Akina dada heshima ni kitu cha bure!

Akina dada heshima ni kitu cha bure!

Kijana wenzako wakivuliwa nguo namna hii wanachutama. Wewe unazidi kupigana huku uko uchi. Iwe umetunga, iwe ni kweli limetokea lakini inaonyesha jinsi ulivyo na utoto kwenye haya mambo. Kila unavyozidi kujibizana ndivyo unavyozidi kuumbuka. Nadhani hata wewe hukutegea kuwa utadharaulika na kushushuliwa hivi ulipokuwa unaposti hii thread. Ulidhani utapewa sifa kuwa kweli wewe ni kidume.
Mimi ni kidume mkuu hutaki kafie mbele
 
Utakuwa chawa kweli,mpo kazini maswali gani ya kijinga namna hiyo,eti mimi ni nani yako pumbavu!unaharibu shughuli na vimaswali vya kitoto
Siku ingine koma kuuliza maswali ya watoto wa form one
 
''Kiswahili murefu'' wanaita wakenya. Ukiwa na maneno mengi unajikuta unatoa siri nyingine ambazo hukutakiwa katu kuzitoa. Nimecheka kweli kweli. Yaani kuna thread nyingine unaanzisha lakini inakuumbua mpaka unataka kuomba mod waifute unashindwa uanzie wapi. Kweli huyu ''chawa'' kaumbuka. Ndiyo maana hawa wanawake wanamuona ni chawa tu.
🤣🤣 Mkuu mi mwenyewe mod mbona mi sioni aibu asalaleee
 
Wewe ndiye una kiherehere. Wewe si upige moto mpaka aanze kuongea yote mwenyewe? Ndiyo, wewe ni chawa. Kwani hiyo papuchi iligeuka kuwa ya mende?

Mtu umemuita mara tatu na haonekani kukuitikia,bado unalazimisha. Eti baby,

Unapenda kudanganywa? Nenda katafute kahaba aliyekubuhu, dole tu anapiga ukelele Dar na mlandizi. Umuulize wewe nani? Atakuambia wewe mungu wake. Ili ufurahi

Msiwe mnalazimisha. Wengine kuwauliza maswali ya kipuuzi yanawakata stimu pia. Msome mtu, ukiona ana muelekeo basi nenda naye huo muelekeo.

Kwanza kupata muda wa kuuliza maswali ni kuonyesha gemu hujalimudu sawasawa. Punguzeni kuangalia porn.
Kiufupi amenikata stimu,mambo ya kitoto sana mie nimekuhurumia na kukutunuku tunda alafu unaleta ushenzi wa mimi nani yako?eti mchumba shwain!
 
Hivi huo muda wa kuongea hayo yote hua mnaupata wapi wakati wa kukaza.....[emoji2955] kwakweli huo ni udhaifu mkubwa sana, ulitakiwa uchochee hadi neno pekee angeweza kusema ni maji ya kunywa...[emoji5]
Binafsi sipendi maswali maswali wakati wa shoo,tabia za kijinga mwanaume unapata wapi huo mda,kulia ni kazi za kike
 
Ha ah ha ha haaaaa... Mwaka 2014, kuna goma lilijiweka relini nikapita kama mara 3 hivi, mara siku sina hili wala lile nikapigiwa simu usiku na lijamaa linaniuliza wewe nani umeseviwa "kipele" kwenye simu ya mkewangu? Me hapo sijui kama ni mke wa mtu, maana me nilimkuta Saloon anafanya scrub sasa ile mitego yake akanijaza nikajaa.!
 
Nyinyi ndo mnabaka mapenzi
Nakuheshimu mkuu chutama,kama ulikuwa unafanya huo utoto jitahidi ubadilike ok?binafsi sipendi hizo pigo za sijui unaisikia,mara ni tamu na mambo mengine,ikiwa tamu si nitaongea tu?ukinikoleza si ntakuita jina zuri tu,kiufupi uliboronga
 
Tatizo sio kuongea, ni the way anavyo uliza haisisimui. Game inapendeza maneno ya hapa na pale lkn kihivyo mmh sijui
Ebu imagine mtu kakushobokea na hata huna mpango nae amekusumbua maybe na vipesa juu ukaona poa tuu hii sio sabuni wacha nimpe tu,mara ghafla anaanza kuuliza mi ni nani yako
 
Back
Top Bottom