Akili Kubwa - a kenyan made assault rifle - CMZ-4

Akili Kubwa - a kenyan made assault rifle - CMZ-4

Ukiingia forum moja ya wakenya inaitwa k.e.nyatalk hii habari ipo na wenyewe wakenya wanaponda sana hii komedi. Hii ishu haipo online kokote ikiwa na maelezo zaidi
 
This time round ni sisi tutawatch mkichinjwa huko Mtwara.

Si mlete hao wanaAcrobat from JWTZ wakapige friendly match Msumbiji[emoji205]
Tuna silaha nzuri za kutosha, TPDF/JWTZ is well equipped to face any army/terrorist from any corner of our borders,

We can't purchase those meaningless stuffs from Kunyaland, we have our own weaponry factory, MZINGA CORPORATION under JWTZ
 
Ila ugomvi wa Tanzania na Kenya humu JF Ni Kama ugomvi wa watoto mapacha ah ah Wacha niongeze popcorn
 
Simps Catching Feelings coz their Juakali ToyGuns can't be bought even by their own KDF.
Sorry I can't help you with your female homonal imbalance..Go scratch your punanis
Wewe waelewa maneno inayofanyika pale DOD Nairobi🤓

Wacha tu ninyamaze...

Ya mwisho, tujulishe kulikoni huko Kitaya?

Mulimpata huyo mwanajeshi alietimua mbio na kumuacha mwenziwe kuchinjwa?
 
Tuna silaha nzuri za kutosha, TPDF/JWTZ is well equipped to face any army/terrorist from any corner of our borders,

We can't purchase those meaningless stuffs from Kunyaland, we have our own weaponry factory, MZINGA CORPORATION under JWTZ
Vifaa vibovu sana, wanajeshi wa JWTZ hawana amani nazo, nlikuwa nadhani zimetoka Uchina...kumbe ni za hapo Loliondo🐒

Hata ingelikuwa mimi mwanajeshi wa JWTZ, ingali kuwa miguu niponye kama bolt🔥🔥🔥. Wanakijiji wajishughulikie🤣
 
Wewe waelewa maneno inayofanyika pale DOD Nairobi🤓

Wacha tu ninyamaze...

Ya mwisho, tujulishe kulikoni huko Kitaya?

Mulimpata huyo mwanajeshi alietimua mbio na kumuacha mwenziwe kuchinjwa?
KDF wamemaliza kuiba biscuit nakumatt?
Even Worse👇
KDF Soldiers Hid In The Grass And Left The Americans Alone

Probably these biscuit loving kdf boys need those ToyGuns..They can't handle big guns, and they shut their pants everytime they hear "Alshabab"
 
Eti welcome to the big league 😀

Jirani, hivi sasa nimepokea taarifa kuwa sasa ivi kuna watu tayari wengi wamekamatwa ambao ni Al shabbab, walikuwemo kwenye guest houses wametolewa, wengine wakiwa wanavaa nguo za chama tawala wamekamatwa. JWTZ tayari linaandaa uwanja wa mapambano huko border na kuondoa raia kuepusha au kupunguza collateral damage.

Hatuwezi kutegemea Msumbiji kwenye hili, wewe umeona uhuni waliomfanyia Mama wa watu wa kumrandisha uchi na kumpiga shaba huku wakichukua video? Lack of discipline huwa linagharimu jeshi. Tena ningependa kumshauri General wa majeshi, waingie hadi msumbiji kuwashughulikia wasiwasubiri, ufwate mzizi huko ulipo ukatwe!
Naam kaka, sasa mmetoka kwenye 'Europa League' mmeingia 'Champions league'.

Hapa mnahitaji mastar ndiyo mpambane na akina 'Messi' 🤣

Hao jamaa ni innocent, waliofanya mashambulizi walishavuka border...kwani ni wapumbavu wangoje😂

Shida ya inferior army kama msumbiji ni kutakeout frustrations on the civilians kwa sababu hawaielewi assymetrical warfare. Hata sisi huko Lamu tulianza na huo ushenzi, kublame upinzani.
 
