Akili ya BMW kwenye Magari

Akili ya BMW kwenye Magari

Sio mtaalamu wa haya magari ingawa ninayo X3, 2.5. Ina 4w inajibadilisha automatic kulingana na mazingira ya barabara. Swali linalonisumbua ni kwenye Dashboard inaonyesha 5.7km/L.
Kwa uelewa lita moja unaenda km 5.7.
Nafikiria nirudi kwenye IST. Nsombeni Ushauri View attachment 2400300
Iweke garage mkuu,chukua pikipiki
 
Mkuu hizi gari unaenda goggle wewe ndio unaangalia unayoitaka kutokana na mwaka na mfuko wako kwenye Kodi hizo gari hazisumbui na ukinunua parts yake inadumu kwa muda mrefu wakati kwa gari ingine ushanunua mara kadhaa na matumizi ya mafuta ipo kawaida na ni gari ina balance sana bara barani pamoja na confort ipo humo..hizo gari ni kuzingatia upate ya kuanzia 2010 kuja mbele sio iwe muda zaidi utaikuta baada ya muda kidogo inahitaji matengenezo hayo unayoyasikia humu..
Asante sana Mkuu
 
Hii kampuni ya Kijerumani yenye makao yake makuu katika jiji la Munich inatengeneza magari bora zaidi duniani.. Magari ambayo ukiendesha lazima upate furaha.. Gari huichoki.. Driver oriented..
Ultimate Driving Machine..!

Kuweka battery nyuma ya gari.
Gari nyingi battery zake zinakaa mbele kwenye bonnet.. Mbele huko kuna engine ambayo inatoa joto kali sana..Battery inakuwa exposed na joto la engine na kusababisha lifespan ya battery kupungua..!
BMW akili nyingi wanaweka battery nyuma.. Inasaidia kudumu zaidi.. Pia ni advantage kwa wale wanaofunga mziki mnene..utatumia wire mfupi sababu battery na amplifier vyote vipo nyuma..!

Engines zao ni Inline 6.
Kampuni nyingi zimehama kwenye engine configuration..BMW hawa mpaka leo hawatengenezi V6.. Wamebaki na I-6.. Power delivery yake ni very smooth.. Engine iko well balanced.. Ndio inafanya huchoki kueindesha gari huku unasmile usoni..!

Gari zao ni RWD.
BMW almost zote zina engine mounted North to South.. Then drive shaft inapeleka power kwenye tairi za nyuma.. Kwahiyo tairi za nyuma ndio zinaendesha gari huku za mbele zinaongoza gari.. Huu mgawanyo wa majukumu unaleta balance nzuri sana kwenye gari.. Gari inakuwa na uwezo wa kuhandle power kubwa.. Kuvuta mzigo mkubwa.. Manoeuvring kirahisi zaidi barabarani.. Kudrift n spin kirahisi..hata matairi yanaisha taratibu.. Kiujumla gari inakuwa tamu tofauti na gari inayoendeshwa na tairi za mbele FWD..! Gari inasukumwa na sio Kuvuta..!

Kutokana na akili yao nyingi Ninaomba tuendelee kuwaunga mkono kwa kununua gari zao kwa wingi..!
Iliungua balbu ya taa ya mbele tukazunguka Dar nzima ikapatikana kwa 120,000/=
 
2007, X3 nilikuwa nayo ilikuwa ya diesel haikuwa AWD. Sijajua ilikuwa ni fault au ndivyo ilivyotengenezwa ila ilikuwa inaweza kukwama sehemu ya kijinga kweli na ilivyonzito kuitoa ilikuwa kazi. Ndo maana nikasema kwa mazingira yetu gari kuwa rear wheel halafu SUV na nzito vile ni ujinga.
BMW X3 toleo la kwanza za dizeli zote ni Xdrive.

Kama yako ilikuwa inavuta nyuma tu, then kuna shida mahali.
 
BMW X3 toleo la kwanza za dizeli zote ni Xdrive.

Kama yako ilikuwa inavuta nyuma tu, then kuna shida mahali.
Inawezekana. Maana hata reviews nilikuwa nikizitazama naona hichi ulichoandika. Nilishaiuza, ni miaka imepita.
 
