Akina dada, kwanini mnakubali kutoa namba kisha mkipigiwa simu hampokei?

Akina dada, kwanini mnakubali kutoa namba kisha mkipigiwa simu hampokei?

A girl/woman is a product of her society. 99.9 ya namba tunazoombwa na strangers ni kwaajili ya mtongozo, unnecessarily ! Kabla hatujalaumu wanawake, hebu “sisi” wanaume tujikague.

Kitu ambacho una overlook ni kwanini wanawake “wanatoa namba na hawapokei simu” Umeshasikia mara ngapi msichana anakuwa bullied only kwasababu amekataa kusimama barabarani kumpa ME namba/attention or whatever alicho aim? Kitu hujui ni kuwa wanawake tumejitengenezea “surviving mechanism” katika huu ulimwengu wa kiume. Kadogo2 huko juu amesema kuna mazingira haiwezekani kuacha kutoa namba, as a woman nimemuunga mkono and other women can relate.

Looks like nimepata another Natafuta Ajira wakuargue nae kila thread ya wanaume vs wanawake! 😀
"A girl is the product of her society"... This is 100% right

Yes, traditionally in any society men are the pioneers/leaderz and women are followers, I mean they flows with social setting whims that men have initially created.

Ndio maana kwenye comment yangu ya awali kabisa nimesema sitaki kuwalaumu sana wanawake maana wao sio chanzo Cha tatizo,

...ila nitawalaumu wanawake kwa kushindwa kutoka nje ya box, maana si mara zote mwanaume akikiomba namba basi mtaishia kwenye mtongozo, muda mwingine wewe mwanamke unaweza ukajikuta unanufaika bila kitarajia.

Mfano, Mimi Kuna kipindi Fulani wakati nauza mitumba nilichukua namba ya dada mmoja hivi, lengo lilikuwa ni Hilo Hilo kuja kumtongoza.

Katika maongezi yetu hata Kabla sijamtongoza akaniambia yeye ni mke wa mtu, akanikata na mood kabisa ya kumtongoza maana huwa sidate wake za watu, Mimi naona ni heri nikadate baamedi kuliko mke wa mtu.

Sasa yule dada baada ya Mimi kupunguza mawasiliano na yeye, akawa mara nyingi yeye ndio ananitafuta, akaja akaniambia ana mtoto wa dada yake amemaliza form four kafeli yupo tu nyumbani hivyo akataka aniunganishe nae nimfundishe kufanya biashara ya mitumba... Na Mimi sikuwa na baya lolote nikafanya hivyo.

Sasa kwa scenario hii unaweza ukaona jinsi gani yeye ndio alinufaika na Mimi licha ya kwamba Mimi ndio nilimuomba namba yake na Wala hata sikutimiza ile dhamira yangu.

Kuhusu wanawake kuwaignore wanaume Kama surviving mechanisms dhidi ya usumbufu wanauopata huko mabarabarani, hapo ninawaunga mkono kabisa, na mwanaume yeyote anaye muharasse mwanamke aidha kwa kumtukana au kumtishia kisa tu amekataa kuitika baada ya kupigiwa mruzi, mwanaume huyo anastahili kuchukuliwa hatua Kali sana, maana wewe mwanamke ukiitwa na mwanaume kusimama au kutosimama ni uamuzi wako, binafsi hata Mimi huwa naichukia sana hii tabia ya wanaume wenzangu.

Suala la kutoa namba halafu baadae unapigiwa simu hapokei, unatumiwa meseji haujibu bila hata kujua mtu huyo anataka nini kwako huo ni ushamba.
 
Mwanamke anayewaza hivyo ujue hana kazi za kufanya, hana ishu hapa duniani zaidi ya kugawa uchi wake unaonuka shombo ya samaki, pia ujue ni masikini mno na hajasoma au alifeli hata form four. Lakini wanawake classic wenye shughuli zao hadi nje ya Tanzania, ukiomba namba au kuwapa business cards, wanaona ni fursa ya kibiashara au dili la Muhimu.
Hiki unachosema ni kweli kabisa, wanawake ambao ni wagumu kutoa namba sababu muda mwingi wanawaza kutongozwa tu ni wale ambao hawajawahi kuchanganyikana na jamii nyingine wakabadili mitazamo yao, mara nyingi ni wale ambao wako idle.

Kwa business minded-woman yeyote yule suala la kutoa namba kwa stranger hata sio inshu, maana anaamini fursa ni mahali popote na kwa yeyote yule na akilini mwake anawaza vitu Kibao mbali na masuala ya mahusiano/kutongozwa.

Lakini hata hapa hapa wapo wanawake wa dizaini hiyo japo wachache, mfano wadada wa Arusha wapo open-minded sana na Hawanaga kabisa hofu na stranger kwa sababu wengi wao Wana sifa niliyoitaja hapo kwenye paragraph iliyopita.
 
