Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Mfundishe hayo mambo hayaulizwagi😁😁😁Dada 😅
Msamehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfundishe hayo mambo hayaulizwagi😁😁😁Dada 😅
Msamehe
Kaelewa bila kupenda uzi umegeuka kichwa chini miguu juu 🤣Mfundishe hayo mambo hayaulizwagi😁😁😁
😂 Alishindwa kumvumiliaHuyu hajadanganywa
Amekera Hadi ikabidi aambiwe ukweli yeye chawa tu
😂😂Naomba tu isiwe ni mbuzi wa kafaraHakuna alichojifunza huyu si unamuona alivyo kichwa ngumu? Leo kaitwa chawa next time ataitwa mbuzi🤣🤣🤣
Mi sisemi neno tena maana ameshaniita mbea😀😀😂😂Naomba tu isiwe ni mbuzi wa kafara
🤣🤣🤣🤣Kichwa chini miguu juuKaelewa bila kupenda uzi umegeuka kichwa chini miguu juu 🤣
😂 Sawa sawaMi sisemi neno tena maana ameshaniita mbea😀😀
Tangu unusurike kufa bwawa la kizungu ushakuwa zoba sana🤣🤣🤣Kwa nilivyokereka hakuna salamu hapa!
Baada ya kumfatilia kwa wiki kadhaa akaingia line, toto fulani hivi nyeupe ndefu yenye kiuno nyigu, tunasema figure ya kimataifa. Figure ambayo hata tozo unalipia na chenchi inabaki! Anamidomo yakuumana,shingo yenye vimistari vya utamu utamu, kifuani pametuna kwa wastani lakini utamu wake wa chuchu nyuki wanaona wivu.
Ikawa Jumamosi, ikawa Jumapili nikampanga mtoto aje magheto bila pingamizi mtoto akatimba mida fulani hivi jioni ya chombezo. Hapo komamanga nina ugwadu ama kipururu kimejaa nusu diaba. Mziki fulani hivi wa rege mtaratibu ulikuwa ukikonga nyoyo zetu, hapo mezani kuna white wine baridi kitu cha "Footprint" huku jambazi mwenyewe nikiwa na ka Jameson nashushia taratibu.
Baada ya stori mbili tatu nikamsogeza mtoto hapo tupo sofani, kwanza nikaanza na busu moja zito mpaka nikamuona kama anataka kukata roho iende kwa baba! Alikuwa amevalia ile inaitwa "Binamu nyama ya hamu," nami bila nidhamu nikamvua kama simfahamu.
Mashambulizi kadhaa yaliponoga pale sofani nikaona huu ndio ule muda wa kutoa timu uwanja wa mazoezini na kuhamishia timu mechini. Punde tukawa kitandani mtoto machoni kalegea kama vile anaangalia giza, mshenzi wa tabia nikapima oil nikakuta mafuriko ya mto ruaha.
Mti mkavu nae akawa anataka udenda kama mamba alieona nyumbu mwenye umbo namba nane. Game likaanza kuchezwa kipa na mshambuliaji wote walionyesha uimara wao, penye kubinuka kipa alibinuka na penye kupiga cross nzuri striker hakukosea goli.
Sasa tabu ilianza hapa, binafsi mie katika hii michezo huwa napenda kuongea pale game linapokolea. Nakuwa nauliza maswali fulani hivi yakuhamasisha mchezo. Komamanga la watu nikaanza, kwanza nikamuita in a very very romantic way, "Baby?"
Hakuitika akawa anagugumia tu kwa utamu. Nikatulia kama sekunde 30 nikipeleka moto nikarudia tena
"Baby?" Mara hii akatoa mguno kama anataka kuitika ila utamu kolea ukamzidia, nami nikaongeza spidi.
Mara ya tatu nikamuita tena "Baby?" Hapo akaitika kwa sauti ya huba iliyojaa vibaba. Sasa hivyo mimi ndo napenda🥰nilijihisi kama nipo mbingu ya thelathini na kenda huko.
Nikamuhoji tena "Baby tamu?" Hakujibu nikahoji tena "Mchumba tamu?" Huku akitoa sauti ya malaika akajibu "yeaaaaah baby!" Hapo nikakoleza moto mpaka nikawa nafumba macho naona utamu unavyokujakuja.
Nikatulia nikipeleka moto akawa hajiwezi ndipo nikaongeza swali jengine la kichokozi huku nikimslap kwa nyuma! "Mchumba mi nani yako?" Alipotaka kujibu akajikuta anashindwa badala yake akafanya tu
"Shhhhhhhhhh..!!" Nikajua mtoto sasa kwishneh. Ikapita dk. moja nikamuuliza "Mchuchu mi nani yako?" Akatulia kidogo then akatoa maneno ambayo hayakuwa na mwisho, "Cccchhh....!"
