Endeleeni kuzibana,na Sisi hela hatutoi
Siku hizi pesa za mwanaume sio big deal tunatafuta zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endeleeni kuzibana,na Sisi hela hatutoi
Basi kwa kufanya hivyo unajiona uko so special as if mwanamke ni wewe mwenyewe tu hapa duniani.
Lakini sikulaumu wewe, Nina ilaumu jamii na wanaume kwa ujumla maana shobo zao ndio zimewafanya muwe na hii overbloated ego
😂😂😂😂🥳Alitoa namba uache kumsumbua, maana mnajuaga kuganda mtu mkiwa mnataka namba. Hapo ushaseviwa 'usipokee 3'
Kwanza mi nikishachukua namba Kwa demu Huwa nasev jina baya Ili asipopokea nifurahi moyoni... Kwa ww ningekusev "DEMU ANAYENUKA"
Mwanamke anayewaza hivyo ujue hana kazi za kufanya, hana ishu hapa duniani zaidi ya kugawa uchi wake unaonuka shombo ya samaki, pia ujue ni masikini mno na hajasoma au alifeli hata form four. Lakini wanawake classic wenye shughuli zao hadi nje ya Tanzania, ukiomba namba au kuwapa business cards, wanaona ni fursa ya kibiashara au dili la Muhimu.Imefika mahali watu Wana amini kitu pekee kinachomuunganisha mwanamke na mwanaume ambao sio ndugu wa Damu ni ngono... Mentality ya kishenzy sana
Mwanamke anayewaza hivyo ujue hana kazi za kufanya, hana ishu hapa duniani zaidi ya kugawa uchi wake unaonuka shombo ya samaki, pia ujue ni masikini mno na hajasoma au alifeli hata form four. Lakini wanawake classic wenye shughuli zao hadi nje ya Tanzania, ukiomba namba au kuwapa business cards, wanaona ni fursa ya kibiashara au dili la Muhimu.
Nilikuw natafut hili jib. Kuna dem mmoja nimeomb na nilimuelew kusm la ukweli na alivyonip namb nikamchek Sik ya tatu hakupokea wala kujib SMS Mie nikamwag hela mazee laten nikatum nikamwambia weka vocha then Kesho kutw nitafut kummke Kesh kutw mapem San saa 5 mtot kajaa mwenyew kwny 18 za muhun hakun nakupend hakun I need you. Nilimuelekez geto akaja fureshi Tu na nikalaKama hapokei tupia ka muamala then usimtafute uone kama hatokutafuta na sorry kama zote
Hamuna lolote nyie Bhan munanuka njaa Tu. Hela Tu munaliwa kiulaini fresh hakun cha form 4 sjui master wala sjui PhD ten nyie munaojiita wasomi Nd munalika kiulain sbb munajifany sjui I don't care. Na munaliwa na pesa zenu munazopat munawap wauni hao hao wanaowala. Usijinasib hapa na Alf ningekujua wew au bac [emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke anayewaza hivyo ujue hana kazi za kufanya, hana ishu hapa duniani zaidi ya kugawa uchi wake unaonuka shombo ya samaki, pia ujue ni masikini mno na hajasoma au alifeli hata form four. Lakini wanawake classic wenye shughuli zao hadi nje ya Tanzania, ukiomba namba au kuwapa business cards, wanaona ni fursa ya kibiashara au dili la Muhimu.
usiwe unapita hukuMentality ya kitoto na ya kishamba? Haya bwana hayo ni mawazo yako nayaheshimu. Uwe na siku njema!
Safi kabisaSiku hizi pesa za mwanaume sio big deal tunatafuta zetu
Ni PM namba yako basi nikupigie 😄😄😄na nyie mmezidi kuomba omba namba,
Mi ni mwanaume kjn, punguza kelele.Hamuna lolote nyie Bhan munanuka njaa Tu. Hela Tu munaliwa kiulaini fresh hakun cha form 4 sjui master wala sjui PhD ten nyie munaojiita wasomi Nd munalika kiulain sbb munajifany sjui I don't care. Na munaliwa na pesa zenu munazopat munawap wauni hao hao wanaowala. Usijinasib hapa na Alf ningekujua wew au bac [emoji23][emoji23][emoji23]
Asante kwa kunielewaga, na pole sababu hutopenda kila ninachochangia.Si utoe ata namba ya uongo? Kwann umpe real digits ukijua hutapokea? Nakuelewaga sana leo umekata left turn mkuu, usitoe namba simple as that! Unless unapenda thrill kuwa chased after mana ke kutoku tongozwa nayo shida unajiona kinyamkela.
Mimi sio mpole kihivyo, mtu kama huyo nimeshamuona akili yake ilivyo yaani ananibishia kitu ambacho mimi nakutana nacho mara kwa mara. Ndio mana nimeona niishie hapo tu.usiwe unapita huku
MMU pabaya sana kwa mdada mpole kama wewe
Wewe hebu toa namba bwana, wacha maneno. Tufungulie vijana na PM kabisa!Asante kwa kunielewaga, na pole sababu hutopenda kila ninachochangia.
Nilichosema ni mtazamo wa kike zaidi, ni wanawake tu watauelewa, nikisema ni wanawake wangapi walishakutwa na aibu ya kutoa namba ya uongo na ikapigwa hapo hapo bila shaka ni wengi, katika kutafuta namna bora ya kusurvive ndio tukaja na hiyo mbwinu.
Halafu suala la namba kuna watu wanabetianaga kabisa, kuwa pale nachukua namba, kutokumpa namba ni kubleach ego yake mbele za wenzake, kwani ni ngumu kiasi gani kumfanya mtu ajisikie vizuri kwa muda? Matokeo atapambana nayo baadae kwasababu sio waomba namba wote huwa wapo serious wengine wapo mazoezini…..
Naongea real life situations, kuna uzi humu mkaka analalamika hana confidence, wakumshauri wakamshauri, mwingine kaja akamshauri anza kwa kutongoza wadada na kuomba namba you will gain your confidence, hii ni case moja ndogo, Je tujiulize ni ngapi na huwa zinatutokea mara ngapi.
Kuna sababu nyingi za msingi za kumpa mtu namba akiomba, hapo bado haujajutana na yule uliyeamua kumpokelea simu ukamjibu kuwa “sipo interested “ na mahusiano na wewe….. Mara nyingi tu tunakula vichambo.
Bottom line wanaume hamko perfect, let women be!
Si mnasema si vizuri kutanguliza pesa mbele sasa hapa inakuaje tena? Na ukishampata akikuomba hela mbeleni utaendelea kumpa au ndio inakua bye bye??Piga simu kama hapokei tuma hata 20,000 uone kama hautopigiwa. Nakumbuka early 2014 kuna Jamaa yangu alipewa namba ya Video vixien wa Belle 9 haikupokelewa, akatuma 30,000 mbona fasta alipigiwa