Akili Kubwa - a kenyan made assault rifle - CMZ-4

Akili Kubwa - a kenyan made assault rifle - CMZ-4

Little by little it will spread...

And i hope unaelewa ambavyo foreigners huwa ignorant

Hawataki kujua ni wapi bora Tanzania imetajwa, hofu inawatanda

ndio sababu nikakwambia utajua hujui.pale utaona namba za watalii zinazidi kupanda.
 
To your dissapointment 3 days since the event, and yet not to be seen in CNN, BBC nor Al Jazeera. Nimecheki websites zao hapa tena kwenye section specifically ya Africa. Nilichoona ni Al shabbab wameua majeshi 13 wa somali na Kenya mmetoa sentence kwa washukiwa wa wastegate.
Hata mjaribu kuificha kivipi, news will soon come out. Tanzania slowly turning out to be the North Korea of East Africa🤣☻
 
Hicho kifaa kilicho tekwa nyara na wanamgambo kilikuwa cha nani? Wanakijiji?

Msitubebe kiujinga, vikosi vyenu vya kivita ni hofu sana.

Kwanza hata mnayo experience ya night battles?
hapo palipotekwa icho kifaa (maana ata sijaona vizuri kama ni kifaru au kitu gani, na wala sijui kama wamekiteka ama wamekuja nacho) kulikuwa na wanajeshi wangap?

Suala la experience ya night battle usihofu, wewe subiri soon utajua maendeleo ya huko.
 
hapo palipotekwa icho kifaa (maana ata sijaona vizuri kama ni kifaru au kitu gani, na wala sijui kama wamekiteka ama wamekuja nacho) kulikuwa na wanajeshi wangap?

Suala la experience ya night battle usihofu, wewe subiri soon utajua maendeleo ya huko.
Wewe ndio unafaa kuniambia, siumesema security along your border is tight na bado mkapigwa 😂

Hata labda wameichoma hiyo apc moto🔥🔥
 
Hata mjaribu kuificha kivipi, news will soon come out. Tanzania slowly turning out to be the North Korea of East Africa🤣☻
Mzee, nani anaficha hio habari? 😀 mbona nimeona Garda world (G4S) wameizungumzia? Youtube habari ipo japo ni audio na still photos tu
 
Wewe ndio unafaa kuniambia, siumesema security along your border is tight na bado mkapigwa 😂

Hata labda wameichoma hiyo apc moto🔥🔥
Nimekwambia after the event, sasa ivi uko ulinzi umeimarishwa, sijakwambia kuwa siku ya tukio ulinzi ulikuwa umeimarishwa. Na nikakwambia watu wamekamatwa huko sio kabla au siku ya tukio, lakini baada ya tukio tayari kufanyika.
 
Mzee, nani anaficha hio habari? 😀 mbona nimeona Garda world (G4S) wameizungumzia? Youtube habari ipo japo ni audio na still photos tu
Siunaelewa vile Pombe amewakalia kiukweli😂😂

Hao wanajeshi waliotoroka mtawafanyia nini, i hope military tribunal will do its work...ama pia hiyo hamna?

You never leave your fellow soldier behind
 
Nimekwambia after the event, sasa ivi uko ulinzi umeimarishwa, sijakwambia kuwa siku ya tukio ulinzi ulikuwa umeimarishwa. Na nikakwambia watu wamekamatwa huko sio kabla au siku ya tukio, lakini baada ya tukio tayari kufanyika.
Mimi sijali kuhusu hao majamaa mnaowatuhumia kufanya hicho kitendo

Waliokuwa na silaha washavuka border...welcome to the big leagues😂

They will not attack a heavily fortified post, wanatafuta soft targets
 
Tanzania nchi ya magaidi🦍

Mmekuwa mkiwaacha vijana wenu kuja kuwaua wakenya, sasa ni wakati wenu wa kupigwa
 
Siunaelewa vile Pombe amewakalia kiukweli😂😂

Hao wanajeshi waliotoroka mtawafanyia nini, i hope military tribunal will do its work...ama pia hiyo hamna?

You never leave your fellow soldier behind
Sijaiona hio video ya wanajeshi wakitoroka, nimeona video kwa Max shimba kelele tu za hao alshabbab. Bila shaka kama wamekimbia post zao wakati wangeweza kuzidefend, basi Jeshi linajua nini la kuwafanya hao, lakini kama walikuwa outnumbered wakaondoka sioni tatizo, heri kurudi nyuma na kujipanga tena, this time unakuwa ushajua wanakuja kivipi.

By the way, umesema kuwa hao jamaa hawajakaa hapo border washarudi msumbiji, seems like ni waoga. Coz wenzao kule Syria, wanateka eneo halafu wanakaa na kulilinda, wao wamekimbia? surely, wamejua kuwa wameingia choo cha kike.
 
