Akina Cadena na Matola bado wanawachosha wachezaji na mazoezi ya under 18. Kocha mpya hajaanza program. Tunapoteza mechi ijayo pia

Akina Cadena na Matola bado wanawachosha wachezaji na mazoezi ya under 18. Kocha mpya hajaanza program. Tunapoteza mechi ijayo pia

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Bado akina Cadena wanataka kuonesha ufundi wao. Kufikia mechi ya Makilikili wachezaji watakuwa wanakimbia kama bata na viungo viko hoi kabisa.

Wanawafundisha wachezaji individual skills kama kupiga vichwa, kuruka, mazoezi ya kuchosha ya viungo uku umebaki mda mchache kukabiliana na Makikiri kiri.

Wachezaji wa simba ni wa timu kubwa. Wanatakiwa kufundishwa mifumo. Utimamu wa akili, mwili na mbinu za ushindi, mifumo ya kushambulia na kuzuia kama timu.

Daaah naapa Simba inatwangwa tena. Na kuwapa nafasi akina cadena tutajuta mno mbele.

Ata kibu atatukanwa sana muda huu.
 
Bado akina Cadena wanataka kuonesha ufundi wao. Kufikia mechi ya Makilikili wachezaji watakuwa wanakimbia kama bata na viungo viko hoi kabisa.

Wanawafundisha wachezaji individual skills kama kupiga vichwa, kuruka, mazoezi ya kuchosha ya viungo uku umebaki mda mchache kukabiliana na Makikiri kiri.

Wachezaji wa simba ni wa timu kubwa. Wanatakiwa kufundishwa mifumo. Utimamu wa akili, mwili na mbinu za ushindi, mifumo ya kushambulia na kuzuia kama timu.

Daaah naapa Simba inatwangwa tena. Na kuwapa nafasi akina cadena tutajuta mno mbele.

Ata kibu atatukanwa sana muda huu.
Kinachomzuia kocha mpya kuanza majukumu ni nini ?........ anyway Simba kwa sasa inachechemea.
 
Wachezaji wa Simba wamerudi nyuma sana kwa uwezo binafsi, ni kama inabidi kuanza nao upya kwa hiyo kama wanafanya hivyo ni sahihi kabisa. Leo nimemuona Opah Clement akituliza mpira na kucheza kwa kasi na stamina kuwazidi kina Saidoo ambao wanashindwa hata kutuliza mpira bila kuupeleka kwa adui.

Mchezaji anayenishangaza kwa uwezo binafsi sasa hivi ni Kennedy Juma. Anaonyesha uwezo mkubwa sana na confidence yake iko juu. Kibu anaonyesha utulivu ila sijajua kwa nini anaanguka hovyo, labda anaogopa kuumia kwa hiyo akiguswa tu misuli inaachia.
 
Bado akina Cadena wanataka kuonesha ufundi wao. Kufikia mechi ya Makilikili wachezaji watakuwa wanakimbia kama bata na viungo viko hoi kabisa.

Wanawafundisha wachezaji individual skills kama kupiga vichwa, kuruka, mazoezi ya kuchosha ya viungo uku umebaki mda mchache kukabiliana na Makikiri kiri.

Wachezaji wa simba ni wa timu kubwa. Wanatakiwa kufundishwa mifumo. Utimamu wa akili, mwili na mbinu za ushindi, mifumo ya kushambulia na kuzuia kama timu.

Daaah naapa Simba inatwangwa tena. Na kuwapa nafasi akina cadena tutajuta mno mbele.

Ata kibu atatukanwa sana muda huu.
Kwani Ahmed Ally kasemaje Jana? Kuwa mazoezi ya Banchikicha ni balaa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Wameanza tayari ondoa hofu
Unadhani jmosi benchi jipya wataongoza timu wakati wamefundisha siku moja na kesho timu inasafiri? Mimi nadhani kwenye mechi hiyo Simba ijilipue, itumie wachezaji ambao wamekuwa hawatumiki mara kwa mara kina Duchu, Mwenda, Kennedy, Mwanuke ili timu ipate fresh energy. Likitokea la kutokea mashabiki wataelewa nia ilikuwa nzuri.
 
Mleta mada yuko sahihi kwa kiasi fulani. Unadhani jmosi benchi jipya wataongoza timu wakati wamefundisha siku moja na kesho timu inasafiri?
Sasa kama sessions zote mbili wamesimamia hawa wapya maana watakaa wao bench , ila hata hao akina cadena waamini tu ,hahahahaha
 
Bado akina Cadena wanataka kuonesha ufundi wao. Kufikia mechi ya Makilikili wachezaji watakuwa wanakimbia kama bata na viungo viko hoi kabisa.

Wanawafundisha wachezaji individual skills kama kupiga vichwa, kuruka, mazoezi ya kuchosha ya viungo uku umebaki mda mchache kukabiliana na Makikiri kiri.

Wachezaji wa simba ni wa timu kubwa. Wanatakiwa kufundishwa mifumo. Utimamu wa akili, mwili na mbinu za ushindi, mifumo ya kushambulia na kuzuia kama timu.

Daaah naapa Simba inatwangwa tena. Na kuwapa nafasi akina cadena tutajuta mno mbele.

Ata kibu atatukanwa sana muda huu.
Unachambua pumba as if una cheti cha ukocha kumbe tutusa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba hamna timu
Wote kina Boko,saidoo,chama,kapombe,Mohamed husen,inonga washachoka
Kocha mpya apewe usajil mpya kwenye dirisha dogo
Au akabidhiwe walo wanaowekwa bench aanze nao
 
Back
Top Bottom