JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Chuma hiki hapa, siyo battery inakaa peupe peupe.Kuweka battery nyuma ya gari.
Gari za Dodge hizi😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuma hiki hapa, siyo battery inakaa peupe peupe.Kuweka battery nyuma ya gari.
We ukifanya service ya 20,000 na mwenzio ya laki na nusu, Wote mnatafanya service baada ya Km3000?Service yake na spares mbona husemi? Yaani filter tu 150,000?
Raha zinataka pesa mkuu.Jirani yangu naona kalipaki linapata kutu huku akishinda na ist Toyota, inaonekana hapendi raha kabisa Huyu.
E46 na E53 gap ni kubwa sana.Sure.. Kwenye handling wamedesign kweli kweli..
Consumption.. Hapa inategemea ipo kwenye chassis gani.. M54B30 kwenye heavy body ya E53 ni very thirsty tofauti na kwenye E46 330i..!
Mkuu, hii kitu wala lengo sio kufanya battery idumu muda mrefu. Lengo ni kupunguza uzito upande mbele wa gari.Hii kampuni ya Kijerumani yenye makao yake makuu katika jiji la Munich inatengeneza magari bora zaidi duniani.. Magari ambayo ukiendesha lazima upate furaha.. Gari huichoki.. Driver oriented..
Ultimate Driving Machine..!
Kuweka battery nyuma ya gari.
Gari nyingi battery zake zinakaa mbele kwenye bonnet.. Mbele huko kuna engine ambayo inatoa joto kali sana..Battery inakuwa exposed na joto la engine na kusababisha lifespan ya battery kupungua..!
BMW akili nyingi wanaweka battery nyuma.. Inasaidia kudumu zaidi.. Pia ni advantage kwa wale wanaofunga mziki mnene..utatumia wire mfupi sababu battery na amplifier vyote vipo nyuma..!
Uzi ufungwe umemalizaAcha tuendelee na mjapani kwanza tukishahamia kwenye nyumba zetu na kujenga uzio tutafikiria hili wazo lako, maana likizingua unalilaza parking unafanya mambo mengine
Hahaha hawa wameyumba..chini kwenye tairi.. Itachafuka na vumbi tope..!Chuma hiki hapa, siyo battery inakaa peupe peupe.
Gari za Dodge hizi😂😂😂
View attachment 2399519
Aisee uzito wa battery ndio ulete weight distribution..!!!? Battery ya gari hardly kufika 30kgs..engine oil + coolant + maji ya wiper almost na uzito wa battery.. Bado kuna engine yenyewe nzito mbele..!Mkuu, hii kitu wala lengo sio kufanya battery idumu muda mrefu. Lengo ni kupunguza uzito upande mbele wa gari.
Mgawanyiko wa uzito wa gari kati ya mbele na nyuma (weight distribution) huwa una athiri sana handling ya gari. Hasa kwenye barabara zenye kona kona.
Weight distribution ya models nyingi za BMW ni 50:50. Ndio maana kwenye handling ni kiboko. Ukiendesha unajikuta unatabasamu tu.
Structure ya body na uzito pia.Yes.. Kwahiyo consumption inategemea body..!
Mkuu, hii kitu mbona ni Physics ya shule ya msingi kabisa. Au umesahau mambo Nyenzo Daraja la Kwanza? Hiyo less than 30kg unayoichukulia poa ina impact kubwa sana.Aisee uzito wa battery ndio ulete weight distribution..!!!? Battery ya gari hardly kufika 30kgs..engine oil + coolant + maji ya wiper almost na uzito wa battery.. Bado kuna engine yenyewe nzito mbele..!
Weight distribution ni kwenye gari zinatotumia umeme.. Battery zake nzito kweli kweli.. Ila sio hizi za BinSlum..!
Aisee unazidi kuchanganya vitu.. Hakuna gari ipo na structure hiyo.. Umepunguza support moja lazima turning itakuwa hivyo.. Ila gari ina support mbele na nyuma..Mkuu, hii kitu mbona ni Physics ya shule ya msingi kabisa. Au umesahau mambo Nyenzo Daraja la Kwanza? Hiyo less than 30kg unayoichukulia poa ina impact kubwa sana.
Mkuu, hiyo principle tu ya weight distribution. Haimaanishi gari litakuwa exactly kama hivyo.Aisee unazidi kuchanganya vitu.. Hakuna gari ipo na structure hiyo.. Umepunguza support moja lazima turning itakuwa hivyo.. Ila gari ina support mbele na nyuma..
Neno Principle ni valid kwenye condition fulani.. Ukibadilisha condition principle inakuwa invalid..Mkuu, hiyo principle tu ya weight distribution. Haimaanishi gari litakuwa exactly kama hivyo.
Hao ndio mainjinia wa Hitler.. Wapo kwenye game muda mrefu sana..Wataalamu wa magari wanadai kuwa Volkswagen ndiyo kampuni inayoaminika ujerumani ni kama vile Toyota Kwa Japan. Pia Volkswagen ina technology ya Hali juu Sana kwenye gear box na engine hata Mimi nakubaliana na Hili baada ya kuangalia video kwenye YouTube Kati ya DSG TRANSMISSION (VOLKSWAGEN) Vs SUPER TRONIC(BMW).
Hahahaha 🤣🤣😂🤣 hatari sanaHao ndio mainjinia wa Hitler.. Wapo kwenye game muda mrefu sana..
VW beetle ina rekodi nyingi ikiwamo watu 20 kuweza kuingia kwenye gari moja.. Na ndio ilikuwa gari ya kwanza kuuza kopi 20 M..!
Naongelea engines za B58 na S58 specifically.Sure.. Kwenye handling wamedesign kweli kweli..
Consumption.. Hapa inategemea ipo kwenye chassis gani.. M54B30 kwenye heavy body ya E53 ni very thirsty tofauti na kwenye E46 330i..!