spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Yupo mmoja nlimuomba namba kazini akakataa jioni nkamuomba nauli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo maana mimi huwa siombi namba, natongoza kwanza nikikubaliwa ndo naomba namba au naweza nikapewa mzigo kabla sijaomba namba.Tunatoga namba tu ila utapiga mwenyewe na utapokea
Mwenyewe
Kuna mazingira mtu unaona aibu kumnyima mtu namba ila tunawakomesha mkianza kututafuta..
Mimi natoa namba sana nakudanganya na jina ukipiga ukasema ni wewe ndio hutokaa uone napokea simu yako ama kujibu sms na sikublock utaacha wewe kunitafuta
Acheni kuombaomba namba yaani mtu amekuchekea kidogo ushaomba namba hii tabia inakera unajikuta kwa mwezi umegawa namba kwa watu wengi utazani unaomba kazi [emoji849]
Your days are numberedTunatoga namba tu ila utapiga mwenyewe na utapokea
Mwenyewe
Kuna mazingira mtu unaona aibu kumnyima mtu namba ila tunawakomesha mkianza kututafuta..
Mimi natoa namba sana nakudanganya na jina ukipiga ukasema ni wewe ndio hutokaa uone napokea simu yako ama kujibu sms na sikublock utaacha wewe kunitafuta
Acheni kuombaomba namba yaani mtu amekuchekea kidogo ushaomba namba hii tabia inakera unajikuta kwa mwezi umegawa namba kwa watu wengi utazani unaomba kazi [emoji849]
Kama jamaa hajaseviwa je 😁Si usubiri ujibiwe au upigiwe?
Unakuwa unamtakia nini na haraka haraka hiyo!!!
Ila wengine eti wanapima na wengine wanapimisha na aliyenaye😅
Kwa wa Dada wengi unga muamala hata buku 20 sema ya maji.. usikilizie huku uki......
Vaa vizuri nenda BOT au benki zenye kuzungusha 💲 pozi kama unachekelea. rusha status andika "mkutano wa mameneja umeenda vizuri.. Kazi iendelee.." nunua cha kuvaa kwenye kola kishike mkononi iwe kama umeshika ID yako.
Kumbuka kuweka privacy aone mlengwa tu 😅😅
😁Yupo mmoja nlimuomba namba kazini akakataa jioni nkamuomba nauli
Sasa mkuu unamtongozaje demu kwa siku ya kwanzando maana mimi huwa siombi namba, natongoza kwanza nikikubaliwa ndo naomba namba au naweza nikapewa mzigo kabla sijaomba namba.
Demu naemtongoza siku ya kwanza huyo nakuwa hata sina mpango nae labda yeye tu akibali sitamuacha, Huwa wapo wanaokubali nawala ila lengo huwa wakatae ili tusipotezeane mida na hela maana akikubali naomba mzigo, akikataa poa tu ndo imeisha iyo na yeye hataomba hela maana namba yangu hana.Sasa mkuu unamtongozaje demu kwa siku ya kwanza
Unatuma laki kwanza then ndo una text kujitbulisha na kumuambia umetuma kisenti cha vochaBaada ya stori mbili tatu ukaombwa namba na umetoa mwenyewe bila kushikiwa kisu, manati wala bunduki, lakini cha ajabu ni wiki ya pili sasa simu hujawahi kupokea hata siku moja na ikipigwa inaita vizuri tu. Meseji ndo kabisaa kama huzioni vile.
Sasa ulikua unatoa namba ya nini?
Yani wana mambo ya kiwaki kinomaWanawake akili zao zakitoto
Mtafika tu ule wakati wenu wa kulia na kusaga menoSoma nyakati....
Ugomvi na mpenzi- unatoa namba
Mkipatana- hupokei simu
Thread ifungwe tukalale
Apokee simu sasa anipe za mbavu mi ndo napendaga hizo yani kwangu nikimtongoza mtoto wa kike vile anavyokataa kataa huwa naenjoy kinomaBro mapenzi hayatafutwi hivyo huyo hata akipokea simu utakula za uso mpaka ushangae, mpenzi huwa anakuja tu automatically maishani mwako
Heeeee mbona huo wakati tushaupita???!!!! Tumewapa kijiti......Mtafika tu ule wakati wenu wa kulia na kusaga meno