Pre GE2025 Akili ya Zitto Kabwe kuwa sheria za uchaguzi zinakidhi haja ni "Tukose wote"

Pre GE2025 Akili ya Zitto Kabwe kuwa sheria za uchaguzi zinakidhi haja ni "Tukose wote"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Anajua fika kuwa chama chake hata sheria zikawa kama zilivyopendekezwa na wadau wote, hawezi kupata wabunge/madiwani etc. Anajua Chadema kinaweza kuzoa viti vingi tu kwenye uchaguzi huru na haki.
Kwa vile amejinasibu kuwa "rival" wa Upinzani particularly chadema, basi anaona afadhali sheria ziwe kandamizi TUKOSE WOTE!

Naamini kabisa Zito anajua fika kuwa sheria zile ni upuuzi mtupu, kwa weledi wake , AKILI ZAKE, INTELLECT YAKE anajua fika kuwa ule ni upuuzi, hawezi kuunga mkono uchafu ule toka moyoni. NI KWA MUKTADHA WA TUKOSE WOTE

Pia soma > Zitto ACT: Tumeridhishwa na marekebisho ya sheria za uchaguzi
 
Anajua fika kuwa chama chake hata sheria zikawa kama zilivyopendekezwa na wadau wote, hawezi kupata wabunge/madiwani etc. Anajua Chadema kinaweza kuzoa viti vingi tu kwenye uchaguzi huru na haki.
Kwa vile amejinasibu kuwa "rival" wa Upinzani particularly chadema, basi anaona afadhali sheria ziwe kandamizi TUKOSE WOTE!

Naamini kabisa Zito najua fika kuwa sheria zile ni upuuzi mtupu, kwa weledi wake , AKILI ZAKE, INTELLECT YAKE anajua fika kuwa ule ni upuuzi, hawezi kuunga mkono uchafu ule toka moyoni. NI KWA MUKTADHA WA TUKOSE WOTE
Huyu mkongomani mnafiq sana
20240209_070737.jpg
 
Anajua fika kuwa chama chake hata sheria zikawa kama zilivyopendekezwa na wadau wote, hawezi kupata wabunge/madiwani etc. Anajua Chadema kinaweza kuzoa viti vingi tu kwenye uchaguzi huru na haki.
Kwa vile amejinasibu kuwa "rival" wa Upinzani particularly chadema, basi anaona afadhali sheria ziwe kandamizi TUKOSE WOTE!

Naamini kabisa Zito najua fika kuwa sheria zile ni upuuzi mtupu, kwa weledi wake , AKILI ZAKE, INTELLECT YAKE anajua fika kuwa ule ni upuuzi, hawezi kuunga mkono uchafu ule toka moyoni. NI KWA MUKTADHA WA TUKOSE WOTE

Pia soma > Zitto ACT: Tumeridhishwa na marekebisho ya sheria za uchaguzi
Uko sahihi kabisa. Jamaa chama cakle huku bara hakina mvuto kabisa na anajua hivyo. Jamaa yuko kama mchawi huyu.
 
Anajua fika kuwa chama chake hata sheria zikawa kama zilivyopendekezwa na wadau wote, hawezi kupata wabunge/madiwani etc. Anajua Chadema kinaweza kuzoa viti vingi tu kwenye uchaguzi huru na haki.
Kwa vile amejinasibu kuwa "rival" wa Upinzani particularly chadema, basi anaona afadhali sheria ziwe kandamizi TUKOSE WOTE!

Naamini kabisa Zito anajua fika kuwa sheria zile ni upuuzi mtupu, kwa weledi wake , AKILI ZAKE, INTELLECT YAKE anajua fika kuwa ule ni upuuzi, hawezi kuunga mkono uchafu ule toka moyoni. NI KWA MUKTADHA WA TUKOSE WOTE

Pia soma > Zitto ACT: Tumeridhishwa na marekebisho ya sheria za uchaguzi
Bado hajaenda kuzikwa na Mama yake?
 
Anajua fika kuwa chama chake hata sheria zikawa kama zilivyopendekezwa na wadau wote, hawezi kupata wabunge/madiwani etc. Anajua Chadema kinaweza kuzoa viti vingi tu kwenye uchaguzi huru na haki.
Kwa vile amejinasibu kuwa "rival" wa Upinzani particularly chadema, basi anaona afadhali sheria ziwe kandamizi TUKOSE WOTE!

