🤣🤣🤣uliwahi kuona wapi watu wanalima vitani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣uliwahi kuona wapi watu wanalima vitani?
Je, wewe una ushahidi gani kwamba wanafunzi wa Kitanzania hawakupelekwa kwenye mafunzo bali walipelekwa jeshini Israel kama ulivyosema hapo chini?Au una ushahidi zaidi wa huu tunaopata kutoka kwa wengine walio tofauti na wewe.
Tangu wanaondoka hutajwa ni vibarua.Wale kulikuwa na siri gani kumbe wengine walikuwa wanakwenda jeshini
Kunywa maji ya kutosha kijana au ramba ndimuhivi unafikiri kila mtu hapa duniani ana akili za kiarabu? akili matope.
Saudia ipo vitani na naniMbona Tz wanapeleka vibarua Saudi Arabia, husemi chochote
Maisha ganiGaza mpakani na Isael.kuko salama
Hamas walishatimuliwa panakaliwa na Jeshi la Israel robo tatu ya eneo lote la Gaza liko mikononi mwa Israel .Hamasi hawana ubavu Tena wa kurusha hata jiwe kwenye eneo la Israel lliko salama vita ya Sasa inapiganwa ndani ya Gaza Tena maeneo ya ndani huko mipakani na nchi zingine sio Israel
Lengo la kwanza kivita la Israel ilikuwa kuwatoa Hamas mikoa yote mpakani na Israel na kuikalia kijeshi na wameweza wao ndio watawala wa Gaza Kwa Sasa hakuna serikali ya Hamas Wala mjumbe wa nyumba kumi wa Hamasi
Upande wa Israel Kiko salama maisha yanaendelea kama kawaida
Lini wahouthi wameshambulia saudiaWahothi si wanashambulia mara kwa mara?! Au kwa sababu ni mabwana zako wa kiarabu basi unajitoa ufahamu?!
Ushahidi upo kwenye gazeti la Haertz la Israel kuwa watanzania ni miongoni mwa wanafunzi wao wa kozi za kijeshi.Je, wewe una ushahidi gani kwamba wanafunzi wa Kitanzania hawakupelekwa kwenye mafunzo bali walipelekwa jeshini Israel kama ulivyosema hapo chini?
👇
Duh..Ushahidi upo kwenye gazeti la Haertz la Israel kuwa watanzania ni miongoni mwa wanafunzi wao wa kozi za kijeshi.
Jee wewe una ushahidi kukanusha taarifa hiyo
Vita vya panzi furaha ya kunguru. Kama hujui kwenye shida ndipo fursa zilipo we endelea kulala.Ikiwa ni mwezi wa tatu wa vita kati ya wapalestina na Israel bado vita vikali vinapiganwa katika ya jiji la Gaza na makombora kurushwa na kudondoka Tel Avivi la karibuni likiwa lile la jana.
Hali hiyo imelazimisha viwanja vyote vya Israel kutokuwa salama kwa safari za anga kupelekea wafanyakazi zaidi ya 600 kupewa likizo za lazima bila malipo.
Upande wa kaskazini ya nchi hiyo nako vita vimewahamisha maelfu ya wayahudi kwenda kuishi kwenye mahoteli kama kambi za wakimbizi.Hiyo ni kutokana na Hizbollah kupiga maeneo hayo pamoja na mifumo ya ulinzi wa anga ya Iron dome.
Kwa kusini ya Israel wanajeshi wa Houth ndani ya Yemen wamekuwa wakizilenga meli zote zenye mafungamano na Israel au zinazoelekea nchini huko katika juhudi zao za kuwatetea wapalestina.Meli hata zisizokuwa na mafungamano na Israel na hazielekei huko lakini zimekosa imani na eneo hilo la bahari nyekundu.Mashirika karibu yote makubwa yanayotumia mfereji wa Sueza yameamua kutumia njia ndefu ya kuzunguka Afrika Kusini ili kujilinda na makombora na droni za Houth.
Katika hali hiyo ya vita nchi kama Malawi na Kenya zina mpango wa kupeleka vibarua nchini Israel kujaza mapengo ya vibarua kama hao kutoka Thailanda waliokimbia sehemu zao za kazi ambazo ziko karibu na Gaza.
Inashangaza malengo ya nchi hizi ni yapi kuhusiana na kupeleka raia wao maeneo hayo ya vita.
Jee nia ni kusaidia Israel ambayo uchumi wake umepata pigo, ni tamaa ya kipato kwa raia wake maskini au ni kupuuza malalamiko na nia za wapalestina kutetea maeneo yao hayo wanayokusudia kupeleka raia zao?.
pindi watakapopata madhara ya vita nani atalaumiwa ?