Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Huu Uzi umejaa sana madini,hakika nimeupenda na nitaufanyia kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hili ndo tatizo la kua na mke mmoja, akili inalala kiongozi.. niseme inatosha kwa walio nielewa!Najua,there is no size fits all,ila Kuna mawili matatu yanaweza ku work na kwa mwingine,hapo mwisho sijakuelewa wake zako ni moko(gari nyeti) ndio Nini?
umesahau moja la muhimu sana. kwa umri wangu nitawashauri. nalo ni, kula vizuri mwili uwe na nguvu na akili itulie na bedroom piga hadi ujiridhishe wewe (sio yeye akwambie) kwamba ameridhika. hili ulitakiwa kuweka la kwanza. mengine hayo yanarekebishika, ila ukikosa hili yupo tayari hata pesa ya matumizi akatafute hata msukuma mkokoteni mchafumchafu tu amalizane. usipofanya hii kitu hasira na dharau juu yaki hazitaisha hata kama una vyote vya hapo juu.Ndoa ni tamu,ndoa ni paradiso,ndoa ni utajiri,wanaosema ndoa ni ujambazi hawajui codes za ndoa.
Baba yangu alipenda kuniambia "ignorance is the biggest enemy in your life"
mchawi wa mafanikio makubwa yoyote yale ni ujinga,watu wengi wameingia kwenye ndoa na hawajui ndoa ni Nini?hawajui Kama wanahitaji ndoa au wanataka ndoa,they think marriage is for everybody,wanafikiri ukiwa na pesa tu inatosha kuwin race,ingekuwa hivyo ndoa za matajiri zisingevunjika,ndoa inahitaji misuli ya akili.
twende Sasa kwenye akili kumi za kumteka mwanamke(mke)
1. Be transparent
Ukitaka kuiteka akili ya mwanamke kuwa mwuwazi hasa kwenye mawasiliano,mpe password zako zote,wanawake huwa wanapenda kuchunguza Sana simu za waume zao,coz they believe every man is a cheater,so to prove her wrong mwachie simu yako hata siku nzima then utakuja kutupa mrejesho hapa, mm naweza kumwachia wife simu hata wiki,nafanya hivyo makusudi ili nijijengee uaminifu.
2. Mzidi mambo ya msingi
(Yapo matano)
Unatakiwa kumzidi elimu,kipato,umri,kimo na akili,kwenye hayo matano la msingi zaidi ni Akili,acha akuzidi mambo yote lkn usiruhusu akuzidi akili,you have to be smarter than her,nje hapo utakuja na uzi wa kulialia na kusema ndoa ni ujambazi,kwenye hayo matano,nimempita wife elimu,kipato,kimo,umri tunalingana ila akili nimemwacha mbali Sana,anapokuwa na swali lolote la ki intelligencia lazima kwanza anione expert wake.
3.Mchagulie marafiki
Ukimwacha eva wako ajichagulie marafiki,atachagua nyoka,so plz usifanye hili kosa,tumia akili kumweka mkeo karibu na wanawake matured kiroho na kiakili,ukitaka awe business woman basi mweke karibu na business women waliotoboa,ukitaka awe wife material mweke karibu na wanawake wanaoheshimu ndoa zao "Akili ya mwanamke inakula kwa mwanamke mwenzake"so find matured women to feed her"
4.Najua kuoa sijui kuacha
Hii akili niliipata kwa mzee wangu,mara nyingi mama anapotishia kuondoka na kudai talaka mzee alikuwa anasema hilo neno kwa kurudia rudia "najua kuoa sijui kuacha" basi mama ananyong'onyea anakuwa mpole maisha yanaendelea!nikaichukua hii akili,sema tu kwa sauti ili asikie,"najua kuoa sijui kuacha,wadau kuacha bila sababu za msingi ni udhaifu mkubwa ila kuachwa bila sababu za msingi huo ni ushujaa.
5. Saidia ndugu zake bila kumshirikisha
Ndugu au wazazi wake wana uhitaji solve kimya kimya,wao ndio waje wamwambie ulichowafanyia,siku akijua itagusa sana hisia zake na atakuona ni mtu unayejali na kujitoa.
6. Kataa vikao vya usuluhishi
Tangu nimeoa(10 yrs now)sijawahi kukaa kikao cha kusuluhisha ndoa,hii kitu niliikataa tangu mwanzo,kwasababu maamuzi ya kwny vikao vingi yana mlengo wa kike,vikao vina reduce your manhood,Kama mke haelewi itikadi zako,mwache arudi kwao akapumzike au akubali tu myamalize kimya kimya,maisha yaendelee.
7. Usiishi mbali na mke
Nimeona ndoa kadhaa eti mwanamke yuko dom,mwanaume yuko dar,mbaya zaidi wanakaa kwny hali hiyo miaka na miaka,dah!Mimi sitakaa nifanye kosa hilo,au Kuna wale jamaa wa kazi za kusafiri,miezi hayupo nyumbani,hata Kama maisha magumu isiwe sababu ya kufanya kazi yoyote bila kujali afya ya mahusiano yako,akili ni kufanya kazi inayokuweka karibu na familia.
