Uchaguzi 2020 Akili ni kumuacha Tundu Lissu agombee bila vikwazo, NEC na CCM eleweni

Uchaguzi 2020 Akili ni kumuacha Tundu Lissu agombee bila vikwazo, NEC na CCM eleweni

CWR2016

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
2,773
Reaction score
6,349
Habari wana JF,

Nimekuwa nikijiuliza ni akili gani walionayo CCM na rafiki zao eti kutaka kutumia kichaka kumkata T. Lissu?

Kama CCM mngekuwa na akili, basi muacheni Tundu Lissu agombee na wala msihangaike kumuwekea mizengwe.

Iko hivi Tundu Lissu anaenda kuwa mgumu zaidi na Upinzani halisi utatapakaa Tanzania yote, kama mtamkata awamu hii.

Kiufupi CCM wote mmekaa mnataka kuahirisha pambano. Kiufupi, kumkata TAL ni kuahirisha pambano. Sasa kipi bora, mumuache atinge ulingoni, mpambane, mkimshinda, outomatically umaarufu wake una drop siku zijazo.

Au mnataka achukue option two na harakati zikue zaidi, halafu mje mrudi tena ulingoni mumkute, ambapo hamtamuweza tena.

Tatizo CCM mlizoea wapinzani feki, mliofunga nao mikataba. Kubalini kwamba sasa hivi mtashindana na mpinzani halisi. Jiteteeni kwa vitu mlivyojenga, si vinaonekana!?, hofu ya nini.

Pia acheni mbinu zenu za kutaka kubambika watu ma kesi. Au hila zozote za kudhuru. Ni upumbavu wa hali ya juu.

NEC chagueni kusimama na Tanzaia au mtasimama na CCM.

AMANI NI TUNDA LA HAKI.

HAKI HUINUA TAIFA.
 
Huyu ni mvunja sheria lazima akutane na mkono wa sheria
Mvunja sheria ipi? Hakuna sheria inayokataza siasa Tz muda wowote..

Ona ma CCM wenzako wakienda kuchukua fomu
IMG_20200822_233105.jpg
IMG_20200822_232948.jpg
IMG_20200822_233108.jpg
IMG_20200822_232836.jpg
IMG_20200822_232831.jpg
IMG_20200822_233105.jpg
 
Wamejipanga kumfungulia kesi mpya ya uchochezi , naona makachero wamepangwa kumkamata muda wowote kuanzia leo saa nane mchana , eti amefanya uchochezi njombe.
 
Bata kaharisha kuku kanya.
Membe nae tunamchora tu, kijani wa zambarau.
Eti alitafuta wadhamini kimya kimya, Pemba na Unguja alipokelewa kwa maandamano ya nini.?

Hawa wagombea ubunge wa CCM je? Wakienda kuchukua fomu jana na leo..
Ni maandamano au nn..
IMG_20200822_233105.jpg
IMG_20200822_233108.jpg
IMG_20200822_232831.jpg
 
Huyu ni mvunja sheria lazima akutane na mkono wa sheria
Dunia inashangaza utashangaa mpaka umauti Madogo wakulungu watume nyuti.

Hatukurupuki. kunyesha tunanyesha baba Hatiuchuruzuki tumechill tuko full Hatufurukuti
vichwa havizunguki
 
Wamejipanga kumfungulia kesi mpya ya uchochezi , naona makachero wamepangwa kumkamata muda wowote kuanzia leo saa nane mchana , eti amefanya uchochezi njombe.
Wanaogopa nn, si waache tupige kura! Amechochea nini mbona nchi bado imetulia. Wapi pamelipuka. Waache tupige kura, wao wana madaraja, ndege, vivuko, zahanati, daraja la ubungo, reli, n.k

Sisi tuna waliovunjiwa nyumba, wakulima wa korosho, wafanyakazi wasiopandishwa mshahara, au vyeo. Wafanyakazi waliokatwa HESLB 15% badala ya 8%. Walioambiwa serikali haijaleta tetemeko, au njaa.

Tuna wahitimu wa vyuo wasio na ajira.

Wao watulie tu.
 
Habari wana JF,

Nimekuwa nikijiuliza ni akili gani walionayo CCM na rafiki zao eti kutaka kutumia kichaka kumkata T. Lissu?...

Rais magufuli najua awamu hii utashinda. Niombe acha kabisa kushindana na Lisu huyu mtu atakuumbua let him speak even if is nonsense msimkate, mpeni support najua hawezi shinda
 
Yaaan wanachopanga kukifanya dhidi ya lussu ndio wanampa umaarufu zaidi

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Wajinga, kutumia akili hawataki. Full mabavu.

Na marekani wamechill wanasubiri tumuumize TL kijinga jinga, watandike vikwazo.

Sasa kwa ujinga wanataka kutugharimu nchi nzima .
 
Habari wana JF,

Nimekuwa nikijiuliza ni akili gani walionayo CCM na rafiki zao eti kutaka kutumia kichaka kumkata T. Lissu?

Kama CCM mngekuwa na akili, basi muacheni Tundu Lissu agombee na wala msihangaike kumuwekea mizengwe...
Mh. ZITTO Wewe mpigie kampeni Membe!
 
Rais magufuli najua awamu hii utashinda
Niombe acha kabisa kushindana na Lisu huyu mtu atakuumbua let him speak even if is nonsense msimkate, mpeni support najua hawezi shinda
Sheria muhimu kufuatwa. Mlipashwa kumshauri asigombee kwa kuwa Sheria ya Uchaguzi haimpi mwanya huo. Mnajua kabisa hawezi kugombea ubunge kwa miaka mitano hivyo hana vigezo vya kugombea urais pia.
 
Back
Top Bottom