Akili kumi za kumteka mwanamke

Akili kumi za kumteka mwanamke

Mungu kwanza ! kila kitu Mungu awe wa kwanza, kila jambo litakuwa sawa!!!!! kila kitu.
 
Mimi sitambui unanena nini

nachojua Mimi mwanamke ni chombo Cha starehe kumto-mba to-mba tu, muda wa kuishi nao hatuna sisi tutafute pesa ndefu. 😃😃😃
 
Mungu kwanza ! kila kitu Mungu awe wa kwanza, kila jambo litakuwa sawa!!!!! kila kitu.
Kuna jamaa yangu mmoja ni mtu wa M-ngu,mtu wa ibada hasa ila ndoa yake inawaka Moto🔥🔥juzijuzi hapa kanitumia sms ananiambia "ndoa imemshinda anatamani kufa" nikampa madini mawili matatu,now katulia...Namheshimu sana M-ngu,kiasi kwenye threads zangu naandika jina lake in codes na lazima nianze kwa herufi kubwa lkn niseme M-ngu sio mbadala wa maarifa,mtafute M-ngu,tafuta na maarifa pia.
 
Hawana formula unaweza kuwa na vigezo vyote hapo juu still ukapendwa kuliko mwenye vigezo. Kikubwa kwenye mahusiano mwanamke anataka assurance fullstop! Other things takes care for themselves.
 
Hiyo na 7,kwa mke wangu ni kinyume chake,nikiwa nyumbani Mwezi mzima huwa ndoa inaanza kuwa na makwazo,Sasa hivi tunakutana wikiendi tu,huwezi kuamini tunaishi kwa Amani sana yaani mpaka anaota tako😀😀
 
Hiyo na 7,kwa mke wangu ni kinyume chake,nikiwa nyumbani Mwezi mzima huwa ndoa inaanza kuwa na makwazo,Sasa hivi tunakutana wikiendi tu,huwezi kuamini tunaishi kwa Amani sana yaani mpaka anaota tako😀😀😀
Ww wiki tu una piga dolia😃😃😃,kuna mabaaharia miezi hata sita hamjui mkewe!hao ndio nimewaongelea hapo no.7
 
Kuna jamaa yangu mmoja ni mtu wa M-ngu,mtu wa ibada hasa ila ndoa yake inawaka Moto🔥🔥juzijuzi hapa kanitumia sms ananiambia "ndoa imemshinda anatamani kufa" nikampa madini mawili matatu,now katulia...Namheshimu sana M-ngu,kiasi kwenye threads zangu naandika jina lake in codes na lazima nianze kwa herufi kubwa lkn niseme M-ngu sio mbadala wa maarifa,mtafute M-ngu,tafuta na maarifa pia.
kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa. MITHALI 1:7.
hakuna maarifa nje ya Mungu. HAKUNA!

Roho Mtakatifu hutufunulia yote, hata mafumbo ya Mungu. 1Kor 2:10. hutufundisha yote! 1Yoh 5:27
 
kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa. MITHALI 1:7.
hakuna maarifa nje ya Mungu. HAKUNA!

Roho Mtakatifu hutufunulia yote, hata mafumbo ya Mungu. 1Kor 2:10. hutufundisha yote! 1Yoh 5:27
Hivi unaamini kuwa mtu anaweza kuwa na M-ngu na akawa hana maarifa?
 
👉Me nakazia kwenye 👉AKILI TU

👉Naludia tena Mwanamke ni kwa MWANAUME mwenye akili tu Basi na Sio mpumbavu yoyote


👉Ukiwa na akili kiumbe Mwanamke atakua baraka Sana Kwako na utakua MWANAUME dhabiti na imara KIROHO, kiakili na kimwili


👉atakujaza kwa vyotee na utakua MTU mwenye FURAHA na AMANI milele


👉Hautaumwa hovyo, hutazeeka haraka You'll live long life 😊



Wakuu tafuteni AKILI na HEKIMA kutafuta Pesa ni kuhangaika Tu


Ndani ya AKILI NA HEKIMA kuna Nguvu ya kupata utajiri wa haki na udumuo


👉 Unatafuta Pesa huna akili wala Hekima then huna nguvu ya kupata Pesa ni kuhangaika Tu na kiumbe Mwanamke atakutesa Sana na utakufa mapema kwa stroke na stress na Pesa zako hazitokisaidia chcht mpumbavu wewe


NOTE 👇

Tumekuja kukamilisha hatujaja kutafuta, tungekua kumekuja kutafuta tungekuwa tunaondoka navyo Basi👉 si vya Kwetu tumetafuta 😂
 
Ndoa ni tamu,ndoa ni paradiso,ndoa ni utajiri,wanaosema ndoa ni ujambazi hawajui codes za ndoa.
Baba yangu alipenda kuniambia "ignorance is the biggest enemy in your life"

mchawi wa mafanikio makubwa yoyote yale ni ujinga,watu wengi wameingia kwenye ndoa na hawajui ndoa ni Nini?hawajui Kama wanahitaji ndoa au wanataka ndoa,they think marriage is for everybody,wanafikiri ukiwa na pesa tu inatosha kuwin race,ingekuwa hivyo ndoa za matajiri zisingevunjika,ndoa inahitaji misuli ya akili.

twende Sasa kwenye akili kumi za kumteka mwanamke(mke)

1. Be transparent


Ukitaka kuiteka akili ya mwanamke kuwa mwuwazi hasa kwenye mawasiliano,mpe password zako zote,wanawake huwa wanapenda kuchunguza Sana simu za waume zao,coz they believe every man is a cheater,so to prove her wrong mwachie simu yako hata siku nzima then utakuja kutupa mrejesho hapa, mm naweza kumwachia wife simu hata wiki,nafanya hivyo makusudi ili nijijengee uaminifu.

