KDF-BabaYao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 221
- 317
Wacha niwaache muomboleze kwa sasa๐ฆsalamu mtazipata soon,kwamba ukanda huu msemaji ni tz tu,wengine ni nothing.hao wataeleza vyema uhusiano wao na alshabaab.
hakuna cha conspiracy theory wala nini. USA anajulikana kuwa ni mtafuta maslahi.Naona wewe ni conspiracy theorists..no need for further discussion with you on this topic.
Wacha ningoje the next friendly game, ntakutag hapa
Mimi ni hao chief propagandists wa CCM nawatafuta, mbona leo wamepotea
Wacha niwaache muomboleze kwa sasa[emoji1664]
Mkihitaji donations to the affected families, link iekwe hapa...wakenya tumezoea kuwasaidia ombaomba kutoka Tz kwa moyo wetu mkarimu[emoji177]
Maneno ya "MENA" naielewa yote from Israel to oil.hakuna cha conspiracy theory wala nini. USA anajulikana kuwa ni mtafuta maslahi.
Unataka kunambia kuwa USA kuvamia Iraq kwa kisingizio cha WMD ilikuwa ni bahati mbaya?
Hao tutawapa bunduki wakajitafutie๐๐mkadeal na wale wananchi wa turkana wanakufa bila hata kuguswa na mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
njaa nyumbani,unasaidia jirani.
Basi ya Tanzania utayapata soon... Vuta subira tu... msako unaendeleaManeno ya "MENA" naielewa yote from Israel to oil.
Sisi tunaongelea TZ
Hao tutawapa bunduki wakajitafutie[emoji23][emoji23]
If you dont adapt to the new world, you are of no useโป
Haya ndo nataka kuyasikia...vita baini ya ndugu wawili๐Basi ya Tanzania utayapata soon... Vuta subira tu... msako unaendelea
You need to google the meaning of the word simp. You seem to have stumbled over it recently and you're embarrassing yourself using it wrongly.Simps Catching Feelings coz their Juakali ToyGuns can't be bought even by their own KDF.
Sorry I can't help you with your female homonal imbalance..Go scratch your punanis
Hatuna undugu na gaidi ni kichapo tu.Haya ndo nataka kuyasikia...vita baini ya ndugu wawili๐
Iwe a revenge game nzuri, this time msitoroke๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
This is so hypocritical considering how you trashed us when we said the same about Alshabaab.Nafikiri kuna jambo hujalielewa bado. Hawa watu wanaconnections huko Mtwara ambazo zinawasaidia kutekeleza mashambulizi yao na inaonekana wapo mda tu wakizurura wakisubiri wenye silaha zao waje waanze kazi. Ukarimu wetu wa watanzania kukaribisha kila mtu na kumuachia huru bila kumfatilia ndio umetufikisha hapa. Waliofanya mashambulizi kama wameondoka nchini hio ni advantage kubwa, kwa sababu lengo ni kuzuia wao ku advance forward. Sasa Jeshi letu litaanza kushuhulika na hizo connections zao at the same time wanasubiriwia wavuke tena.
Sasa kama unajua Msumbiji jeshi lao linamaliza hasira kwa wananchi tena vipi tushirikiano nao? mimi nasema Msumbiji imejitakia hili kutokea, inaonekana wanapuuzia hili swala labda kwa vile linatokea vijijini na wamekalia kulinda miji tu. Uzembe huu wa Msumbiji JWTZ inatakiwa iingie ndani ya msumbiji kumaliza hii ishu, hakuna haja ya kuwangoja wavuke tena, ni kuwafuata tu mana msumbiji hawana mashirikiano.
show me where i trashed you that is hypocritical as you claim.This is so hypocritical considering how you trashed us when we said the same about Alshabaab.
Tusaidie official sourceDeaths of JWTZ rises from 2 to 3[emoji91][emoji91]
Sasa hivi ndiyo serikali yenu imekubali kwamba kulikuwa na ushambuliziTusaidie official source
Hata Wachina wame copy-paste AK-47 ya Russia, nani amewauliza? ๐Mbona ni copy and paste kabisa ya M4 riffle ya wa marekani
Anyways ame jitahid thumbs up
Mnatengeneza missiles? ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Mkifikia kutengeneza missiles mje tuzungumze meza moja maana tutakuwa tuko sawa kwenye hizo military merchandise...hizo guns n bullet tulishatoka kitambo.