Akina dada msipende kuwadharau vijana mnaofanyanao kazi ofisini

Akina dada msipende kuwadharau vijana mnaofanyanao kazi ofisini

Akina dada nipende kuwashauri kitu kimoja.

Msipende kuwadharau vijana mnao fanya nao kazi ofisi moja na kuwaona wa thamani kubwa watu msiowajua hasa wa kwenye mitandao mkidhani kua hao ndio wana maisha bora.

Ukweli ni kwamba akina dada wengi wanatabia ya kuwadharau vijana wanaoishi nao wakiamini kwamba watawapata watu wenye sifa wanazo zihitaji toka kwenye mitandao ya kijamii, matokeo yake kwa sasa kumekua na ongezeko kubwa la watoto wasiokuwa na baba au kwa jina maarufu kama watoto wa love connect, wakiisha zalishwa huko walikokimbilia na kuachwa ndio wanawaona wa thamani kubwa hawa walio waacha mtaani.

Ushauri kwa wadada acheni tamaa rizikeni na vijana mnao ishi nao kwenye mazingira yenu kwani wengi wao ni watu wenye nia nzuri kwenu
you speaking from experience M2mishi ?
 
Mkuu wacha nikupe siri kidogo ya kugundua sisi watu...Ukiona mtu kila akija kwako anaongelea mambo makubwa tu na ya kujisifia tu masifa yanayoendana na kumwonyesha yuko fit financially na kila akija anakuja na gari tofauti hadi kwenye list ya hayo magari unataja hammer na the like...Kimbiaaaaa huyo si muoaje yaanai ni anataka akuchanganye uingie kingi amege asepe..Nikweli tumewagundua kina dada wengi mnapenda mwanume mwenye nazo sasa wanaume wanafanya action kama kwenye movie kuakisi maisha ya mtu mwenye pesa na nyie mnajichanganya...Ukija shtuka kumbe mi nauza magazeti lakini ndiyo hivyo shamega na sitaki tena..
mbaya zaidi na ujauzito mnatuachia
 
Unajua sio kama wanawadharau, bali ni ile hali ya kukujua tabia zako vyema kwa vizuri kabsaa bila utata ndio inafanya tusiwe na nyinyi wa kazini au mitaani au mliotuzunguka karibu. pengine haziendani na matakwa yetu, hata kama ni wewe tumeishi mtaa mmoja na ulikwua unaona jinsi nilivyomjeuri kwa mama yangu na muda mwengine kuongea hata maneno ya kijeuri, akili yako inakuwa ishajenga mawazo ya kwamba huyu msichana hafai, lakini kuna mtu wa mbali kabsaa ananiona namfaa ni kwa vile hajui tabia zangu nyengine n.k., au wewe ulikuwa unaona jinsi nilivyokuwa nikigombana na dada zangu kisa usafi na kupika au kuchelewa kurudi n.k., kuna tabia tunajuana moja kwa moja zinaturudisha nyuma both side, kwa wanaume na wanawake.
Ntakupigia tuongee vzr kuhusu hili suala
 
ila mimi mwanume naye fanya naye kazi au yupo mtaa mmoja na mimi siwezi tembea naye hatas iku moja ,, na hijawahi tokea

Yan kudadeki umetoboa mule mule....

Sijawahi t*mba dem tuko nae kitaa kimoja wala kua na mahusiano...tokea nikue. I just dnt see it right.
 
Yan kudadeki umetoboa mule mule....

Sijawahi t*mba dem tuko nae kitaa kimoja wala kua na mahusiano...tokea nikue. I just dnt see it right.
naona kama si sawa nikiwaza kubanjuliwa na jamaa wakitaa halafu kila mara tunaonana aisee ni ngumu
 
naona kama si sawa nikiwaza kubanjuliwa na jamaa wakitaa halafu kila mara tunaonana aisee ni ngumu

Exactly....alaf on my side mambo ya kugandana sitaki. Wengine ving'angazi mpaka kero.

Niliwahi mega dem flan nikamuweka wazi kabsa dat nina mtu na nina malengo nae (kuwe na limits)....her too same thing ana mtu but hajaolewa yet.

Sijawahi furahia mchepuko kama ule tokea nizaliwe....cz hasumbui, ni muelewa nd she z up to standards...ni basi tu damu zetu zimetokea kuivana.
 
Exactly....alaf on my side mambo ya kugandana sitaki. Wengine ving'angazi mpaka kero.

Niliwahi mega dem flan nikamuweka wazi kabsa dat nina mtu na nina malengo nae (kuwe na limits)....her too same thing ana mtu but hajaolewa yet.

Sijawahi furahia mchepuko kama ule tokea nizaliwe....cz hasumbui, ni muelewa nd she z up to standards...ni basi tu damu zetu zimetokea kuivana.
kuna mademu waelewa ila kuna wengine wanatka muonekane pamoja kama njiwa
 
Mbona wakat ule wa kujipikilisha ulikuwa huogopi?!...
wakati ule nilikuwa sibinjuliwi binjuliwi kama wakati huu.. mara mguu upo kona mara ile .. mara sijui mbwa staili yani jamaa anasanua kila sehemu anaona loh mi sitaki aisee
 
wakati ule nilikuwa sibinjuliwi binjuliwi kama wakati huu.. mara mguu upo kona mara ile .. mara sijui mbwa staili yani jamaa anasanua kila sehemu anaona loh mi sitaki aisee
Sasa kwani uliyekaa nae mtaa mmoja na usiyekaa nae yote si sawa tu inapokuja issue ya kubanjuka
 
ila mimi mwanume naye fanya naye kazi au yupo mtaa mmoja na mimi siwezi tembea naye hatas iku moja ,, na hijawahi tokea
Dada hatuzungumzii umalaya(kutembea tu na mtu kama ulivyocomment), tunazungumzia uchumba hatimae ndoa!
 
Sasa kwani uliyekaa nae mtaa mmoja na usiyekaa nae yote si sawa tu inapokuja issue ya kubanjuka
akiwa mbali na mtaani inakuwa afadhali sababu nakuwa huru na najiamini .. ila kiwa kitaa mmh kujishtukia kwingi aisee
 
Dada hatuzungumzii umalaya(kutembea tu na mtu kama ulivyocomment), tunazungumzia uchumba hatimae ndoa!
ha haha ndoa tuanaanzia kwenye hayo hayo mkuu.. halafu maana ya umalaya ni pana aisee
 
Back
Top Bottom