Pole yako.. E83 zote zina 4wd.. Inaweza kuwa fault kama ulivyosema..
Halafu sio BMW peke yao wanaotengeneza gari za Rwd.. Gari za kampuni nyingi ni kupush nyuma.. Canter.. Coaster.. Hiace.. Pickups.. Zote hizo ziwe za kijinga!! Angalia jinsi zinavyofanya kazi kwenye ujenzi wa Taifa..!
Kukwama kupo tuu.. Ni kubeba mirunda na kamba ya kutokea..
Zinakwama Land cruiser maporini huko anazungumzia Bima watu wengine bhana kwa hiyo anataka kuaminisha jamii kuwa hizi gari za starehe kama server ya TRA inavyotambua iende kwenye matope huko isikwame wakati pana muda hata Land rover unafikiri upite au ugeuze maana anaweza kupita popote ni Nissani chura..na Nissan nyingi zipo sawa kwenye tope..
 
Gari za bmw ni za kijinga kwa mazingira yetu iwapo zitavuta nyuma tu. Miaka ya nyuma nilimiliki X3 ambayo ilivuta nyuma tu, Likitu lizito halafu linaendeshwa na tairi mbili za nyuma linakwama sehemu za kijinga sana. Ukweli ni kwamba mbio mbio sijui drift si muhimu sana kwa Watanzania sababu ya barabara zetu. Vijana tu wanalazimisha. Sisi offroad perfomance ni muhimu. Kumiliki gari ambayo uzuri wake unaonekana kwenye lami tu ni shida sana hapa kwetu. Safari yoyote lazima uulize kama hiyo barabara ni lami.
Bado hakuna mantiki kwenye comment yako
 
Zinakwama Land cruiser maporini huko anazungumzia Bima watu wengine bhana kwa hiyo anataka kuaminisha jamii kuwa hizi gari za starehe kama server ya TRA inavyotambua iende kwenye matope huko isikwame wakati pana muda hata Land rover unafikiri upite au ugeuze maana anaweza kupita popote ni Nissani chura..na Nissan nyingi zipo sawa kwenye tope..
Hoja yake huyo jamaa ni nyepesi mno na haina mashiko
 
Wataalamu wa magari wanadai kuwa Volkswagen ndiyo kampuni inayoaminika ujerumani ni kama vile Toyota Kwa Japan. Pia Volkswagen ina technology ya Hali juu Sana kwenye gear box na engine hata Mimi nakubaliana na Hili baada ya kuangalia video kwenye YouTube Kati ya DSG TRANSMISSION (VOLKSWAGEN) Vs SUPER TRONIC(BMW).
Gear box ya DSG hata BMW, wanatumia sana, angalia kwenye min coper, na baadhi ya BMW na hizi ndio zinafanya kumuumiza kichwa mjapani
 
BMW ni gari nzuri lkn kila siku lazima itakuwa inafeli mahali. Lazima itasumbua. Kuna madudu mengi sana ambayo inabidi urekebishe na ufuatilitie muda wote, haswa kama ni model ya zamani. Ni gari ambayo vifaa vinafeli kwa kasi, kimoja baada ya kingine.
 
Hii kampuni ya Kijerumani yenye makao yake makuu katika jiji la Munich inatengeneza magari bora zaidi duniani.. Magari ambayo ukiendesha lazima upate furaha.. Gari huichoki.. Driver oriented..
Ultimate Driving Machine..!

Kuweka battery nyuma ya gari.
Gari nyingi battery zake zinakaa mbele kwenye bonnet.. Mbele huko kuna engine ambayo inatoa joto kali sana..Battery inakuwa exposed na joto la engine na kusababisha lifespan ya battery kupungua..!
BMW akili nyingi wanaweka battery nyuma.. Inasaidia kudumu zaidi.. Pia ni advantage kwa wale wanaofunga mziki mnene..utatumia wire mfupi sababu battery na amplifier vyote vipo nyuma..!

Engines zao ni Inline 6.
Kampuni nyingi zimehama kwenye engine configuration..BMW hawa mpaka leo hawatengenezi V6.. Wamebaki na I-6.. Power delivery yake ni very smooth.. Engine iko well balanced.. Ndio inafanya huchoki kueindesha gari huku unasmile usoni..!

