Akili ya BMW kwenye Magari

Akili ya BMW kwenye Magari

BMW ilianza kama kampuni ya kutengeneza engines kabla ya kuanza kutengeneza magari.. Kwahiyo likija swala la engines hapo ndio penyewe..!

Engines za BMW zina character ya tofauti.. Zinahitaji uzipush.. BMW sio gari ya kuendesha kama Toyota kwenye 2500rpms.. BMW engine inakuwa alive kuanzia 4000rpms mpaka redline bila kukata puff..
Head design yao ni hatari.. flow ya hewa kwenye engines zao ni unmatched..!

Engines za performance kwa Toyota kama 3sgte..3M kwenye Toyota 2000GT..1LR kwenye Lexus LFA.. Imebidi ashirikiane na Yamaha.. Kupata head nzuri..!ndio maana ukiendesha 3gste unapata kusmile jinsi engine inavyobehave.. Inapumua vizuri.. Character ya BMW..

Mwisho kabisa.. Toyota Supra ambayo ni legendary/icon kwa Toyota imekubali kuwa powered na mashine ya Bavaria..wamenyoosha mikono hapo..!

Hii paragraph ya mwisho, Wajapan wa JF wapo kwenye kikao kirefu. Wanapanga kukuita waende wakakuhoji na wewe.
 
Unaponunua gari angalia mahitaji yako. Usifuate mkumbo, Kuna watu wanasifia walichonacho hata kama wanateseka.

Pia, gari inaweza kuwa nzuri kwa mtu mmoja ikawa ya kijinga kwa mtu mwingine.
 
Zinakwama Land cruiser maporini huko anazungumzia Bima watu wengine bhana kwa hiyo anataka kuaminisha jamii kuwa hizi gari za starehe kama server ya TRA inavyotambua iende kwenye matope huko isikwame wakati pana muda hata Land rover unafikiri upite au ugeuze maana anaweza kupita popote ni Nissani chura..na Nissan nyingi zipo sawa kwenye tope..
Najua wapenzi wa BM wanaweza nishambulia ila haya ni maoni yangu:

Kama unahitaji luxury, speed ni sawa tu. Ila kama ww ni mtu ambaye wakati mwingine unasafiri na unapoenda ni offroad ni gari ya kijinga. Toyota LC LX ni option swadakta kwa mtu wa aina hii japo bei ni kubwa. Mm huwa naona kluger ni gari zuri kuliko X series yoyote kwa mazingira yetu.

Binafsi bora nikanunua LC LX used mkononi kwa mtanzania tena namba A iwapo ina hali nzuri kuliko kununua BM x series yoyote mpya.
 
Najua wapenzi wa BM wanaweza nishambulia ila haya ni maoni yangu:

Kama unahitaji luxury, speed ni sawa tu. Ila kama ww ni mtu ambaye wakati mwingine unasafiri na unapoenda ni offroad ni gari ya kijinga. Toyota LC LX ni option swadakta kwa mtu wa aina hii japo bei ni kubwa. Mm huwa naona kluger ni gari zuri kuliko X series yoyote kwa mazingira yetu.

Binafsi bora nikanunua LC LX used mkononi kwa mtanzania tena namba A iwapo ina hali nzuri kuliko kununua BM x series yoyote mpya.
Sawa baki na maoni yako mkuu unataka kusema ni bora uwe na gari ya miaka 15 nyuma kuliko X 4 ya 2022 sawa sawa Mkuu...
 
Boss wangu, X4 ya 2022 na LC lx ya 2007 nachukua lc ya 2007 tena isiwe mpya wala. Mkononi mwako wewe mtanzania kama itakuwa na hali nzuri hata iwe namba B sijui A.
Yap hiyo gari vijijini inaaminiwa sana Mkuu hapo umechanganya mada kwa gari ya kazi na ya kutokea sijui kama hiyo ya 2022 ipo Tanzania ingawaje niliziona mbili Arusha za 2020..na daslm kadhaa za 2020 kushuka chini hivyo vyuma ni balaa mimi nipo na LC ndio nazibeba sana kwa ajili ya kukata bodi kuziweka au kuwauzia makampuni ya utalii ila pana mawe kama Audi Q series kama hiyo 5,BMW aisee hayo madude yasikie tuu..yana confort sana pamoja na balance ya kutosha..
 
