Unajua sio kama wanawadharau, bali ni ile hali ya kukujua tabia zako vyema kwa vizuri kabsaa bila utata ndio inafanya tusiwe na nyinyi wa kazini au mitaani au mliotuzunguka karibu. pengine haziendani na matakwa yetu, hata kama ni wewe tumeishi mtaa mmoja na ulikwua unaona jinsi nilivyomjeuri kwa mama yangu na muda mwengine kuongea hata maneno ya kijeuri, akili yako inakuwa ishajenga mawazo ya kwamba huyu msichana hafai, lakini kuna mtu wa mbali kabsaa ananiona namfaa ni kwa vile hajui tabia zangu nyengine n.k., au wewe ulikuwa unaona jinsi nilivyokuwa nikigombana na dada zangu kisa usafi na kupika au kuchelewa kurudi n.k., kuna tabia tunajuana moja kwa moja zinaturudisha nyuma both side, kwa wanaume na wanawake.