Gari zao ni RWD.
BMW almost zote zina engine mounted North to South.. Then drive shaft inapeleka power kwenye tairi za nyuma.. Kwahiyo tairi za nyuma ndio zinaendesha gari huku za mbele zinaongoza gari.. Huu mgawanyo wa majukumu unaleta balance nzuri sana kwenye gari.. Gari inakuwa na uwezo wa kuhandle power kubwa.. Kuvuta mzigo mkubwa.. Manoeuvring kirahisi zaidi barabarani.. Kudrift n spin kirahisi..hata matairi yanaisha taratibu.. Kiujumla gari inakuwa tamu tofauti na gari inayoendeshwa na tairi za mbele FWD..! Gari inasukumwa na sio Kuvuta..!

Kutokana na akili yao nyingi Ninaomba tuendelee kuwaunga mkono kwa kununua gari zao kwa wingi..!

Pia usisahau, BMW ndio gari ya kwanza kutengeneza V8 engine ambayo ina twin turbo ambazo zipo kwenye lile bonde la pale katikati. Wanaita Hot Vee V8 engines.

Yaani wakati kampuni zingine zikitengeneza v8 engines pale kati wanaweka intake manfold. Halafu turbo wanaziweka huko pembeni na kupelekea engine kuchukua sehemu kubwa.

BMW wakaja na Hot Vee engine ambayo ni N63 ambayo kwa mara ya kwanza waliiweka kwenye X6.

Hii Hot Vee layout ina advantages mbili.

1. Inapunguza sana turbo lag, kwa sababu turbo zipo karibu na exhaust manfold.

2. Inafanya engine kuchukua sehemu ndogo. Tofauti na turbo zikikaa huko pembeni.

Hiyo point namba 1 ya turbo lag ni mojawapo ya sababu kwanini BMW X5 m competition na BMW X6 M competition zinanyanyasa sana huko barabarani hasa F series na G series. Mliozifatilia hizi gari nadhani mnaujua moto wake.

Ingawa hiyo N63 engine yale matoleo ya mwanzo ilileta shida sana probably walishindwa kucontrol joto kubwa hasa ukizingatia engine ni direct injection plus twin turbos.

Ila matoleo ya mbele yake walifix hizo failures na sasa ni moja kati ya best high end perfomance engines za BMW.

Audi, Mercedes, Porche wameshaadapt aina hiyo ya engine.

Toyota ndio wanafile patent sasa hivi nao walete chuma kama hicho.

For real these BMW guys wana akili ya peke yao.
 
Pia usisahau, BMW ndio gari ya kwanza kutengeneza V8 engine ambayo ina twin turbo ambazo zipo kwenye lile bonde la pale katikati. Wanaita Hot Vee V8 engines.

Yaani wakati kampuni zingine zikitengeneza v8 engines pale kati wanaweka intake manfold. Halafu turbo wanaziweka huko pembeni na kupelekea engine kuchukua sehemu kubwa.

BMW wakaja na Hot Vee engine ambayo ni N63 ambayo kwa mara ya kwanza waliiweka kwenye X6.

Hii Hot Vee layout ina advantages mbili.

1. Inapunguza sana turbo lag, kwa sababu turbo zipo karibu na exhaust manfold.

2. Inafanya engine kuchukua sehemu ndogo. Tofauti na turbo zikikaa huko pembeni.

Hiyo point namba 1 ya turbo lag ni mojawapo ya sababu kwanini BMW X5 m competition na BMW X6 M competition zinanyanyasa sana huko barabarani hasa F series na G series. Mliozifatilia hizi gari nadhani mnaujua moto wake.

Ingawa hiyo N63 engine yale matoleo ya mwanzo ilileta shida sana probably walishindwa kucontrol joto kubwa hasa ukizingatia engine ni direct injection plus twin turbos.

Ila matoleo ya mbele yake walifix hizo failures na sasa ni moja kati ya best high end perfomance engines za BMW.

Audi, Mercedes, Porche wameshaadapt aina hiyo ya engine.

Toyota ndio wanafile patent sasa hivi nao walete chuma kama hicho.

For real these BMW guys wana akili ya peke yao.
Wajerumani wako more advanced kwenye industry ya magari mara nyingi huwa naangilia kwenye channel ya NATIONAL GEOGRAPHIC na DISCOVERY FAMILY jinsi wajerumani wanavyofanya tafiti na kufanya design za magari hakika hawa jamaa ni noma
 
Pia usisahau, BMW ndio gari ya kwanza kutengeneza V8 engine ambayo ina twin turbo ambazo zipo kwenye lile bonde la pale katikati. Wanaita Hot Vee V8 engines.