Sijaiona hio video ya wanajeshi wakitoroka, nimeona video kwa Max shimba kelele tu za hao alshabbab. Bila shaka kama wamekimbia post zao wakati wangeweza kuzidefend, basi Jeshi linajua nini la kuwafanya hao, lakini kama walikuwa outnumbered wakaondoka sioni tatizo, heri kurudi nyuma na kujipanga tena, this time unakuwa ushajua wanakuja kivipi.

By the way, umesema kuwa hao jamaa hawajakaa hapo border washarudi msumbiji, seems like ni waoga. Coz wenzao kule Syria, wanateka eneo halafu wanakaa na kulilinda, wao wamekimbia? surely, wamejua kuwa wameingia choo cha kike.
Nilipokuwa nakuambia assymetrical warfare ulikuwa unadhani namaanisha nini?

Kwanza kunayo video wakimchinja mwanajeshi wa JWTZ, duh inasikitisha

Halafu wanakitupa kichwa barabarani lipatikane asubuhi na wenzake🔥

Sisi tukiretreat huwa mnatuponda😂
 
Mimi sijali kuhusu hao majamaa mnaowatuhumia kufanya hicho kitendo

Waliokuwa na silaha washavuka border...welcome to the big leagues😂

They will not attack a heavily fortified post, wanatafuta soft targets
What big league is this? Nakwambia wenza Syria wanateka mji na kupandisha bendera na kuanza kudefend. Ukitizama video ya max shimba utaona kauli yao ni kuangusha utawala wa JPM na kusimamisha dola ya kiislam. Sasa wewe kwa akili zako, ivo ndio unavoangusha utawala? unapiga afu unakimbia? wewe umeona wapi duniani kuwa kundi flani au nchi flani inataka kuangusha utawala afu wanavamia nchi siku moja afu wanarudi nchini mwao?

Al shabbab attacks in Kenya ni revenge for Kenyan army attacking them in somalia. Hawa wanaojiita Alshabbab au Isis huko msumbiji, wameclaim kabisa wanataka kuangusha utawala, sasa nilitegmea baada ya kuvamia hapo kijijini, wangejisifia kuwa wamepata terrirtory na kuendelea kugain more territories. Lakini kumbe wamekimbia
 
Go cut your prepuse, Seriously not only does it stink it also interferes with your intelligence..You are a boy, and you have a long way before you sit with men
Wewe jamaa kwani umekuwa gay? Mbona umekazana na dick ya Mwenzako? Ama unataka kumfanyia blow job?
 
Nilipokuwa nakuambia assymetrical warfare ulikuwa unadhani namaanisha nini?

Kwanza kunayo video wakimchinja mwanajeshi wa JWTZ, duh inasikitisha

Halafu wanakitupa kichwa barabarani lipatikane asubuhi na wenzake🔥

Sisi tukiretreat huwa mnatuponda😂
Mnakuja hapa mnajisifia, mna modern weapons, EA nzima nyie ni military mighty. Mmenunua new attack helicopters sijui mambo tele. Afu mwisho wa siku havina faida katika kumalizana nao hao jamaa kwanini tusiwacheke?

Kwanini tusiwacheke na sifa zenu mnazojisifia huku JESHI linaiba supermarket instead of defending its people? Shame kwa kweli
 
What big league is this? Nakwambia wenza Syria wanateka mji na kupandisha bendera na kuanza kudefend. Ukitizama video ya max shimba utaona kauli yao ni kuangusha utawala wa JPM na kusimamisha dola ya kiislam. Sasa wewe kwa akili zako, ivo ndio unavoangusha utawala? unapiga afu unakimbia? wewe umeona wapi duniani kuwa kundi flani au nchi flani inataka kuangusha utawala afu wanavamia nchi siku moja afu wanarudi nchini mwao?

Al shabbab attacks in Kenya ni revenge for Kenyan army attacking them in somalia. Hawa wanaojiita Alshabbab au Isis huko msumbiji, wameclaim kabisa wanataka kuangusha utawala, sasa nilitegmea baada ya kuvamia hapo kijijini, wangejisifia kuwa wamepata terrirtory na kuendelea kugain more territories. Lakini kumbe wamekimbia
Unadhani akina Ahmed Iman Ali mkuu wa Wakenya huko alkebab anatosheka revenge attacks?

Lengo lao kuu ni kuteka nyara miji yote ya kiislam, kutoka Somalia hadi msumbiji

They even have a song about it..sijiui wateke hadi zanzibar,tafuta youtube

There is a strategy behind these attacks...one is to show the govt is incapable of protecting its people

Two is as a form of economic terrorism ...hayo mengine ujijazie
 
Back
Top Bottom