8. Be her boss
Kama una mapafu ya kutengeneza project flani hv ya kifamilia na mkeo akawa supervisor fanya hivyo,hakikisha unamlipa mshahara ili aone ni kazi Kama kazi zingine"Be her boss" wadau huko maofisini maboss wanafaidi sana,nadhani utakuwa umeshasikia masuala ya rushwa ya ngono,wake za watu ni wahanga wakubwa, believe it or not!
9.Fanya mambo makubwa bila kumwambia(be unpredictable)
Mwanamke anatakiwa ashindwe kukutabiri,asijue nini utafanya next,hapo utaiteka akili yake kirahisi sana,kuna kipindi nilijenga nyumba,naweka msingi hajui,napandisha tofari hajui,nafunga linta hajui,nikafika hatua ya kupaua,ndio nikamwambia nenda kule site,wkt huo jamaa washapiga kenchi,kawakuta wanapiga bati,akajua amepotea,simply she was confused!dat day,narudia tena dat day,nilipewa shoo ya kibabe,ya kukata kwa shoka😂🤣.
Be unpredictable usim boe mkeo!
10. Two sided life
Hapa namaanisha uwe na maisha ya sehemu mbili,eneo moja unaishi na familia eneo jingine unaspend time alone na hakikisha lina utulivu wa kutosha,why this? Ndoa zinachamoto zake,sometimes stress ni nyingi,you want to be alone so tengeneza hiyo comfort zone iwe ni mahali pa faraja na meditation kwa afya ya akili.
Note this
Wadau najua unaweza kufanya hayo yote na bado ukaachwa,hapa nirudie tena kusema kwa herufi kubwa KUACHWA NI USHUJAA
KUACHA NI UDHAIFU
Women are complicated creatures,the late Abraham Lincoln aliwahi kusema"Woman is the only thing I am afraid of,that I know will not hurt me"
View attachment 3031353
Hebu tuzidi kupeana akili na mbinu za kuishi na Hawa viumbe,tuziokoe ndoa nyingi zinazoelekea kufa na M-ngu atubariki.
Achana nao mkuuSoon nitashusha uzi wa"akili kumi za kumteka mwanaume"ila plz utawahusu walio kwny ndoa,mkienda ku apply nje ndoa hazitafanya kazi,WANAUME mnaniruhusu niwape mbinu za kututeka huwa viumbe😀😀
kama hiyo mbinu haihusishi shuntama freshiSoon nitashusha uzi wa"akili kumi za kumteka mwanaume"ila plz utawahusu walio kwny ndoa,mkienda ku apply nje ndoa hazitafanya kazi,WANAUME mnaniruhusu niwape mbinu za kututeka huwa viumbe😀😀
usipooa pia ni upumbavu yaani vyote tu ni ufala.NDOA NI USENGEREMA
Mkuu tusaidie tafadhali and to be specific nisaidie maana hii ishu ya kusudi inanitesa sana.Sasa hayo mambo yote unayafanya ili TU mwanamke akae katika ndoa? Nafikiri binaadam Bado hawajagundua kusudi la wao kuja kuishi duniani.
Yaan yote haya unakuwa unafikiria tu kumteka mwanamke, duu mbona mateso sasaNdoa ni tamu,ndoa ni paradiso,ndoa ni utajiri,wanaosema ndoa ni ujambazi hawajui codes za ndoa.
Baba yangu alipenda kuniambia "ignorance is the biggest enemy in your life"
mchawi wa mafanikio makubwa yoyote yale ni ujinga,watu wengi wameingia kwenye ndoa na hawajui ndoa ni Nini?hawajui Kama wanahitaji ndoa au wanataka ndoa,they think marriage is for everybody,wanafikiri ukiwa na pesa tu inatosha kuwin race,ingekuwa hivyo ndoa za matajiri zisingevunjika,ndoa inahitaji misuli ya akili.
twende Sasa kwenye akili kumi za kumteka mwanamke(mke)
1. Be transparent
Ukitaka kuiteka akili ya mwanamke kuwa mwuwazi hasa kwenye mawasiliano,mpe password zako zote,wanawake huwa wanapenda kuchunguza Sana simu za waume zao,coz they believe every man is a cheater,so to prove her wrong mwachie simu yako hata siku nzima then utakuja kutupa mrejesho hapa, mm naweza kumwachia wife simu hata wiki,nafanya hivyo makusudi ili nijijengee uaminifu.
2. Mzidi mambo ya msingi
(Yapo matano)
Unatakiwa kumzidi elimu,kipato,umri,kimo na akili,kwenye hayo matano la msingi zaidi ni Akili,acha akuzidi mambo yote lkn usiruhusu akuzidi akili,you have to be smarter than her,nje hapo utakuja na uzi wa kulialia na kusema ndoa ni ujambazi,kwenye hayo matano,nimempita wife elimu,kipato,kimo,umri tunalingana ila akili nimemwacha mbali Sana,anapokuwa na swali lolote la ki intelligencia lazima kwanza anione expert wake.
