Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huku ninakolipwa sh 200K nabakiwa na shilingi ngapi mkuu!? Au unadhani huwa naitunza!?Ndio utalipwa 4m utaacha shikingi ngapi hapo au unafikri utakuja nayo yote
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Unawajua watu kikubwa kuna pesa wataenda tu.
hivi unafikiri kila mtu hapa duniani ana akili za kiarabu? akili matope.
Punguza uongo basi..Tangu wanaondoka hutajwa ni vibarua.Wale kulikuwa na siri gani kumbe wengine walikuwa wanakwenda jeshini
wewe kwani ndiye uliyewapeleka au ndiye msemaji wa serikaliPunguza uongo basi..
Wale walikuwa wanafunzi na wote walipelekwa kwenye mafunzo. Na haikuwa mara ya kwanza
Wewe unayeleta taarifa za uongo humu ndo uliwapeleka?!wewe kwani ndiye uliyewapeleka au ndiye msemaji wa serikali
Utajuawaje kuwa mimi ni muongo na sote hatukuwapeleka.Kipi kinachokujulisha kuwa hicho unachoamini wewe ndio ukweli.Au una ushahidi zaidi wa huu tunaopata kutoka kwa wengine walio tofauti na wewe.Wewe unayeleta taarifa za uongo humu ndo uliwapeleka?!
[emoji1787][emoji1787] kazi ya mashamba au kwenda kupigana. Wewe uliwahi kuona wapi watu wanalima vitani?kufa kufaana kazi ya mashamba ya mayahudi yenye dau nono, usiwapangie watu maisha.
Mwendaji hasubiri apewe ruhusa wewe siyo mwendaji .Mim nishasema hao waizrael wakija bongo kusaka nguvu kazi mimi nitakuwa wa kwanza,niko radhi kuacha ualimu ili nikasotee kibarua cha 4M kwa mwezi,ualimu wangu ninao kwa zaidi ya miaka 10 hadi sasa nalipwa 780K kama basic,na take home ni 500K,jumlisha na madeni ya benki nabakiwa na 200K kwa mwezi,kwa mwaka mmoja ninaingiza 2M+,wakati nikienda huko kwa mwaka nitakuwa na 48M,nikipiga miaka miwili tu ninakuwa na 96M,wakati kwa ualimu wangu kwa miaka miwili nitakuwa na 4M+ .
Kifo kipo tu,hata leo tukifatilia ni watanzania wangapi wamekufa ni almost 200 nchi nzima,japo nchi yetu haiko vitani.
Mama aruhusu waizrael waje kuchukua nguvu kazi.
Yani wewe ndiyo mwalimu na unafundisha watoto ni nini ambacho unafundisha sasa kama akili zako ndiyo hiziMim nishasema hao waizrael wakija bongo kusaka nguvu kazi mimi nitakuwa wa kwanza,niko radhi kuacha ualimu ili nikasotee kibarua cha 4M kwa mwezi,ualimu wangu ninao kwa zaidi ya miaka 10 hadi sasa nalipwa 780K kama basic,na take home ni 500K,jumlisha na madeni ya benki nabakiwa na 200K kwa mwezi,kwa mwaka mmoja ninaingiza 2M+,wakati nikienda huko kwa mwaka nitakuwa na 48M,nikipiga miaka miwili tu ninakuwa na 96M,wakati kwa ualimu wangu kwa miaka miwili nitakuwa na 4M+ .
Kifo kipo tu,hata leo tukifatilia ni watanzania wangapi wamekufa ni almost 200 nchi nzima,japo nchi yetu haiko vitani.
Mama aruhusu waizrael waje kuchukua nguvu kazi.
Umelazimishwa kwenda?[emoji1787][emoji1787] kazi ya mashamba au kwenda kupigana. Wewe uliwahi kuona wapi watu wanalima vitani?
Acha wapate ajira ughaibuni, wakifanya miaka 5 watasaidia sana familia zao.Wametangaza za saudi Arabia ila for female only
Mpwayungu Village njoo kuna mwalimu huku.Mim nishasema hao waizrael wakija bongo kusaka nguvu kazi mimi nitakuwa wa kwanza,niko radhi kuacha ualimu ili nikasotee kibarua cha 4M kwa mwezi,ualimu wangu ninao kwa zaidi ya miaka 10 hadi sasa nalipwa 780K kama basic,na take home ni 500K,jumlisha na madeni ya benki nabakiwa na 200K kwa mwezi,kwa mwaka mmoja ninaingiza 2M+,wakati nikienda huko kwa mwaka nitakuwa na 48M,nikipiga miaka miwili tu ninakuwa na 96M,wakati kwa ualimu wangu kwa miaka miwili nitakuwa na 4M+ .
Kifo kipo tu,hata leo tukifatilia ni watanzania wangapi wamekufa ni almost 200 nchi nzima,japo nchi yetu haiko vitani.
Mama aruhusu waizrael waje kuchukua nguvu kazi.
Childish,sasa kuwa mwalimu ni kosa,ulitaka nijiite afisa utumishi!?Mpwayungu Village njoo kuna mwalimu huku.
Hata ningelazimishwa siendi bora waniueUmelazimishwa kwenda?
Tulia hapo hapo wacha wengine tukapambane kutafuta maishaHata ningelazimishwa siendi bora waniue
Wanaenda kwa usafiri upi.kufa kufaana kazi ya mashamba ya mayahudi yenye dau nono, usiwapangie watu maisha.