Akili mbovu ya vijana wa kizazi hiki kufikiria wakatapa teuzi kwa kusifia viongozi

Akili mbovu ya vijana wa kizazi hiki kufikiria wakatapa teuzi kwa kusifia viongozi

Kuna tabia ya vijana bila hata kupewa chochote huibuka na kusifia viongozi hata ambavyo hastahili. Hii imekuwa kero kwa baadhi ya viongozi ambao hawana hulka ya kutaka sifa wamekuwa wakijitenga nao...
Ogopa njaa bro! Uwe na njaa harafu akili huna, na huna values/misingi bora binafsi ya maisha,
Utakuwa chawa tu, utasifia kila mwanaume.
 
Sawa nashukuru maana najuwa wewe huwa unachuki binafsi na mimi. Kikubwa lazima tufahamu kuwa kutofautiana mitazamo ni jambo la kawaida katika mijadala,na hili hiyo ni hatua njema katika maendeleo ya fikira kwa maslahi mapana ya Taifa letu...
Kwani wewe huwa unaleta au kuchangia hoja yoyote zaidi ya kutoa rushwa ya sifa kwa Rais, ambayo mpaka leo haijafanikiwa kukupa unachokitafuta?

Ukweli unafanya mambo ya hovyo kiasi cha kumfanya hata huyo unayemsifia akudharau, maana maandiko yako huonesha dhahiri unafiki wako.

Sidhani kama katika jukwaa hili kuna yeyote mwenye maandiko ya unafiki kama wa kwako.
 
Sasa ndugu. Inategemea tafsiri na uelewa wa huyo mtu.

Mimi na uanasheria wangu nimesoma mkataba na nimeona hauna mapungufu. Hoja nyingi zinazotolewa ni hofu tu za watu ila haziko katika mkataba kama mkataba as mapungufu ya kimkataba.

Sasa nikisimamia msimamo wangu na mimi nimekuwa chawa?
Loh! Wewe ni mwanasheria!! Maajabu makubwa. Mbona michango yako humu haina dalili yoyote ya weledi? Mbona haiwi tofauti na michango ya watu wasio na upeo wowote, kama akina Faizafoxy?
 
Back
Top Bottom