Ndio nangoja nione hawa mababe wetu JWTZ wakiwagaragaza hawa wanamgambo🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

Kwanza msisahau kumpeleka huyu mwana akrobati 🤣😂


In addition to a full set of teeth, kdf recruitment should also check if they are circumsized. Biscuit stealing is a sign of thinking with your prepuse.. kihiis should have no place in any army
 
In addition to a full set of teeth, kdf recruitment should also check if they are circumsized. Biscuit stealing is a sign of thinking with your prepuse.. kihiis should have no place in any army
Wako wapi hao wavunja matofali wa JWTZ😂😂

Jamaa wakapatana na masimba wa kivita, ikabidii silaha wazitupe na kukimbilia Dar es SLUM 😂
 
Wako wapi hao wavunja matofali wa JWTZ😂😂

Jamaa wakapatana na masimba wa kivita, ikabidii silaha wazitupe na kukimbilia Dar es SLUM 😂
Go cut your prepuse, Seriously not only does it stink it also interferes with your intelligence..You are a boy, and you have a long way before you sit with men
 
Naam kaka, sasa mmetoka kwenye 'Europa League' mmeingia 'Champions league'.

Hapa mnahitaji mastar ndiyo mpambane na akina 'Messi' 🤣

Hao jamaa ni innocent, waliofanya mashambulizi walishavuka border...kwani ni wapumbavu wangoje😂

Shida ya inferior army kama msumbiji ni kutakeout frustrations on the civilians kwa sababu hawaielewi assymetrical warfare. Hata sisi huko Lamu tulianza na huo ushenzi, kublame upinzani.
Nafikiri kuna jambo hujalielewa bado. Hawa watu wanaconnections huko Mtwara ambazo zinawasaidia kutekeleza mashambulizi yao na inaonekana wapo mda tu wakizurura wakisubiri wenye silaha zao waje waanze kazi. Ukarimu wetu wa watanzania kukaribisha kila mtu na kumuachia huru bila kumfatilia ndio umetufikisha hapa. Waliofanya mashambulizi kama wameondoka nchini hio ni advantage kubwa, kwa sababu lengo ni kuzuia wao ku advance forward. Sasa Jeshi letu litaanza kushuhulika na hizo connections zao at the same time wanasubiriwia wavuke tena.

Sasa kama unajua Msumbiji jeshi lao linamaliza hasira kwa wananchi tena vipi tushirikiano nao? mimi nasema Msumbiji imejitakia hili kutokea, inaonekana wanapuuzia hili swala labda kwa vile linatokea vijijini na wamekalia kulinda miji tu. Uzembe huu wa Msumbiji JWTZ inatakiwa iingie ndani ya msumbiji kumaliza hii ishu, hakuna haja ya kuwangoja wavuke tena, ni kuwafuata tu mana msumbiji hawana mashirikiano.
 
Go cut your prepuse, Seriously not only does it stink it also interferes with your intelligence..You are a boy, and you have a long way before you sit with men
Nilikua nakujulia hali tu mzee🦍

Isiwe ulikuwa mmoja wa hao wanakijiji waliovamiwa

Lakini usiwe na hofu, makomando wa JWTZ wako njiani na pikipiki zao🙆‍♂️🙆‍♂️

 
Nafikiri kuna jambo hujalielewa bado. Hawa watu wanaconnections huko Mtwara ambazo zinawasaidia kutekeleza mashambulizi yao na inaonekana wapo mda tu wakizurura wakisubiri wenye silaha zao waje waanze kazi. Ukarimu wetu wa watanzania kukaribisha kila mtu na kumuachia huru bila kumfatilia ndio umetufikisha hapa. Waliofanya mashambulizi kama wameondoka nchini hio ni advantage kubwa, kwa sababu lengo ni kuzuia wao ku advance forward. Sasa Jeshi letu litaanza kushuhulika na hizo connections zao at the same time wanasubiriwia wavuke tena.