2. Mzidi mambo ya msingi
(Yapo matano)

Unatakiwa kumzidi elimu,kipato,umri,kimo na akili,kwenye hayo matano la msingi zaidi ni Akili,acha akuzidi mambo yote lkn usiruhusu akuzidi akili,you have to be smarter than her,nje hapo utakuja na uzi wa kulialia na kusema ndoa ni ujambazi,kwenye hayo matano,nimempita wife elimu,kipato,kimo,umri tunalingana ila akili nimemwacha mbali Sana,anapokuwa na swali lolote la ki intelligencia lazima kwanza anione expert wake.

3.Mchagulie marafiki

Ukimwacha eva wako ajichagulie marafiki,atachagua nyoka,so plz usifanye hili kosa,tumia akili kumweka mkeo karibu na wanawake matured kiroho na kiakili,ukitaka awe business woman basi mweke karibu na business women waliotoboa,ukitaka awe wife material mweke karibu na wanawake wanaoheshimu ndoa zao "Akili ya mwanamke inakula kwa mwanamke mwenzake"so find matured women to feed her"

4.Najua kuoa sijui kuacha

Hii akili niliipata kwa mzee wangu,mara nyingi mama anapotishia kuondoka na kudai talaka mzee alikuwa anasema hilo neno kwa kurudia rudia "najua kuoa sijui kuacha" basi mama ananyong'onyea anakuwa mpole maisha yanaendelea!nikaichukua hii akili,sema tu kwa sauti ili asikie,"najua kuoa sijui kuacha,wadau kuacha bila sababu za msingi ni udhaifu mkubwa ila kuachwa bila sababu za msingi huo ni ushujaa.

5. Saidia ndugu zake bila kumshirikisha

Ndugu au wazazi wake wana uhitaji solve kimya kimya,wao ndio waje wamwambie ulichowafanyia,siku akijua itagusa sana hisia zake na atakuona ni mtu unayejali na kujitoa.

6. Kataa vikao vya usuluhishi

Tangu nimeoa(10 yrs now)sijawahi kukaa kikao cha kusuluhisha ndoa,hii kitu niliikataa tangu mwanzo,kwasababu maamuzi ya kwny vikao vingi yana mlengo wa kike,vikao vina reduce your manhood,Kama mke haelewi itikadi zako,mwache arudi kwao akapumzike au akubali tu myamalize kimya kimya,maisha yaendelee.

7. Usiishi mbali na mke

Nimeona ndoa kadhaa eti mwanamke yuko dom,mwanaume yuko dar,mbaya zaidi wanakaa kwny hali hiyo miaka na miaka,dah!Mimi sitakaa nifanye kosa hilo,au Kuna wale jamaa wa kazi za kusafiri,miezi hayupo nyumbani,hata Kama maisha magumu isiwe sababu ya kufanya kazi yoyote bila kujali afya ya mahusiano yako,akili ni kufanya kazi inayokuweka karibu na familia.

8. Be her boss

Kama una mapafu ya kutengeneza project flani hv ya kifamilia na mkeo akawa supervisor fanya hivyo,hakikisha unamlipa mshahara ili aone ni kazi Kama kazi zingine"Be her boss" wadau huko maofisini maboss wanafaidi sana,nadhani utakuwa umeshasikia masuala ya rushwa ya ngono,wake za watu ni wahanga wakubwa, believe it or not!

9.Fanya mambo makubwa bila kumwambia(be unpredictable)

Mwanamke anatakiwa ashindwe kukutabiri,asijue nini utafanya next,hapo utaiteka akili yake kirahisi sana,kuna kipindi nilijenga nyumba,naweka msingi hajui,napandisha tofari hajui,nafunga linta hajui,nikafika hatua ya kupaua,ndio nikamwambia nenda kule site,wkt huo jamaa washapiga kenchi,kawakuta wanapiga bati,akajua amepotea,simply she was confused!dat day,narudia tena dat day,nilipewa shoo ya kibabe,ya kukata kwa shoka😂🤣.
Be unpredictable usim boe mkeo!

10. Two sided life

Hapa namaanisha uwe na maisha ya sehemu mbili,eneo moja unaishi na familia eneo jingine unaspend time alone na hakikisha lina utulivu wa kutosha,why this? Ndoa zinachamoto zake,sometimes stress ni nyingi,you want to be alone so tengeneza hiyo comfort zone iwe ni mahali pa faraja na meditation kwa afya ya akili.

Note this
Wadau najua unaweza kufanya hayo yote na bado ukaachwa,hapa nirudie tena kusema kwa herufi kubwa KUACHWA NI USHUJAA
KUACHA NI UDHAIFU


Women are complicated creatures,the late Abraham Lincoln aliwahi kusema"Woman is the only thing I am afraid of,that I know will not hurt me"

View attachment 3031353
Hebu tuzidi kupeana akili na mbinu za kuishi na Hawa viumbe,tuziokoe ndoa nyingi zinazoelekea kufa na M-ngu atubariki.
tafuta hela
 
Back
Top Bottom