Yap hiyo gari vijijini inaaminiwa sana Mkuu hapo umechanganya mada kwa gari ya kazi na ya kutokea sijui kama hiyo ya 2022 ipo Tanzania ingawaje niliziona mbili Arusha za 2020..na daslm kadhaa za 2020 kushuka chini hivyo vyuma ni balaa mimi nipo na LC ndio nazibeba sana kwa ajili ya kukata bodi kuziweka au kuwauzia makampuni ya utalii ila pana mawe kama Audi Q series kama hiyo 5,BMW aisee hayo madude yasikie tuu..yana confort sana pamoja na balance ya kutosha..
Ni kweli. Ndo maana nilisema unaponunua gari angalia matumizi yako. Mambo kama kipato chako, utalitumia kwenye mazingira gani, mafundi, spea, alternative iwapo lina hitilafu ndo yakuongoze kufanya maamuzi.
 
BMW ilianza kama kampuni ya kutengeneza engines kabla ya kuanza kutengeneza magari.. Kwahiyo likija swala la engines hapo ndio penyewe..!

Engines za BMW zina character ya tofauti.. Zinahitaji uzipush.. BMW sio gari ya kuendesha kama Toyota kwenye 2500rpms.. BMW engine inakuwa alive kuanzia 4000rpms mpaka redline bila kukata puff..
Head design yao ni hatari.. flow ya hewa kwenye engines zao ni unmatched..!

Engines za performance kwa Toyota kama 3sgte..3M kwenye Toyota 2000GT..1LR kwenye Lexus LFA.. Imebidi ashirikiane na Yamaha.. Kupata head nzuri..!ndio maana ukiendesha 3gste unapata kusmile jinsi engine inavyobehave.. Inapumua vizuri.. Character ya BMW..

Mwisho kabisa.. Toyota Supra ambayo ni legendary/icon kwa Toyota imekubali kuwa powered na mashine ya Bavaria..wamenyoosha mikono hapo..!
Jamaa yangu hapa kariakoo alikuwa na Toyota crown athlete akauza akanunua BMW 320i huwa anaisifia Sana BMW yake kwenye handling na balance.
Nimeshindwa kujua inakuaje crown inapishana kwenye balancing na BMW yenye engine ndogo kama 320
 
Jamaa yangu hapa kariakoo alikuwa na Toyota crown athlete akauza akanunua BMW 320i huwa anaisifia Sana BMW yake kwenye handling na balance.
Nimeshindwa kujua inakuaje crown inapishana kwenye balancing na BMW yenye engine ndogo kama 320
Usifananishe BMW 320i na vitu vya ajabu ajab, hasa ukute 320i GT ... mwanawane ni motoo
 
Isiwe tu kama ya Mad Max , unatembea na kidumu cha coolant.. hasa upate za kuanzia 2014 kuja juu..
Za 2014 kuja juu ushuru tu shikamoo. Hapo tunaongelea base model mfano 320i.

Ukitaka performance model je.

Jiulize kwann E90 zipo nyingi ila F30 za kuhesabia? Yaani mjini ukikutana na 3 series 10 basi 9 ni E90 au unaweza kuta zote 10 ni E90.
 
Jamaa yangu hapa kariakoo alikuwa na Toyota crown athlete akauza akanunua BMW 320i huwa anaisifia Sana BMW yake kwenye handling na balance.
Nimeshindwa kujua inakuaje crown inapishana kwenye balancing na BMW yenye engine ndogo kama 320
Hapo nahisi sababu ni small size ya 3 series.. Suspension system..
 
Za 2014 kuja juu ushuru tu shikamoo. Hapo tunaongelea base model mfano 320i.

Ukitaka performance model je.