Nikaona isiwe tabu nikampunguzia moto kidogo ili ajibu walau, "Lovie mi nani yako?" Niliuliza hivyo huku nami nikiwa sijiwezi majeshi yote yakiwa mbioni kukimbia kambi. Akatulia kama sekunde tano hivi kisha akafumbua macho yake legevu nakuyafumba tena, huku akiyavuta maneno akajibu, "Chawa baby!"
Nikajifanya kama sijasikia nikaguna ule mguno wa kuuliza nae akarudia "Chawa wangu!" Stimu zote zilinikata ile hamu ikageuka kuwa haram! Ikabidi nishuke na kitandani nae kwa unafiki akaanza niuliza mbona umeshuka? Hata sikumjibu nikatulia kama dakika tano then nikashika simu yake nikakuta kasevu line yangu ya voda "Chawa one" Halotel "Chawa two."
Hasira za mkizi zilinipanda kama fisi aliekoswa na mshale wa nzengo! Vivazi nilivyomvua alijivalisha mwenyewe, ile Jameson niliyokuwa nimekunywa kwaajili ya mahaba ikageuka kuwa matusi juu yake. Ule uongeaji wa kiromantic ukanitoka nilifoka mpaka majirani wakajua pisi niliyoileta imeniita mimi chawa! Ule mwendo aliokujanao sio aliondokanao!
Nilijiuliza sana mpaka nikaenda kukaa mbele ya kioo niuone huo uchawa uko wapi, lakini sikuona! Sasa yeye aliutolea wapi?
Ipo siku nitakuja kushuka na mtoto wa mtu! Nyie wadada heshima ni kitu cha bure, kwa hasira huu mwezi wote sili mbususu nafunga mpaka niuone huo uchawa wangu uko wapi.
Mimi nani eti🤣🤣Hakuna alichojifunza huyu si unamuona alivyo kichwa ngumu? Leo kaitwa chawa next time ataitwa mbuzi🤣🤣🤣
Chawa baby😄Mimi nani eti🤣🤣
😂😂Pale mada inapokusaliti. Unaweza kukimbia uzi🤣🤣🤣🤣Kichwa chini miguu juu
Kijana wenzako wakivuliwa nguo namna hii wanachutama. Wewe unazidi kupigana huku uko uchi. Iwe umetunga, iwe ni kweli limetokea lakini inaonyesha jinsi ulivyo na utoto kwenye haya mambo. Kila unavyozidi kujibizana ndivyo unavyozidi kuumbuka. Nadhani hata wewe hukutegea kuwa utadharaulika na kushushuliwa hivi ulipokuwa unaposti hii thread. Ulidhani utapewa sifa kuwa kweli wewe ni kidume.Demi unanitafuta...😂
''Kiswahili murefu'' wanaita wakenya. Ukiwa na maneno mengi unajikuta unatoa siri nyingine ambazo hukutakiwa katu kuzitoa. Nimecheka kweli kweli. Yaani kuna thread nyingine unaanzisha lakini inakuumbua mpaka unataka kuomba mod waifute unashindwa uanzie wapi. Kweli huyu ''chawa'' kaumbuka. Ndiyo maana hawa wanawake wanamuona ni chawa tu.😂😂Pale mada inapokusaliti. Unaweza kukimbia uzi
Hakuna kipindi sensitive kama kujamiana day one...huo ni ufunguo ambao unaweza kufungulia mapenzi motomoto au dharau ya kudumu.Kijana wenzako wakivuliwa nguo namna hii wanachutama. Wewe unazidi kupigana huku uko uchi. Iwe umetunga, iwe ni kweli limetokea lakini inaonyesha jinsi ulivyo na utoto kwenye haya mambo. Kila unavyozidi kujizana ndivyo unavyozidi kuumbuka. Nadhani hata wewe hukutegea kuwa utadharaulika na kushushuliwa hivi ulipokuwa unaposti hii thread. Ulidhani utapewa sifa kuwa kweli wewe ni kidume.
Kuna kipindi alizama swimingi pulu nahisi maji yaliingia kwa ubongo KENZY 🤣🤣🤣🤣🤣( utani bablai)''Kiswahili murefu'' wanaita wakenya. Ukiwa na maneno mengi unajikuta unatoa siri nyingine ambazo hukutakiwa katu kuzitoa. Nimecheka kweli kweli. Yaani kuna thread nyingine unaanzisha lakini inakuumbua mpaka unataka kuomba mod waifute unashindwa uanzie wapi. Kweli huyu ''chawa'' kaumbuka. Ndiyo maana hawa wanawake wanamuona ni chawa tu.