Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni fimbo mpaka ujiulze maswali na kujijibu mwenyewe na wengine hulia kabisa kwa utam wa bwana kunajiMleta mada anaanza kujuta kuleta uzi baada ya kuambiwa show haikusisimua ndio maana mtoto akawa haongei ✅
Ikikolea uwa wanaongea wenyewe 🙂
Asipoongea means akijitingisha tu kidogo kanatoka 🫣
Endelea kuwaongelesha hakuna aliyekukataza. Umeamua kutusimulia sasa usilazimishe tuendane na swaga zako. Swaga zetu sie kulambana... Ibaki hivyo.Si nataka niwafundishe ndio maana mnapakiwa na mikongo hamjui mapenzcommunication unafikiri mi navyouliza hivyo natoa sauti la ng'ombe au nyumbu..? Nyinyi bado nyinyi mmebakiza kulambanalambana tu
Wapo huku humu duniani. Kama mtoa mada Yupo hapa hapa bongoland😀😂 Mnawatoaga wapi
Raha ya hayo maswali usiulize, majibu yatoke automatically baada ya kumpelekea Moto kisawa sawa maana ukiulza lazima akudanganye ili ujione mwamba kumbe umemchafua tu
Hakuna atakae badilika kama ambavyo hatutegemei wewe ubadilikeMtakuja kukatika midomo hiyo badilikeni
Halafu anachokiwaza chenyewe hajakimasterAsubuhi subui unawaza mapenzi
Amejifunza Jambo nadhani mwanamke huwa haulizwi maswali mchezoni huwa anakuwa nayo ila majibu atayatoa mwenyewe kutokana na ufanisi wa show.Wapo huku humu duniani. Kama mtoa mada Yupo hapa hapa bongoland😀
Dada 😅Halafu anachokiwaza chenyewe hajakimaster
Hakuna alichojifunza huyu si unamuona alivyo kichwa ngumu? Leo kaitwa chawa next time ataitwa mbuzi🤣🤣🤣Amejifunza Jambo nadhani mwanamke huwa haulizwi maswali mchezoni huwa anakuwa nayo ila majibu atayatoa mwenyewe kutokana na ufanisi was show.
Tena huyo kimwana mwambie anywe super komando ya bariiiiidiiiiiiiiiii🤣🤣Hadi wewe
Huyu hajadanganywa[emoji23] Mnawatoaga wapi
Raha ya hayo maswali usiulize, majibu yatoke automatically baada ya kumpelekea Moto kisawa sawa maana ukiulza lazima akudanganye ili ujione mwamba kumbe umemchafua tu