Jiulize kwann E90 zipo nyingi ila F30 za kuhesabia? Yaani mjini ukikutana na 3 series 10 basi 9 ni E90 au unaweza kuta zote 10 ni E90.

Mkuu hebu tuambie kidogo utofauti wa E90 vs F30

Tupe summary review tupate mwanga asee
 
Mkuu hebu tuambie kidogo utofauti wa E90 vs F30

Tupe summary review tupate mwanga asee
Niliwahi kuandika humu ngoja nikutafutie link tajiri. Uzuri nimemiliki yote ila F30 kwa muda mfupi sana ila E90 na E46 kwa zaidi ya miaka 3 each.
 
Mkuu hebu tuambie kidogo utofauti wa E90 vs F30

Tupe summary review tupate mwanga asee
 

Asante mkuu
Ngoja nipate madini
Napenda sana elimu ya magari [emoji122]
 
Hii kampuni ya Kijerumani yenye makao yake makuu katika jiji la Munich inatengeneza magari bora zaidi duniani.. Magari ambayo ukiendesha lazima upate furaha.. Gari huichoki.. Driver oriented..
Ultimate Driving Machine..!

Kuweka battery nyuma ya gari.
Gari nyingi battery zake zinakaa mbele kwenye bonnet.. Mbele huko kuna engine ambayo inatoa joto kali sana..Battery inakuwa exposed na joto la engine na kusababisha lifespan ya battery kupungua..!
BMW akili nyingi wanaweka battery nyuma.. Inasaidia kudumu zaidi.. Pia ni advantage kwa wale wanaofunga mziki mnene..utatumia wire mfupi sababu battery na amplifier vyote vipo nyuma..!

Engines zao ni Inline 6.
Kampuni nyingi zimehama kwenye engine configuration..BMW hawa mpaka leo hawatengenezi V6.. Wamebaki na I-6.. Power delivery yake ni very smooth.. Engine iko well balanced.. Ndio inafanya huchoki kueindesha gari huku unasmile usoni..!

Gari zao ni RWD.
BMW almost zote zina engine mounted North to South.. Then drive shaft inapeleka power kwenye tairi za nyuma.. Kwahiyo tairi za nyuma ndio zinaendesha gari huku za mbele zinaongoza gari.. Huu mgawanyo wa majukumu unaleta balance nzuri sana kwenye gari.. Gari inakuwa na uwezo wa kuhandle power kubwa.. Kuvuta mzigo mkubwa.. Manoeuvring kirahisi zaidi barabarani.. Kudrift n spin kirahisi..hata matairi yanaisha taratibu.. Kiujumla gari inakuwa tamu tofauti na gari inayoendeshwa na tairi za mbele FWD..! Gari inasukumwa na sio Kuvuta..!

Kutokana na akili yao nyingi Ninaomba tuendelee kuwaunga mkono kwa kununua gari zao kwa wingi..!
Kitu ambacho hujui ni kuwa; sio kwamba watu hawajui magari mazuri na Imara
Tatizo watu wengi hasa Africa wapo kwenye rank ya security needs na kwa kiasi kwenye social needs, na maanisha kipato chao kinatosha kuwazia kumiliki usafiri.
Suala la kumiliki usafiri wa aina gani hapo unaongelea kama 7% kwani hapo unaongelea wanaojiweza vizuri na wenye usafiri tayari hivyo wana choice ya kuamua wanunue gari tena liwe la Brand gani
 
Mkuu hebu tuambie kidogo utofauti wa E90 vs F30

Tupe summary review tupate mwanga asee
Hivyo ni vizazi viwili tofauti.,

hata engines zake kwa sehemu kubwa hazishei.

e90 au f30 au G20 siyo specific gari fulani. Ila ni collective names kwa kizazi fulani za magari.

mfano 320i ya e90 ina engine ya N46B20 au N43B20. N43 ni direct injection wakati n46 ni kawaida.

320i ya f30 inakuja na engine ya N20 au B48. Zote ni twin scroll turbo charged, Direct injection. Na zinazalisha power kubwa.
 
Back
Top Bottom