Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Ndio mvumilie kila mtu na tabia zake. Ukiona kakupa namba na hapokei simu zako unaachana nae.Sasa kama humtak kiherehere Cha kutoa namba Cha Nini?c unamuambia tu ukweli!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mvumilie kila mtu na tabia zake. Ukiona kakupa namba na hapokei simu zako unaachana nae.Sasa kama humtak kiherehere Cha kutoa namba Cha Nini?c unamuambia tu ukweli!!
Akununulie simu na laini hapo sawaTunatoga namba tu ila utapiga mwenyewe na utapokea
Mwenyewe
Kuna mazingira mtu unaona aibu kumnyima mtu namba ila tunawakomesha mkianza kututafuta..
Mimi natoa namba sana nakudanganya na jina ukipiga ukasema ni wewe ndio hutokaa uone napokea simu yako ama kujibu sms na sikublock utaacha wewe kunitafuta
Acheni kuombaomba namba yaani mtu amekuchekea kidogo ushaomba namba hii tabia inakera unajikuta kwa mwezi umegawa namba kwa watu wengi utazani unaomba kazi [emoji849]
Ila huo ni utoto na ushamba flan iv cz Sion haja ya kumpa namba mtu ambaye unajua fika hutapokea....Ndio mvumilie kila mtu na tabia zake. Ukiona kakupa namba na hapokei simu zako unaachana nae.
Pole, mvumilie. Mimi huwa nashangaa wale wanaume wakiomba namba wasipopewa wanaporomosha mvua ya matusi, hawa nao unawaweka kundi gani?Ila huo ni utoto na ushamba flan iv cz Sion haja ya kumpa namba mtu ambaye unajua fika hutapokea....
😂😂😂😂😂Kwaiyo nikipokea simu ndio yeye atanioa [emoji38]
A girl/woman is a product of her society. 99.9 ya namba tunazoombwa na strangers ni kwaajili ya mtongozo, unnecessarily ! Kabla hatujalaumu wanawake, hebu “sisi” wanaume tujikague.Kaka unautumia akili nyingi sana kwa watu ambao hawajozea kuangaisha ubongo.
Unatumia akili nyingi kutoa ufafanuzi kwa watu ambao wanaishi kimazoea tangu udogoni mpaka wanakuwa watu wazima.
Jamii yetu hii ina social settings ambazo ndio watu wanaishi kwa kuzifuata na huwezi ukawabadilisha hata iwe vipi
Kikawaida mwanamke wa kitanzania hasa binti akiombwa namba ya simu na mwanaume asiyejua, tayari akilini mwake anajua kinachofuata hapo ni mtongozo tu basi hakuna kingine...
...Na ndio maana mara nyingi wanaaza kujihami mapema kama vile kukuandalia aina ya majibu atakayokupa hata kabla hujamtafuta.
Mimi wiki iliyopita nilimuomba mmoja wao namba alikuja eneo ninalofanyia kazi, yaani ile amemaliza tu kunitajia tarakinu ya mwisho akaniambie eti "ila Mimi sitembeagi na waume za watu" ilibidi nitabasamu tu huku nikishangaa sana.
Kwa hiyo hii ndio aina ya wanawake waliopo kwenye jamii yetu.. ukimuomba namba ya simu tafsiri yake ni umemtaka.
Yah kama inakufanya ujisikie vizuri ni jambo lakupendeza.Kwanza mi nikishachukua namba Kwa demu Huwa nasev jina baya Ili asipopokea nifurahi moyoni... Kwa ww ningekusev "DEMU ANAYENUKA"
kikubwa asifute namba ilo tobo la kugombana na mpenzi litakuja kumfaa siku za mbeleniSoma nyakati....
Ugomvi na mpenzi- unatoa namba
Mkipatana- hupokei simu
Thread ifungwe tukalale
basi jamaa itakuwa anaboa na hajachangamkaKuna wale namba tunakupa ila tukichoka kuwa nayo kwa simu zetu tunablock na kufuta
Si utoe ata namba ya uongo? Kwann umpe real digits ukijua hutapokea? Nakuelewaga sana leo umekata left turn mkuu, usitoe namba simple as that! Unless unapenda thrill kuwa chased after mana ke kutoku tongozwa nayo shida unajiona kinyamkela.A girl/woman is a product of her society. 99.9 ya namba tunazoombwa na strangers ni kwaajili ya mtongozo, unnecessarily ! Kabla hatujalaumu wanawake, hebu “sisi” wanaume tujikague.
Kitu ambacho una overlook ni kwanini wanawake “wanatoa namba na hawapokei simu” Umeshasikia mara ngapi msichana anakuwa bullied only kwasababu amekataa kusimama barabarani kumpa ME namba/attention or whatever alicho aim? Kitu hujui ni kuwa wanawake tumejitengenezea “surviving mechanism” katika huu ulimwengu wa kiume. Kadogo2 huko juu amesema kuna mazingira haiwezekani kuacha kutoa namba, as a woman nimemuunga mkono and other women can relate.
Looks like nimepata another Natafuta Ajira wakuargue nae kila thread ya wanaume vs wanawake! 😀
Kwani Kuna ubaya gani ukitongozwa?Asilimia kubwa huu ndio ukweli. Si rahisi mwanaume kutaka namba ya mwanamke si ndugu yake, au hata useme ni work mate ama sababu yoyote ya lazima ya kukufanya uwe na namba zake kama si kumtaka. Ni wachache sana lkn wengi wakishataka namba ya mwanamke kinachofata ni mtongozo.
Mbona hamna sehemu nimesema ni vibaya kutongozwa. Soma niliem'quote ndio utaelewa kwa nini niliandika hivyo.Kwani Kuna ubaya gani ukitongozwa?
Utapataje mchumba kama hutoi numberHahaah 🤣, namba mtapata ila mtapiga sana, tamaa tu😏
Ni ushamba pia na kutojielewa.Pole, mvumilie. Mimi huwa nashangaa wale wanaume wakiomba namba wasipopewa wanaporomosha mvua ya matusi, hawa nao unawaweka kundi gani?
Aisee una akili sana, kunywa juisi nakuja kulipa.Ukiona umemkatalia hitaji lake na akashindwa kuwa muelewa na akawa msumbufu kwako basi hapo una uhalali wa kumpiga brock lakini siyo kukataa kumpokea hata kabla ya kumsikiliza.
Tatizo sisi linapo kuja mawasiliano kati ya me na ke kinacho tangulia vichwani mwetu ni ngono na uzinzi tu,mtu anaweza kukuomba namba yako kwa dhamira ya kukutongoza lakini akabadilisha dhamira yake baada ya kujua ww ni mtu wa aina gani na mkawa na urafiki wenye tija katika maisha yenu.
Mtu anaweza asikufae kwenye mapenzi lakini akakufaa kwenye mambo mengine.
Wakati unanyofolewa bikra ulijua atakaekuoa ni nani?