda wa Tegeta nyumba haikuisha iko kwenye lenta haina milango wala madirisha akahamia...
Maisha yanatisha acha tuu.


3. Miaka 4 kabla sijastaafu nilimfata baba mmoja hapo kazini nikamwambia nataka nianzishe biashara ya uber ninunue ist moja used nitafute dereva niwe naingiza hela ya thupu. Akaniambia dada yangu Kasinde, biashara ya magari ni kichaa, sikushauri dada yangu hiyo biashara inataka ujitoe ufahamu kwelikweli. Kwanini usifungue duka la vyakula au madawa. Nikaachana na habari ya kununua it for uber, saa hii uongo maisha alhamulilah 🙏, can't complain.
Kuna mshua ana malori anaweza kuwa kijiweni na wenzie mara dereva wake anatokea kwa mbali kwa miguu mzee anaanza kutukana 'we ms@@@@nge mwanaharamu k@@@@@@yo ishia huko huko usiniletee balaa! Ha ha ha ha. Lakini kuna watu wanaimudu hii biashara acha tu. Kuna majirani zangu Wapemba huwa nawaoana nje ya nyumba yao yenye uwanja mkuuuuuubwa wanacheza draft huwa najiuliza na kihererehere changu hawa vipi hawachoki kukaa. siku moja jumapili napita hapo kwao geti liko wazi niliona Nissan Civilian 8, yes nane zinafanyiwa service, daladala na zote ziko kwenye hali nzuri. Sasa wacha sisi tuendelee kusema hii biashra haifai. Hata mimi hii biashara sitaki hata kuiskia.
 
Je
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
Na wale wanaonunua nyumba 250m alafu anapangisha kwa 250k kwa mwezi au 300k?
 
Hii naifananisha na hadithi moja ya msomi na mkulima.

Msomi alitumia usomi wake kupima hali ya hewa na akapata jibu la mvua inaweza kunyesha au hapana.

Akaanza kufikiria kwamba, akilima mvua inaweza isinyeshe. Akaacha kulima.

Lakini yule mkulima hakujali mvua itanyesha au hapana, yeye alilima tu.

Baadaye mvua ikanyesha, zao la mkulima likastawi na akavuna mazao mengi na baadaye kumuuzia msomi. 🤗
 
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
Binadamu tuna akiri ya ajabu sana, na hiyo hela una kuta haijatokana na Costa. Sasa badala kuimarisha biashara iliyo mpa hiyo 100m, mtu anaenda kununua au kuingia kwenye biashara nyingine
 
watu wanapiga pesa wanatajirika inategemea na approach zako ulizoingia nazo.
1. gari gani
2. route gani
3. dereva gani
4. fundi
Mkuu achana naye uyo kiazi. Kwanza sidhani kama ana hata leseni ya udereva. Fala mmoja anakuja na hoja za kindezi kila cku, kazi kukandia biashara za usafirishaji. Hatoi maoni mengine kama, iyo 100m mtu aifanyie nn tofauti na kuwekeza kwny iyo costa. Kazi kunanga tu biashara za watu.
 
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
Mkuu costa gani million 100 mkuu
 
Back
Top Bottom