kabisa. Zamani muoji ndiye alijigharamia kulisha wahudhuriaji wa harusi yake bila kujali watahudhuria wangapi, upuuzi fulani ukaingia wa kuchangia, imeenda hivyo mpaka ikafikia kwenye madaraja ya kutoa kulingana na uwezo wako. Ni ufahari na anasa tu zimetawala harusi hizi zisizo na maadili ya kindoa na hazidumu ni show off tu huku watu wamekamuliwa vya kutosha japo ni hiari kutoa. Harusi zenyewe ni za kichoyo, wanaingia waliotoa mchango tu. Tena umezuka uvaaji wa wahudhuriaji wa kihuni na ukahaba ukumbini huku harusi ikifanyika usiku wa manane. Mambo ni mengi ya kukera kuhusiana na harusi hizi za kuchangia.Ukitaka kuoa inabidi 100% uwe na mpunga wako ,kama bajeti ni 10m basi inabidi uwe na 10m kwa mfuko ,kama mtu anatataka kukuchangia iwe option na si lazima.
Hapo kwa viongozi wa dini hawahusiki na hii kadhia. Ndoa mfano ya kikatoliki gharama unayotakiwa kulipa kanisani hazidi elfu 50. Hapo ikijumuisha hela ya mafundisho ya ndoa na cheti. Sijajua madhehebu mengine kama kuna gharama yoyote.Niseme ukweli tu, kuna wakati niliteuliwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya harusi, nilimuuliza mwenye harusi unataka kufanya harusi ya bajeti kiasi gani? Alijibu nataka kufanya harusi simple tu ya bajeti ya laki nane, wajumbe walimuuliza we una kiasi gani? Alijibu ana laki moja. Mwisho wa michango zilipatikana laki tatu pamoja na yake. Nilipangia bajeti hizohizo zilizopatikana, wali maharage bila nyama wala soda, maji ya kisima ikatoka hiyo. Ifike muda viongozi wa dini wawaache huru waumini kufunga ndoa kimtindo kulingana na bajeti zao, kuoa hata bila kufanya sherehe, inatosha kusainishwa cheti cha ndoa, jioni wanandoa watajua wale nini wenyewe
Makanisa mengine inategemea na maono ya mchungaji wa mahali hapo. Wengine huchangisha mchango mdogo wa fedha kununua mchele, maharage, nyama, soda, matunda, maji na viungo bila kujali mwenye harusi kajiandaaje kwa bajeti yake na harusi huliwa hapohapo kanisani au ukumbini kutegemea na kamati imechangaje michango. Washirika humbeba muumini mwenzao kumfanyia harusi bila mchango mzito. Unakuta mchango ni mdogo elfu moja, mbili, haizidi elfu tano, mtu anakabidhiwa mke wakaanze maisha ya ndoaHapo kwa viongozi wa dini hawahusiki na hii kadhia. Ndoa mfano ya kikatoliki gharama unayotakiwa kulipa kanisani hazidi elfu 50. Hapo ikijumuisha hela ya mafundisho ya ndoa na cheti. Sijajua madhehebu mengine kama kuna gharama yoyote.
Kwa waislamu najua ndio almost zero cost
Hii tabia inaboa sana, ndio maana nimeamua kufunga ndoa kwa DC.
[/QUOTEkwingine ukifunga ndoa kwa dc utaonekana umeoa gizani, utatengwa ushirika
[emoji23][emoji23]Unakuta muda huo umebanwa ,unadaiwa Kodi ya nyumba,ada za watoto,Hela ya kula na familia,Hela ya matibabu,mara sms inataka mchango wa Harusi,unabaki kuongea peke yako barabarani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia, Huo Upumguani Ukome.Hizi ni nyuzi special kuelezea akili za mtu mweusi, naanzia hapa.
Akili za mtu mweusi season1.
ep 01 :
โKuchangishana pesa kwenye raha binafsi za watu( hizi wanaita sherehe za harusi, ubatizo, birthday n.k )
* Kuna huu ujinga unaoendelea kwenye jamii zetu wa kuchangishana kwenye furaha binafsi za watu pesa kwa ajili ya kuendeshea shughuli zao.
* Imefika hatua wajinga wanakusanya michango kama vile ana kudai, ni mwendo wa kukufuatilia kila uchwao ili tu umsaidie pesa ya kuendeshea huo upuuzi wake sijui ndoa, birthday na ujinga mwengine.
* Kuna watu wanavuka mstari mwekundu mpaka anakuunganisha kwenye magroup ya WhatsApp ili mpige zogo humo za namna gani mtapush upuuzi wake anao panga kuufanya.
* Kadi sasa hapa ndio kuna ujinga mwingi sana imekuwa kama kitambulisho cha taifa kwamba lazima uchukue na utie kiasi tajwa huu ni ufala wa level ya juu sana.
* Sherehe za harusi, ubatizo, birthday, vipaimara n.k hizi zote ni raha binafsi sio mchongo kutaka marafiki, ndugu, watu wa karibu, watu unao juana nao, majirani kukuchangia kwenye raha zako binafsi unazo taka fanya.
* Fanya vitu kwa uwezo wako usiwape shida jamii kuuwazia upuuzi wako namna gani ya kuupush.
NB: Hizi akili za namna hii kwa watu weusi inabidi zikome mara moja na najua kuna majitu humu huu uzi umewagusa kwa sababu ndizo akili hizi zimejaa vichwani mwao.
Huna pesa wewe maskini ndio maana unalalamikia tumichango twa 20,000 hadi 50,000. ๐๐๐Nimetoka kulambwa km dola 100 mda si mrefu inauma balaa,sema tu namuheshimu huyo demu na mwanae anaeolewa ni mchepuko so nabembelezea niendelee kutafuna tu.
Wengine sitoi senti kumi na hata unialike bure siji vilevile
hata akiolewa potelea pwete๐.
We ngedere nimesema dola 100.Huna pesa wewe maskini ndio maana unalalamikia tumichango twa 20,000 hadi 50,000. ๐๐๐
Sasa dola 100 nayo ya kutamba umetoa mchango. Huna pesa ndio maana una makasiriko.We ngedere nimesema dola 100.
Exchange rate ya dola 100 ni 20 kau 50?
Hivi nyiye panya aliwaleta nani JF
Pesa gani unayoongelea we punga mvaa kamdambili?Sasa dola 100 nayo ya kutamba umetoa mchango. Huna pesa ndio maana una makasiriko.
Nachangia sherehe ya Nyumbani tu tena mtu wa damu.Wenye kuchangia changeni. Mie sichangii sherehe yoyote.