Akili gani hii ya Kiafrika! Viwanja vya ndege vimefungwa na mashirika ya meli kubadili njia. Kenya na Malawi wanawaza kupeleka vibarua Israel

Akili gani hii ya Kiafrika! Viwanja vya ndege vimefungwa na mashirika ya meli kubadili njia. Kenya na Malawi wanawaza kupeleka vibarua Israel

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Ikiwa ni mwezi wa tatu wa vita kati ya wapalestina na Israel bado vita vikali vinapiganwa katika ya jiji la Gaza na makombora kurushwa na kudondoka Tel Avivi la karibuni likiwa lile la jana.

Hali hiyo imelazimisha viwanja vyote vya Israel kutokuwa salama kwa safari za anga kupelekea wafanyakazi zaidi ya 600 kupewa likizo za lazima bila malipo.

Upande wa kaskazini ya nchi hiyo nako vita vimewahamisha maelfu ya wayahudi kwenda kuishi kwenye mahoteli kama kambi za wakimbizi.Hiyo ni kutokana na Hizbollah kupiga maeneo hayo pamoja na mifumo ya ulinzi wa anga ya Iron dome.

Kwa kusini ya Israel wanajeshi wa Houth ndani ya Yemen wamekuwa wakizilenga meli zote zenye mafungamano na Israel au zinazoelekea nchini huko katika juhudi zao za kuwatetea wapalestina.Meli hata zisizokuwa na mafungamano na Israel na hazielekei huko lakini zimekosa imani na eneo hilo la bahari nyekundu.Mashirika karibu yote makubwa yanayotumia mfereji wa Sueza yameamua kutumia njia ndefu ya kuzunguka Afrika Kusini ili kujilinda na makombora na droni za Houth.

Katika hali hiyo ya vita nchi kama Malawi na Kenya zina mpango wa kupeleka vibarua nchini Israel kujaza mapengo ya vibarua kama hao kutoka Thailanda waliokimbia sehemu zao za kazi ambazo ziko karibu na Gaza.
Inashangaza malengo ya nchi hizi ni yapi kuhusiana na kupeleka raia wao maeneo hayo ya vita.

Jee nia ni kusaidia Israel ambayo uchumi wake umepata pigo, ni tamaa ya kipato kwa raia wake maskini au ni kupuuza malalamiko na nia za wapalestina kutetea maeneo yao hayo wanayokusudia kupeleka raia zao?.
pindi watakapopata madhara ya vita nani atalaumiwa ?
 
Ikiwa ni mwezi wa tatu wa vita kati ya wapalestina na Israel bado vita vikali vinapiganwa katika ya jiji la Gaza na makombora kurushwa na kudondoka Tel Avivi la karibuni likiwa lile la jana.

Hali hiyo imelazimisha viwanja vyote vya Israel kutokuwa salama kwa safari za anga kupelekea wafanyakazi zaidi ya 600 kupewa likizo za lazima bila malipo.

Upande wa kaskazini ya nchi hiyo nako vita vimewahamisha maelfu ya wayahudi kwenda kuishi kwenye mahoteli kama kambi za wakimbizi.Hiyo ni kutokana na Hizbollah kupiga maeneo hayo pamoja na mifumo ya ulinzi wa anga ya Iron dome.

Kwa kusini ya Israel wanajeshi wa Houth ndani ya Yemen wamekuwa wakizilenga meli zote zenye mafungamano na Israel au zinazoelekea nchini huko katika juhudi zao za kuwatetea wapalestina.Meli hata zisizokuwa na mafungamano na Israel na hazielekei huko lakini zimekosa imani na eneo hilo la bahari nyekundu.Mashirika karibu yote makubwa yanayotumia mfereji wa Sueza yameamua kutumia njia ndefu ya kuzunguka Afrika Kusini ili kujilinda na makombora na droni za Houth.

Katika hali hiyo ya vita nchi kama Malawi na Kenya zina mpango wa kupeleka vibarua nchini Israel kujaza mapengo ya vibarua kama hao kutoka Thailanda waliokimbia sehemu zao za kazi ambazo ziko karibu na Gaza.
Inashangaza malengo ya nchi hizi ni yapi kuhusiana na kupeleka raia wao maeneo hayo ya vita.

Jee nia ni kusaidia Israel ambayo uchumi wake umepata pigo, ni tamaa ya kipato kwa raia wake maskini au ni kupuuza malalamiko na nia za wapalestina kutetea maeneo yao hayo wanayokusudia kupeleka raia zao?.
pindi watakapopata madhara ya vita nani atalaumiwa ?
hivi unafikiri kila mtu hapa duniani ana akili za kiarabu? akili matope.
 