Sasa kama unajua Msumbiji jeshi lao linamaliza hasira kwa wananchi tena vipi tushirikiano nao? mimi nasema Msumbiji imejitakia hili kutokea, inaonekana wanapuuzia hili swala labda kwa vile linatokea vijijini na wamekalia kulinda miji tu. Uzembe huu wa Msumbiji JWTZ inatakiwa iingie ndani ya msumbiji kumaliza hii ishu, hakuna haja ya kuwangoja wavuke tena, ni kuwafuata tu mana msumbiji hawana mashirikiano.
Nakuelewa mkuu, lakini naamini kuna vijana kutoka hapo Kitaya walohusika katika hilo shambulio...i know their modus operandi,same same na ya hawa huku somalia.

Sasa naona umeanza kuelewa complexity za hizi vita. Sisi huku tunashughulika na magaidi kwenye vijiji somalia, serikali yao ikiwa imejifungia huko Mogadishu

Kazi yao ni kupayukapayuka kwamba tunawaua wanakijiji ilhali ni waasi wa alshabab.

One minute the herder you meet on a patrol turns a gun on you when you turn your head, hali ya vita pande yetu
 
Hali haiwezi kuwa sawa,kivipi?

Pale kibiti mlikuwa mmewazingira,yani walikuwa deep behind enemy lines but sasa wakona base zao huko msumbiji ambazo wanaweza tumia watakavyo kulaunch attacks na kuresupply.

Msipo deal na msumbiji, hali itakuwa kama tuliyo nayo pale Lamu county. Welcome to the big leagues my brothers[emoji91][emoji2089]

bro usimalize maneno yote na id mpya,subiri tukuonyeshe jwtz sio jeshi la wakora wa mikufu supermarket.
 
Eti welcome to the big league 😀

Jirani, hivi sasa nimepokea taarifa kuwa sasa ivi kuna watu tayari wengi wamekamatwa ambao ni Al shabbab, walikuwemo kwenye guest houses wametolewa, wengine wakiwa wanavaa nguo za chama tawala wamekamatwa. JWTZ tayari linaandaa uwanja wa mapambano huko border na kuondoa raia kuepusha au kupunguza collateral damage.

Hatuwezi kutegemea Msumbiji kwenye hili, wewe umeona uhuni waliomfanyia Mama wa watu wa kumrandisha uchi na kumpiga shaba huku wakichukua video? Lack of discipline huwa linagharimu jeshi. Tena ningependa kumshauri General wa majeshi, waingie hadi msumbiji kuwashughulikia wasiwasubiri, ufwate mzizi huko ulipo ukatwe!

achana na mlevi wa gongo huyo atakuchosha tu.

hana anachojua zaidi ya kukata tamaa ya maisha.
 
Simps Catching Feelings coz their Juakali ToyGuns can't be bought even by their own KDF.
Sorry I can't help you with your female homonal imbalance..Go scratch your punanis

nashangaa mzinga inaunda ni mwaka wa 30 saaa na hatupigii kelele watu[emoji23][emoji23].

bila shaka hata risasi wameanza kuunda mwaka huu.
 
bro usimalize maneno yote na id mpya,subiri tukuonyeshe jwtz sio jeshi la wakora wa mikufu supermarket.
Naam naelewa ni wanariadha wa mbio za 100🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Naam kaka, sasa mmetoka kwenye 'Europa League' mmeingia 'Champions league'.

Hapa mnahitaji mastar ndiyo mpambane na akina 'Messi' [emoji1787]

Hao jamaa ni innocent, waliofanya mashambulizi walishavuka border...kwani ni wapumbavu wangoje[emoji23]

Shida ya inferior army kama msumbiji ni kutakeout frustrations on the civilians kwa sababu hawaielewi assymetrical warfare. Hata sisi huko Lamu tulianza na huo ushenzi, kublame upinzani.

subiri utajua hujui,kwa ujinga wa kdf waharifu walitoroka na raia magetini pale westgate[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom