Akina dada, kwanini mnakubali kutoa namba kisha mkipigiwa simu hampokei?

Akina dada, kwanini mnakubali kutoa namba kisha mkipigiwa simu hampokei?

Kwa hiyo hii ndio aina ya wanawake waliopo kwenye jamii yetu.. ukimuomba namba ya simu tafsiri yake ni umemtaka.

Asilimia kubwa huu ndio ukweli. Si rahisi mwanaume kutaka namba ya mwanamke si ndugu yake, au hata useme ni work mate ama sababu yoyote ya lazima ya kukufanya uwe na namba zake kama si kumtaka. Ni wachache sana lkn wengi wakishataka namba ya mwanamke kinachofata ni mtongozo.
 
Mara nyingi huwa wanakuwa hivo kama hawakuvutiwa na 1st impression yako.

Mimi huwa naacha tunabaki tu kuwa status viewers, the next time akinicheki namimi namu ignore maisha yanaendelea
 
Kaka unautumia akili nyingi sana kwa watu ambao hawajozea kuangaisha ubongo.

Unatumia akili nyingi kutoa ufafanuzi kwa watu ambao wanaishi kimazoea tangu udogoni mpaka wanakuwa watu wazima.

Jamii yetu hii ina social settings ambazo ndio watu wanaishi kwa kuzifuata na huwezi ukawabadilisha hata iwe vipi

Kikawaida mwanamke wa kitanzania hasa binti akiombwa namba ya simu na mwanaume asiyejua, tayari akilini mwake anajua kinachofuata hapo ni mtongozo tu basi hakuna kingine...

...Na ndio maana mara nyingi wanaaza kujihami mapema kama vile kukuandalia aina ya majibu atakayokupa hata kabla hujamtafuta.

Mimi wiki iliyopita nilimuomba mmoja wao namba alikuja eneo ninalofanyia kazi, yaani ile amemaliza tu kunitajia tarakinu ya mwisho akaniambie eti "ila Mimi sitembeagi na waume za watu" ilibidi nitabasamu tu huku nikishangaa sana.

Kwa hiyo hii ndio aina ya wanawake waliopo kwenye jamii yetu.. ukimuomba namba ya simu tafsiri yake ni umemtaka.
Ngono imechukua nafasi kubwa sana kwenye ubongo wa muafrica.
 
Baada ya stori mbili tatu ukaombwa namba na umetoa mwenyewe bila kushikiwa kisu, manati wala bunduki, lakini cha ajabu ni wiki ya pili sasa simu hujawahi kupokea hata siku moja na ikipigwa inaita vizuri tu. Meseji ndo kabisaa kama huzioni vile.

Sasa ulikua unatoa namba ya nini?
Sasa wewe mdogo wangu ushampigia mtu simu mara zaidi ya tatu na inaita ila hapokei bado hupati message kuwa hayuko interested na unaendelea kumpigia kwa wiki mbili? Hivi uliambia yuko au wako wanawake? Usimpe picha demu kuwa uko desperate nae, mpigie mara moja kwa siku, then baada ya siku moja au mbili unampigia tena kama hapokei unafuta number simple! Lalamika lalamika zitakupa maradhi ya moyo bure!
 
Baada ya stori mbili tatu ukaombwa namba na umetoa mwenyewe bila kushikiwa kisu, manati wala bunduki, lakini cha ajabu ni wiki ya pili sasa simu hujawahi kupokea hata siku moja na ikipigwa inaita vizuri tu. Meseji ndo kabisaa kama huzioni vile.

Sasa ulikua unatoa namba ya nini?

Mzee baba si umeomba namba ukapewa, kwani mlikubaliana baada ya kupeana namba ni namna gani ya kuitumia?

Omba namba, mtumie miamala...
 
Hilo ndo tatizo la sisi waafrica ya kufanya jambo kwa kuogopa macho ya watu.
Mtu akikuomba namba kama unaona huna uhitaji na mawasiliano nae unamwambia wazi kabisa kuwa sihitaji mawasiliano na ww basi.
Au hata akikuganda sana ww mpe then akipiga msikilize nini anacho taka alafu mwambie kuwa anacho kitaka hakiwezekaniki.

Tabia ya kumpa namba mtu alafu akakupigia ukakataa kupokea ni dharau na ushamba na inamfanya mtu ajisikie vibaya.
Tatizo ni kwa nini unaendelea kumpigia simu kwa wiki mbili mtu asiepokea simu yako na wala hajaribu kukupigia wewe na wala hakutumii ujumbe kukupa excuse kwa nini hakuweza kupokea simu yako na bado mtu analalamika!!!!
 
Asilimia kubwa huu ndio ukweli. Si rahisi mwanaume kutaka namba ya mwanamke si ndugu yake, au hata useme ni work mate ama sababu yoyote ya lazima ya kukufanya uwe na namba zake kama si kumtaka. Ni wachache sana lkn wengi wakishataka namba ya mwanamke kinachofata ni mtongozo.
Dada ondokana na hii mentality ya kitoto na ya kishamba, inaelezea vitu vingi sana kuhusu wewe ikiwemo makuzi yako.

Kwanza ni wanaume wangapi ulio interact nao wakakuomba namba kisha wakawa hawana kingine zaidi ya kukutongoza?

Kwa mindset hii mtakuwa mnajizbia fursa zingine nyie wenyewe kwa kuamini kwamba eti most of men wanatembea huku wanawaza ngono tu akilini mwao..!!

Na pia mwanamke mwenye hii mentality mara nyingi anakuwaga hana kingine Cha ku offer zaidi ya Sex na ndio maana wenye hii mentality kwa hapa Afrika mashariki ni nyie wanawake wa kibongo tu.

Wanawake wa Kenya wako so opened minded na suala la kutoa namba kwa stranger kwao sio inshu kwa sababu wanaamini kuna mambo sana ya kushare kati ya mwanaume na mwanamke mbali na ngono
 
Tunatoga namba tu ila utapiga mwenyewe na utapokea
Mwenyewe

Kuna mazingira mtu unaona aibu kumnyima mtu namba ila tunawakomesha mkianza kututafuta..

Mimi natoa namba sana nakudanganya na jina ukipiga ukasema ni wewe ndio hutokaa uone napokea simu yako ama kujibu sms na sikublock utaacha wewe kunitafuta

Acheni kuombaomba namba yaani mtu amekuchekea kidogo ushaomba namba hii tabia inakera unajikuta kwa mwezi umegawa namba kwa watu wengi utazani unaomba kazi [emoji849]
Kwanza mi nikishachukua namba Kwa demu Huwa nasev jina baya Ili asipopokea nifurahi moyoni... Kwa ww ningekusev "DEMU ANAYENUKA"
 
Dada ondokana na hii mentality ya kitoto na ya kishamba, inaelezea vitu vingi sana kuhusu wewe ikiwemo makuzi yako.

Kwanza ni wanaume wangapi ulio interact nao wakakuomba namba kisha wakawa hawana kingine zaidi ya kukutongoza?

Kwa mindset hii mtakuwa mnajizbia fursa zingine nyie wenyewe kwa kuamini kwamba eti most of men wanatembea huku wanawaza ngono tu akilini mwao..!!

Na pia mwanamke mwenye hii mentality mara nyingi anakuwaga hana kingine Cha ku offer zaidi ya Sex na ndio maana wenye hii mentality kwa hapa Afrika mashariki ni nyie wanawake wa kibongo tu.

Wanawake wa Kenya wako so opened minded na suala la kutoa namba kwa stranger kwao sio inshu kwa sababu wanaamini kuna mambo sana ya kushare kati ya mwanaume na mwanamke mbali na ngono
Mentality ya kitoto na ya kishamba? Haya bwana hayo ni mawazo yako nayaheshimu. Uwe na siku njema!
 
Back
Top Bottom