The higher the risk the higher the profit
Future haipo kwa watu waoga waoga ku take risk
Natamani ningepata hii chance kwenda Kama private military group (PMC) tungepiga Ela kinouma na wana

There aren't good death more than dying in battlefield

Gunshot on the head bullets All over the body waaaooo what a lovely death 😂
 
Ikiwa ni mwezi wa tatu wa vita kati ya wapalestina na Israel bado vita vikali vinapiganwa katika ya jiji la Gaza na makombora kurushwa na kudondoka Tel Avivi la karibuni likiwa lile la jana.

Hali hiyo imelazimisha viwanja vyote vya Israel kutokuwa salama kwa safari za anga kupelekea wafanyakazi zaidi ya 600 kupewa likizo za lazima bila malipo.

Upande wa kaskazini ya nchi hiyo nako vita vimewahamisha maelfu ya wayahudi kwenda kuishi kwenye mahoteli kama kambi za wakimbizi.Hiyo ni kutokana na Hizbollah kupiga maeneo hayo pamoja na mifumo ya ulinzi wa anga ya Iron dome.

Kwa kusini ya Israel wanajeshi wa Houth ndani ya Yemen wamekuwa wakizilenga meli zote zenye mafungamano na Israel au zinazoelekea nchini huko katika juhudi zao za kuwatetea wapalestina.Meli hata zisizokuwa na mafungamano na Israel na hazielekei huko lakini zimekosa imani na eneo hilo la bahari nyekundu.Mashirika karibu yote makubwa yanayotumia mfereji wa Sueza yameamua kutumia njia ndefu ya kuzunguka Afrika Kusini ili kujilinda na makombora na droni za Houth.

Katika hali hiyo ya vita nchi kama Malawi na Kenya zina mpango wa kupeleka vibarua nchini Israel kujaza mapengo ya vibarua kama hao kutoka Thailanda waliokimbia sehemu zao za kazi ambazo ziko karibu na Gaza.
Inashangaza malengo ya nchi hizi ni yapi kuhusiana na kupeleka raia wao maeneo hayo ya vita.

Jee nia ni kusaidia Israel ambayo uchumi wake umepata pigo, ni tamaa ya kipato kwa raia wake maskini au ni kupuuza malalamiko na nia za wapalestina kutetea maeneo yao hayo wanayokusudia kupeleka raia zao?.
pindi watakapopata madhara ya vita nani atalaumiwa ?
Tanzania tulianza kuwapeleka vijana wetu kabla ya Kenya.

Matahadharisha tu, wakifa huko tusilalamike.

Maana israel hakuna sehemu salama kwa sasa.

Wenyewe wanaikimbia nchi, sisi, wajinga ndiyo waliwao, tunajipeleka tukaliwe.
 
Kwa hivyo kupeleka raia wako sehemu ya vita ndio akili nzuri
Aliyekuambia Israel Kuna vita ni nani? Maubongo yenu yakishajaa maandishi ya kiarabu yanakuwa mazito sana, Vita vinapiganwa huko Gaza, hao Hizbollah viroketi vyao vinaishia mpakani huko, Israel Iko salama na watu wanaendelea na maisha kama Kawa na ndio maana wanapata mpaka muda wa kuandamana, na hizo nafasi wazilete na hapa bongo watu wachangamkie fursa, Hangaya asiishie kupeleka dada zetu manesi kwa waarabu wakaishie kuliwa viboga tu atizame na huu mchongo wa Israel watu wakapige kazi.
 
Mim nishasema hao waizrael wakija bongo kusaka nguvu kazi mimi nitakuwa wa kwanza,niko radhi kuacha ualimu ili nikasotee kibarua cha 4M kwa mwezi,ualimu wangu ninao kwa zaidi ya miaka 10 hadi sasa nalipwa 780K kama basic,na take home ni 500K,jumlisha na madeni ya benki nabakiwa na 200K kwa mwezi,kwa mwaka mmoja ninaingiza 2M+,wakati nikienda huko kwa mwaka nitakuwa na 48M,nikipiga miaka miwili tu ninakuwa na 96M,wakati kwa ualimu wangu kwa miaka miwili nitakuwa na 4M+ .


Kifo kipo tu,hata leo tukifatilia ni watanzania wangapi wamekufa ni almost 200 nchi nzima,japo nchi yetu haiko vitani.

Mama aruhusu waizrael waje kuchukua nguvu kazi.
 
Tanzania tulianza kuwapeleka vijana wetu kabla ya Kenya.

Matahadharisha tu, wakifa huko tusilalamike.

Maana israel hakuna sehemu salama kwa sasa.

Wenyewe wanaikimbia nchi, sisi, wajinga ndiyo waliwao, tunajipeleka tukaliwe.
Tofauti yetu na Kenya ni kuwa wao wameweka wazi wanapeleka vibarua.Sisi tulidanganywa kuwa ni wanafunzi wanakwenda kusoma kilimo.
 
