Akina dada, kwanini mnakubali kutoa namba kisha mkipigiwa simu hampokei?

Akina dada, kwanini mnakubali kutoa namba kisha mkipigiwa simu hampokei?

Tunatoga namba tu ila utapiga mwenyewe na utapokea
Mwenyewe

Kuna mazingira mtu unaona aibu kumnyima mtu namba ila tunawakomesha mkianza kututafuta..

Mimi natoa namba sana nakudanganya na jina ukipiga ukasema ni wewe ndio hutokaa uone napokea simu yako ama kujibu sms na sikublock utaacha wewe kunitafuta

Acheni kuombaomba namba yaani mtu amekuchekea kidogo ushaomba namba hii tabia inakera unajikuta kwa mwezi umegawa namba kwa watu wengi utazani unaomba kazi [emoji849]
ndo maana mimi huwa siombi namba, natongoza kwanza nikikubaliwa ndo naomba namba au naweza nikapewa mzigo kabla sijaomba namba.
 
Tunatoga namba tu ila utapiga mwenyewe na utapokea
Mwenyewe

Kuna mazingira mtu unaona aibu kumnyima mtu namba ila tunawakomesha mkianza kututafuta..

Mimi natoa namba sana nakudanganya na jina ukipiga ukasema ni wewe ndio hutokaa uone napokea simu yako ama kujibu sms na sikublock utaacha wewe kunitafuta

Acheni kuombaomba namba yaani mtu amekuchekea kidogo ushaomba namba hii tabia inakera unajikuta kwa mwezi umegawa namba kwa watu wengi utazani unaomba kazi [emoji849]
Your days are numbered
 
Si usubiri ujibiwe au upigiwe?
Unakuwa unamtakia nini na haraka haraka hiyo!!!

Ila wengine eti wanapima na wengine wanapimisha na aliyenaye😅

Kwa wa Dada wengi unga muamala hata buku 20 sema ya maji.. usikilizie huku uki......

Vaa vizuri nenda BOT au benki zenye kuzungusha 💲 pozi kama unachekelea. rusha status andika "mkutano wa mameneja umeenda vizuri.. Kazi iendelee.." nunua cha kuvaa kwenye kola kishike mkononi iwe kama umeshika ID yako.

Kumbuka kuweka privacy aone mlengwa tu 😅😅
Kama jamaa hajaseviwa je 😁
 
Sasa mkuu unamtongozaje demu kwa siku ya kwanza
Demu naemtongoza siku ya kwanza huyo nakuwa hata sina mpango nae labda yeye tu akibali sitamuacha, Huwa wapo wanaokubali nawala ila lengo huwa wakatae ili tusipotezeane mida na hela maana akikubali naomba mzigo, akikataa poa tu ndo imeisha iyo na yeye hataomba hela maana namba yangu hana.

Mwanamke ambaye amechukua attention yangu huyu hata sita muomba namba yaani nachokifanya ni kuitoa simu kwenye equation tunarudi karne ya 20 hakuna simu za mkononi na mambo yanaendelea vizuri tu, labda yeye ndo atake namba yangu ila mimi siombi namba kabla sijakubaliwa.
 
Baada ya stori mbili tatu ukaombwa namba na umetoa mwenyewe bila kushikiwa kisu, manati wala bunduki, lakini cha ajabu ni wiki ya pili sasa simu hujawahi kupokea hata siku moja na ikipigwa inaita vizuri tu. Meseji ndo kabisaa kama huzioni vile.

Sasa ulikua unatoa namba ya nini?
Unatuma laki kwanza then ndo una text kujitbulisha na kumuambia umetuma kisenti cha vocha
 
Bro mapenzi hayatafutwi hivyo huyo hata akipokea simu utakula za uso mpaka ushangae, mpenzi huwa anakuja tu automatically maishani mwako
Apokee simu sasa anipe za mbavu mi ndo napendaga hizo yani kwangu nikimtongoza mtoto wa kike vile anavyokataa kataa huwa naenjoy kinoma
 
Kuna wale namba tunakupa ila tukichoka kuwa nayo kwa simu zetu tunablock na kufuta
 
Back
Top Bottom