3.Mchagulie marafiki
Ukimwacha eva wako ajichagulie marafiki,atachagua nyoka,so plz usifanye hili kosa,tumia akili kumweka mkeo karibu na wanawake matured kiroho na kiakili,ukitaka awe business woman basi mweke karibu na business women waliotoboa,ukitaka awe wife material mweke karibu na wanawake wanaoheshimu ndoa zao "Akili ya mwanamke inakula kwa mwanamke mwenzake"so find matured women to feed her"
4.Najua kuoa sijui kuacha
Hii akili niliipata kwa mzee wangu,mara nyingi mama anapotishia kuondoka na kudai talaka mzee alikuwa anasema hilo neno kwa kurudia rudia "najua kuoa sijui kuacha" basi mama ananyong'onyea anakuwa mpole maisha yanaendelea!nikaichukua hii akili,sema tu kwa sauti ili asikie,"najua kuoa sijui kuacha,wadau kuacha bila sababu za msingi ni udhaifu mkubwa ila kuachwa bila sababu za msingi huo ni ushujaa.
5. Saidia ndugu zake bila kumshirikisha
Ndugu au wazazi wake wana uhitaji solve kimya kimya,wao ndio waje wamwambie ulichowafanyia,siku akijua itagusa sana hisia zake na atakuona ni mtu unayejali na kujitoa.
6. Kataa vikao vya usuluhishi
Tangu nimeoa(10 yrs now)sijawahi kukaa kikao cha kusuluhisha ndoa,hii kitu niliikataa tangu mwanzo,kwasababu maamuzi ya kwny vikao vingi yana mlengo wa kike,vikao vina reduce your manhood,Kama mke haelewi itikadi zako,mwache arudi kwao akapumzike au akubali tu myamalize kimya kimya,maisha yaendelee.
7. Usiishi mbali na mke
Nimeona ndoa kadhaa eti mwanamke yuko dom,mwanaume yuko dar,mbaya zaidi wanakaa kwny hali hiyo miaka na miaka,dah!Mimi sitakaa nifanye kosa hilo,au Kuna wale jamaa wa kazi za kusafiri,miezi hayupo nyumbani,hata Kama maisha magumu isiwe sababu ya kufanya kazi yoyote bila kujali afya ya mahusiano yako,akili ni kufanya kazi inayokuweka karibu na familia.
8. Be her boss
Kama una mapafu ya kutengeneza project flani hv ya kifamilia na mkeo akawa supervisor fanya hivyo,hakikisha unamlipa mshahara ili aone ni kazi Kama kazi zingine"Be her boss" wadau huko maofisini maboss wanafaidi sana,nadhani utakuwa umeshasikia masuala ya rushwa ya ngono,wake za watu ni wahanga wakubwa, believe it or not!
9.Fanya mambo makubwa bila kumwambia(be unpredictable)
Mwanamke anatakiwa ashindwe kukutabiri,asijue nini utafanya next,hapo utaiteka akili yake kirahisi sana,kuna kipindi nilijenga nyumba,naweka msingi hajui,napandisha tofari hajui,nafunga linta hajui,nikafika hatua ya kupaua,ndio nikamwambia nenda kule site,wkt huo jamaa washapiga kenchi,kawakuta wanapiga bati,akajua amepotea,simply she was confused!dat day,narudia tena dat day,nilipewa shoo ya kibabe,ya kukata kwa shoka[emoji23][emoji1787].
Be unpredictable usim boe mkeo!
10. Two sided life
Hapa namaanisha uwe na maisha ya sehemu mbili,eneo moja unaishi na familia eneo jingine unaspend time alone na hakikisha lina utulivu wa kutosha,why this? Ndoa zinachamoto zake,sometimes stress ni nyingi,you want to be alone so tengeneza hiyo comfort zone iwe ni mahali pa faraja na meditation kwa afya ya akili.
Note this
Wadau najua unaweza kufanya hayo yote na bado ukaachwa,hapa nirudie tena kusema kwa herufi kubwa KUACHWA NI USHUJAA
KUACHA NI UDHAIFU
Women are complicated creatures,the late Abraham Lincoln aliwahi kusema"Woman is the only thing I am afraid of,that I know will not hurt me"
View attachment 3031353
Hebu tuzidi kupeana akili na mbinu za kuishi na Hawa viumbe,tuziokoe ndoa nyingi zinazoelekea kufa na M-ngu atubariki.
Hell noIf you need analytical answer, private conversations is advised.
Nikikupenda nitakuteka tu usijalihatutaki kutekwa.
Ee ndio😃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.
Akitaka ntampaMpe mzigo kila siku tu
Ukiweka ni tagStay tuned!
Uchawi tosha huoAkitaka ntampa
Yes sureMtaorodhesha mamilioni ya vitu. Ila mimi huwa naamini hivi. Soulmate wako mnakutana katika njia ambayo hujaiwaza na mnajikuta mnaendana kwa vitu vingi sana. Nyie raha kuwa na mtu anakuelewa na mengine yote yanabaki historia 🤸❤️
Subscribe for more info.Hell no