Aliyekuambia Israel Kuna vita ni nani? Maubongo yenu yaliyojaa maandishi ya kiarabu ni shida sana, Vita vinapiganwa huko Gaza, hao Hizbollah viroketi vyao vinaishia mpakani huko, Israel Iko salama na watu wanaendelea na maisha kama Kawa na ndio maana wanapata mpaka muda wa kuandamana, na hizo nafasi wazilete na hapa bongo watu wachangamkie fursa Hangaya asiishie kupeleka dada zetu manesi kwa waarabu wakatumikishwe kingono.
Hukusoma hapo juu kikamilifu na hufuatilii taarifa sahihi.
Uwanja mkubwa wa kimataifa Israel ni Ben Gurion hauko salama na haipiti siku mbili kabla haujarushiwa kombora.Unajua Tel Avi iko wapi kutoka Gaza ?,na wapi kutoka Lebanon ?
 
Hukusoma hapo juu kikamilifu na hufuatilii taarifa sahihi.
Uwanja mkubwa wa kimataifa Israel ni Ben Gurion hauko salama na haipiti siku mbili kabla haujarushiwa kombora.Unajua Tel Avi iko wapi kutoka Gaza ?,na wapi kutoka Lebanon ?
Endelea kusubiri mpaka dada Yako amfurahishe shemeji Yako ndio upate hela ya bando ya kuja kuandika ujinga humu ndani huku watu wakiendelea na shughuli zao kama kawaida.
 
Endelea kusubiri mpaka dada Yako amfurahishe shemeji Yako ndio upate hela ya bando ya kuja kuandika ujinga humu ndani huku watu wakiendelea na shughuli zao kama kawaida.
Shughuli kama kawaida huku watu wanalalamika kuwekwa ndani ya mahoteli bila huduma na mashamba yamebaki bila wakulima na ng'ombe wanakufa kwa kukosa wa kuwalisha majani.
Jee hizo ndio shughuli kama kawaida ?
 
Ikiwa ni mwezi wa tatu wa vita kati ya wapalestina na Israel bado vita vikali vinapiganwa katika ya jiji la Gaza na makombora kurushwa na kudondoka Tel Avivi la karibuni likiwa lile la jana.

Hali hiyo imelazimisha viwanja vyote vya Israel kutokuwa salama kwa safari za anga kupelekea wafanyakazi zaidi ya 600 kupewa likizo za lazima bila malipo.

Upande wa kaskazini ya nchi hiyo nako vita vimewahamisha maelfu ya wayahudi kwenda kuishi kwenye mahoteli kama kambi za wakimbizi.Hiyo ni kutokana na Hizbollah kupiga maeneo hayo pamoja na mifumo ya ulinzi wa anga ya Iron dome.

Kwa kusini ya Israel wanajeshi wa Houth ndani ya Yemen wamekuwa wakizilenga meli zote zenye mafungamano na Israel au zinazoelekea nchini huko katika juhudi zao za kuwatetea wapalestina.Meli hata zisizokuwa na mafungamano na Israel na hazielekei huko lakini zimekosa imani na eneo hilo la bahari nyekundu.Mashirika karibu yote makubwa yanayotumia mfereji wa Sueza yameamua kutumia njia ndefu ya kuzunguka Afrika Kusini ili kujilinda na makombora na droni za Houth.

Katika hali hiyo ya vita nchi kama Malawi na Kenya zina mpango wa kupeleka vibarua nchini Israel kujaza mapengo ya vibarua kama hao kutoka Thailanda waliokimbia sehemu zao za kazi ambazo ziko karibu na Gaza.
Inashangaza malengo ya nchi hizi ni yapi kuhusiana na kupeleka raia wao maeneo hayo ya vita.

Jee nia ni kusaidia Israel ambayo uchumi wake umepata pigo, ni tamaa ya kipato kwa raia wake maskini au ni kupuuza malalamiko na nia za wapalestina kutetea maeneo yao hayo wanayokusudia kupeleka raia zao?.
pindi watakapopata madhara ya vita nani atalaumiwa ?
Mbona Tz wanapeleka vibarua Saudi Arabia, husemi chochote
 
Mim nishasema hao waizrael wakija bongo kusaka nguvu kazi mimi nitakuwa wa kwanza,niko radhi kuacha ualimu ili nikasotee kibarua cha 4M kwa mwezi,ualimu wangu ninao kwa zaidi ya miaka 10 hadi sasa nalipwa 780K kama basic,na take home ni 500K,jumlisha na madeni ya benki nabakiwa na 200K kwa mwezi,kwa mwaka mmoja ninaingiza 2M+,wakati nikienda huko kwa mwaka nitakuwa na 48M,nikipiga miaka miwili tu ninakuwa na 96M,wakati kwa ualimu wangu kwa miaka miwili nitakuwa na 4M+ .


Kifo kipo tu,hata leo tukifatilia ni watanzania wangapi wamekufa ni almost 200 nchi nzima,japo nchi yetu haiko vitani.

Mama aruhusu waizrael waje kuchukua nguvu kazi.
Wametangaza za saudi Arabia ila for female only
 
Back
Top Bottom