Naamini kabisa Zito anajua fika kuwa sheria zile ni upuuzi mtupu, kwa weledi wake , AKILI ZAKE, INTELLECT YAKE anajua fika kuwa ule ni upuuzi, hawezi kuunga mkono uchafu ule toka moyoni. NI KWA MUKTADHA WA TUKOSE WOTE

Pia soma > Zitto ACT: Tumeridhishwa na marekebisho ya sheria za uchaguzi
Zamani alikuwa anajifichaficha ila sasa hivi kaamua kujianika zaidi
 
Nilimsoma jana somewhere anasema wapinzani wa Tanzania nao waaminiane kama wale wa Senegal, ili kuitoa madarakani CCM.

Hizi siasa zetu hasa za upinzani wa aina ya kina Zitto ziko complicated sana.
 
Anajua fika kuwa chama chake hata sheria zikawa kama zilivyopendekezwa na wadau wote, hawezi kupata wabunge/madiwani etc. Anajua Chadema kinaweza kuzoa viti vingi tu kwenye uchaguzi huru na haki.
Kwa vile amejinasibu kuwa "rival" wa Upinzani particularly chadema, basi anaona afadhali sheria ziwe kandamizi TUKOSE WOTE!

Naamini kabisa Zito anajua fika kuwa sheria zile ni upuuzi mtupu, kwa weledi wake , AKILI ZAKE, INTELLECT YAKE anajua fika kuwa ule ni upuuzi, hawezi kuunga mkono uchafu ule toka moyoni. NI KWA MUKTADHA WA TUKOSE WOTE

Pia soma > Zitto ACT: Tumeridhishwa na marekebisho ya sheria za uchaguzi
Zitto anateswa na udalali na udini
 
Zitto atakufa vibaya sana Mpuuzi yeye. Ni Agent wa Shetani kitendo cha Underdevelopment.
 
Tatizo watu milioni 60... Mnakubali kuendeshwa na watu wasiozidi 50, Zito, mbowe, ccm baadhi. Wananchi ndio wanapaswa kuamua lakini mkisubiri wakina mbowe, Zito, mnyika tutasubiri saaaana
 
Anajua fika kuwa chama chake hata sheria zikawa kama zilivyopendekezwa na wadau wote, hawezi kupata wabunge/madiwani etc. Anajua Chadema kinaweza kuzoa viti vingi tu kwenye uchaguzi huru na haki.
Kwa vile amejinasibu kuwa "rival" wa Upinzani particularly chadema, basi anaona afadhali sheria ziwe kandamizi TUKOSE WOTE!

Naamini kabisa Zito anajua fika kuwa sheria zile ni upuuzi mtupu, kwa weledi wake , AKILI ZAKE, INTELLECT YAKE anajua fika kuwa ule ni upuuzi, hawezi kuunga mkono uchafu ule toka moyoni. NI KWA MUKTADHA WA TUKOSE WOTE

Pia soma > Zitto ACT: Tumeridhishwa na marekebisho ya sheria za uchaguzi
People to be careful with in Tanzania politics
Lipumba
Zito
Kafulila
Mkumbo
 
Nilimsoma jana somewhere anasema wapinzani wa Tanzania nao waaminiane kama wale wa Senegal, ili kuitoa madarakani CCM.

Hizi siasa zetu hasa za upinzani wa aina ya kina Zitto ziko complicated sana.
Zitto walimuamini wenzake kwenye uchaguzi wa 2020 wakaitisha maandamano usiku akawachoma wenzake wakaanza kuokotwa kama kumbikumbi na polisi.

Wiki mbili mbele anaunga mkono SUK Zanzibar wakati kundi kubwa la wanachama wenzake wanatibu majeraha ya viboko na mashoka ya wahuni.

Zitto siyo mtu wa kumwamini kwa lolote
 
Anajua fika kuwa chama chake hata sheria zikawa kama zilivyopendekezwa na wadau wote, hawezi kupata wabunge/madiwani etc. Anajua Chadema kinaweza kuzoa viti vingi tu kwenye uchaguzi huru na haki.
Kwa vile amejinasibu kuwa "rival" wa Upinzani particularly chadema, basi anaona afadhali sheria ziwe kandamizi TUKOSE WOTE!

Naamini kabisa Zito anajua fika kuwa sheria zile ni upuuzi mtupu, kwa weledi wake , AKILI ZAKE, INTELLECT YAKE anajua fika kuwa ule ni upuuzi, hawezi kuunga mkono uchafu ule toka moyoni. NI KWA MUKTADHA WA TUKOSE WOTE

Pia soma > Zitto ACT: Tumeridhishwa na marekebisho ya sheria za uchaguzi
Zito anajulikana kuwa ni mamluki wa Magogoni
 
Back
Top Bottom