Akina dada heshima ni kitu cha bure!

Mimi ni kidume mkuu hutaki kafie mbele
 
Utakuwa chawa kweli,mpo kazini maswali gani ya kijinga namna hiyo,eti mimi ni nani yako pumbavu!unaharibu shughuli na vimaswali vya kitoto
Siku ingine koma kuuliza maswali ya watoto wa form one
 
🀣🀣 Mkuu mi mwenyewe mod mbona mi sioni aibu asalaleee
 
Kiufupi amenikata stimu,mambo ya kitoto sana mie nimekuhurumia na kukutunuku tunda alafu unaleta ushenzi wa mimi nani yako?eti mchumba shwain!
 
Hivi huo muda wa kuongea hayo yote hua mnaupata wapi wakati wa kukaza.....[emoji2955] kwakweli huo ni udhaifu mkubwa sana, ulitakiwa uchochee hadi neno pekee angeweza kusema ni maji ya kunywa...[emoji5]
Binafsi sipendi maswali maswali wakati wa shoo,tabia za kijinga mwanaume unapata wapi huo mda,kulia ni kazi za kike
 
Ha ah ha ha haaaaa... Mwaka 2014, kuna goma lilijiweka relini nikapita kama mara 3 hivi, mara siku sina hili wala lile nikapigiwa simu usiku na lijamaa linaniuliza wewe nani umeseviwa "kipele" kwenye simu ya mkewangu? Me hapo sijui kama ni mke wa mtu, maana me nilimkuta Saloon anafanya scrub sasa ile mitego yake akanijaza nikajaa.!
 
Nyinyi ndo mnabaka mapenzi
Nakuheshimu mkuu chutama,kama ulikuwa unafanya huo utoto jitahidi ubadilike ok?binafsi sipendi hizo pigo za sijui unaisikia,mara ni tamu na mambo mengine,ikiwa tamu si nitaongea tu?ukinikoleza si ntakuita jina zuri tu,kiufupi uliboronga
 
Yaani ninavyopenda fujo hizo hata angeniita mbwa koko ndio ningefurahi balaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tatizo sio kuongea, ni the way anavyo uliza haisisimui. Game inapendeza maneno ya hapa na pale lkn kihivyo mmh sijui
 
Tatizo sio kuongea, ni the way anavyo uliza haisisimui. Game inapendeza maneno ya hapa na pale lkn kihivyo mmh sijui
Ebu imagine mtu kakushobokea na hata huna mpango nae amekusumbua maybe na vipesa juu ukaona poa tuu hii sio sabuni wacha nimpe tu,mara ghafla anaanza kuuliza mi ni nani yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…