Yaani wakati kampuni zingine zikitengeneza v8 engines pale kati wanaweka intake manfold. Halafu turbo wanaziweka huko pembeni na kupelekea engine kuchukua sehemu kubwa.

BMW wakaja na Hot Vee engine ambayo ni N63 ambayo kwa mara ya kwanza waliiweka kwenye X6.

Hii Hot Vee layout ina advantages mbili.

1. Inapunguza sana turbo lag, kwa sababu turbo zipo karibu na exhaust manfold.

2. Inafanya engine kuchukua sehemu ndogo. Tofauti na turbo zikikaa huko pembeni.

Hiyo point namba 1 ya turbo lag ni mojawapo ya sababu kwanini BMW X5 m competition na BMW X6 M competition zinanyanyasa sana huko barabarani hasa F series na G series. Mliozifatilia hizi gari nadhani mnaujua moto wake.

Ingawa hiyo N63 engine yale matoleo ya mwanzo ilileta shida sana probably walishindwa kucontrol joto kubwa hasa ukizingatia engine ni direct injection plus twin turbos.

Ila matoleo ya mbele yake walifix hizo failures na sasa ni moja kati ya best high end perfomance engines za BMW.

Audi, Mercedes, Porche wameshaadapt aina hiyo ya engine.

Toyota ndio wanafile patent sasa hivi nao walete chuma kama hicho.

For real these BMW guys wana akili ya peke yao.
B58 & S58 engines zina balaa si kidogo.
 
Pia usisahau, BMW ndio gari ya kwanza kutengeneza V8 engine ambayo ina twin turbo ambazo zipo kwenye lile bonde la pale katikati. Wanaita Hot Vee V8 engines.

Yaani wakati kampuni zingine zikitengeneza v8 engines pale kati wanaweka intake manfold. Halafu turbo wanaziweka huko pembeni na kupelekea engine kuchukua sehemu kubwa.

BMW wakaja na Hot Vee engine ambayo ni N63 ambayo kwa mara ya kwanza waliiweka kwenye X6.

Hii Hot Vee layout ina advantages mbili.

1. Inapunguza sana turbo lag, kwa sababu turbo zipo karibu na exhaust manfold.

2. Inafanya engine kuchukua sehemu ndogo. Tofauti na turbo zikikaa huko pembeni.

Hiyo point namba 1 ya turbo lag ni mojawapo ya sababu kwanini BMW X5 m competition na BMW X6 M competition zinanyanyasa sana huko barabarani hasa F series na G series. Mliozifatilia hizi gari nadhani mnaujua moto wake.

Ingawa hiyo N63 engine yale matoleo ya mwanzo ilileta shida sana probably walishindwa kucontrol joto kubwa hasa ukizingatia engine ni direct injection plus twin turbos.

Ila matoleo ya mbele yake walifix hizo failures na sasa ni moja kati ya best high end perfomance engines za BMW.

Audi, Mercedes, Porche wameshaadapt aina hiyo ya engine.

Toyota ndio wanafile patent sasa hivi nao walete chuma kama hicho.

For real these BMW guys wana akili ya peke yao.
BMW ilianza kama kampuni ya kutengeneza engines kabla ya kuanza kutengeneza magari.. Kwahiyo likija swala la engines hapo ndio penyewe..!

Engines za BMW zina character ya tofauti.. Zinahitaji uzipush.. BMW sio gari ya kuendesha kama Toyota kwenye 2500rpms.. BMW engine inakuwa alive kuanzia 4000rpms mpaka redline bila kukata puff..
Head design yao ni hatari.. flow ya hewa kwenye engines zao ni unmatched..!

Engines za performance kwa Toyota kama 3sgte..3M kwenye Toyota 2000GT..1LR kwenye Lexus LFA.. Imebidi ashirikiane na Yamaha.. Kupata head nzuri..!ndio maana ukiendesha 3gste unapata kusmile jinsi engine inavyobehave.. Inapumua vizuri.. Character ya BMW..

Mwisho kabisa.. Toyota Supra ambayo ni legendary/icon kwa Toyota imekubali kuwa powered na mashine ya Bavaria..wamenyoosha mikono hapo..!
 
Back
Top Bottom