Mi mwisho huwa ni mara mbili tu. Asipopokea au kujibu msg mara mbili nafutilia mbali namba.
 
Hiki unachosema ni kweli kabisa, wanawake ambao ni wagumu kutoa namba sababu muda mwingi wanawaza kutongozwa tu ni wale ambao hawajawahi kuchanganyikana na jamii nyingine wakabadili mitazamo yao, mara nyingi ni wale ambao wako idle.

Kwa business minded-woman yeyote yule suala la kutoa namba kwa stranger hata sio inshu, maana anaamini fursa ni mahali popote na kwa yeyote yule na akilini mwake anawaza vitu Kibao mbali na masuala ya mahusiano/kutongozwa.

Lakini hata hapa hapa wapo wanawake wa dizaini hiyo japo wachache, mfano wadada wa Arusha wapo open-minded sana na Hawanaga kabisa hofu na stranger kwa sababu wengi wao Wana sifa niliyoitaja hapo kwenye paragraph iliyopita.
Sasa Hawa wa humu wanaokupopoa, wakiombwa mamba wanakataa au hawapokei eti wanaogopa kumtongozwa, mwanamke wa namna hiyo maana yake anawaza ngono, maana yake hana kitu kingine anachowaza hapa duniani zaidi ya kugawa papuchi yake, Huyo ni masikini wa akili na mifuko, pia ni mjinga na mpumbavu, unawazaje ngono 100% ya akili zako?
 
Kuna kabinti ivo ivo ila status kanacheki bana siku nikapost mapesa huyu apa mguu nikaweka mguu kati fast nisimgonge kwa spidi yake, sikumjib nxt day nikaweka status nimeshika mkono dem pemben kuna wine classic sijawah kajibu nikaona haka ka gold digger
 
"A girl is the product of her society"... This is 100% right

Yes, traditionally in any society men are the pioneers/leaderz and women are followers, I mean they flows with social setting whims that men have initially created.

Ndio maana kwenye comment yangu ya awali kabisa nimesema sitaki kuwalaumu sana wanawake maana wao sio chanzo Cha tatizo,

...ila nitawalaumu wanawake kwa kushindwa kutoka nje ya box, maana si mara zote mwanaume akikiomba namba basi mtaishia kwenye mtongozo, muda mwingine wewe mwanamke unaweza ukajikuta unanufaika bila kitarajia.

Mfano, Mimi Kuna kipindi Fulani wakati nauza mitumba nilichukua namba ya dada mmoja hivi, lengo lilikuwa ni Hilo Hilo kuja kumtongoza.

Katika maongezi yetu hata Kabla sijamtongoza akaniambia yeye ni mke wa mtu, akanikata na mood kabisa ya kumtongoza maana huwa sidate wake za watu, Mimi naona ni heri nikadate baamedi kuliko mke wa mtu.

Sasa yule dada baada ya Mimi kupunguza mawasiliano na yeye, akawa mara nyingi yeye ndio ananitafuta, akaja akaniambia ana mtoto wa dada yake amemaliza form four kafeli yupo tu nyumbani hivyo akataka aniunganishe nae nimfundishe kufanya biashara ya mitumba... Na Mimi sikuwa na baya lolote nikafanya hivyo.

Sasa kwa scenario hii unaweza ukaona jinsi gani yeye ndio alinufaika na Mimi licha ya kwamba Mimi ndio nilimuomba namba yake na Wala hata sikutimiza ile dhamira yangu.

Kuhusu wanawake kuwaignore wanaume Kama surviving mechanisms dhidi ya usumbufu wanauopata huko mabarabarani, hapo ninawaunga mkono kabisa, na mwanaume yeyote anaye muharasse mwanamke aidha kwa kumtukana au kumtishia kisa tu amekataa kuitika baada ya kupigiwa mruzi, mwanaume huyo anastahili kuchukuliwa hatua Kali sana, maana wewe mwanamke ukiitwa na mwanaume kusimama au kutosimama ni uamuzi wako, binafsi hata Mimi huwa naichukia sana hii tabia ya wanaume wenzangu.

Suala la kutoa namba halafu baadae unapigiwa simu hapokei, unatumiwa meseji haujibu bila hata kujua mtu huyo anataka nini kwako huo ni ushamba.
Paragraph ya mwisho umeua, umemaliza kila kitu
 
Kuna kabinti ivo ivo ila status kanacheki bana siku nikapost mapesa huyu apa mguu nikaweka mguu kati fast nisimgonge kwa spidi yake, sikumjib nxt day nikaweka status nimeshika mkono dem pemben kuna wine classic sijawah kajibu nikaona haka ka gold digger
Alafu mara nyingi viwanawake vyenye tabia hii vinanukaga midomo hata vipige mswaki kiasi gani
 
Back
Top Bottom