Akina dada msipende kuwadharau vijana mnaofanyanao kazi ofisini

Akina dada msipende kuwadharau vijana mnaofanyanao kazi ofisini

Sheria na taratibu za kazi haziruhusu kuwa na mahusiano sehemu za kazi. Hisia zako acha nyumbani hapo ni sehemu ya kazi.
 
Hivi ni kweli kina dada mmeshindwa kabisa kupambanua kuwa huyo chalii ni fake na huyu yuko real hadi muishie kumegwa na kuachwa...
Wanaume wanawatambua wanawake wa sampuli hii, ndio maana wanawamega na kuwaacha.
 
Mkuu wacha nikupe siri kidogo ya kugundua sisi watu...Ukiona mtu kila akija kwako anaongelea mambo makubwa tu na ya kujisifia tu masifa yanayoendana na kumwonyesha yuko fit financially na kila akija anakuja na gari tofauti hadi kwenye list ya hayo magari unataja hammer na the like...Kimbiaaaaa huyo si muoaje yaanai ni anataka akuchanganye uingie kingi amege asepe..Nikweli tumewagundua kina dada wengi mnapenda mwanume mwenye nazo sasa wanaume wanafanya action kama kwenye movie kuakisi maisha ya mtu mwenye pesa na nyie mnajichanganya...Ukija shtuka kumbe mi nauza magazeti lakini ndiyo hivyo shamega na sitaki tena..
Sio mmuza magazeti Bali ni dalali.
 
Unajua sio kama wanawadharau, bali ni ile hali ya kukujua tabia zako vyema kwa vizuri kabsaa bila utata ndio inafanya tusiwe na nyinyi wa kazini au mitaani au mliotuzunguka karibu. pengine haziendani na matakwa yetu, hata kama ni wewe tumeishi mtaa mmoja na ulikwua unaona jinsi nilivyomjeuri kwa mama yangu na muda mwengine kuongea hata maneno ya kijeuri, akili yako inakuwa ishajenga mawazo ya kwamba huyu msichana hafai, lakini kuna mtu wa mbali kabsaa ananiona namfaa ni kwa vile hajui tabia zangu nyengine n.k., au wewe ulikuwa unaona jinsi nilivyokuwa nikigombana na dada zangu kisa usafi na kupika au kuchelewa kurudi n.k., kuna tabia tunajuana moja kwa moja zinaturudisha nyuma both side, kwa wanaume na wanawake.
Bora umekuwa muwazi, hongera
 
Ni kweli kabisaaaa. Kuna frnd yangu mmoja namfahamu vzr kabisa yaan ni mlev tena wa viroba na kingine mchaaafu kias kwamba nikasema huyo sijui if atapata mtu. Bt huwez amin kaoa mwaka juzi had nikajiuliza huyo mwanamke hajaona uchafu wote huo na ulevi masaa24? Nikagundua kuwa ni kwasababu mimi na tunao mzunguka tunamfahamu zaidi kuliko huyo msichana ( mkewe) ndio maana akaoa lakin kwa mtaani kwetu asingepata hata wa kusingiziwa cz kila msichana alikua anamuona majanga
Umeona hilo ndio tatizo kubwa.
 
Hii inaweza ikawa sababu lakini haina nguvu kwa kuwa wadada waliowengi kwa nyakat hzi za sayansi na teknolojia wanapenda sana maisha rahis rahis anataka kutoka na mtu mwenye pesa wakati unakuta jamaa hana kitu lakini anauwezo wa kumvumilia mpaka atakapopata

Lakini wao huwa hawalioni hilo anachoamini akiwa na mwanaume mwenye pesa hakuna linaloshindikana, ni sawa lakini siku ukiachwa na Mimba juu inakuwa tabu nyingine unaanza kukumbuka nyuma kumbe yule alikuwa akinipenda japo hakuwa na kitu

Kinachomata katika maisha ya kimausiano siku zote ni upendo na kukubaliana na hali ya mwenzako coz ndicho alichojaaliwa na mwenyez mungu kumdharau na kumuona boya ni kumkosea adabu huyu mwenye mapenzi ya dhati kwako take it on your head
Kumbuka huyo huyo jirani anaweza akaja akaolewa na mwanaume hana hata kitu ndio wanaanza maisha, au hapo hapo kazini kwako ukakuta msichana anachukuliwa na mtu sawa na wewe ilia mapenzi sio pesa tu kama unavyodahni, na usifikiri kila mwanamke yuko kipesa, chunguza ndoa nyingi watu wameanza na wako zao kwenye chumba, au nyumba za kupanga mpaka wanakuwa na maisha yao mazuri, waolewaji au wenye nia ya dhati ya kuolewa ni wachache wanaoangali pesa na ndio maana unakuta anaanza na mumewe wakiwa duni, wenye shida ya mabwana wa kuwawezesha ndio huangalia mshiko Zaidi. na wenye mshiko wengi si waowaji au unakuta tayari ameshaoa.
 
Mara Mitandaoni,Mara Mitaani,Mara Ofisini,Haya Ujumne Umefika Ingawa Confusingly.
 
Mapenzi ya sasa yamekuwa 50/50 hayana kanuni unawaeza amini huku kuna uafadhali kumbe ndo unajiingiza kwenye balaa.
 
Akina dada nipende kuwashauri kitu kimoja.

Msipende kuwadharau vijana mnaofanyanao kazi ofisi moja na kuwaona wa thamani kubwa watu msiowajua hasa wa kwenye mitandao mkidhani kuwa hao ndio wana maisha bora.

Ukweli ni kwamba akina dada wengi wanatabia ya kuwadharau vijana wanaoishinao wakiamini kwamba watawapata watu wenye sifa wanazozihitaji toka kwenye mitandao ya kijamii.

Matokeo yake kwa sasa kumekuwa na ongezeko kubwa la watoto wasiokuwa na baba au kwa jina maarufu kama watoto wa love connect, wakishazalishwa huko walikokimbilia na kuachwa ndio wanawaona wa thamani kubwa hawa waliowaacha mtaani.

Ushauri kwa wadada acheni tamaa rizikeni na vijana mnao ishi nao kwenye mazingira yenu kwani wengi wao ni watu wenye nia nzuri kwenu.
Weka mfano
 
Yani tulioa tunaojuana nao na tunaofanya kazi pamoja tunafurahia maisha sana, ila ukitaka kufaidi maisha na mwanamke mfanyakazi usithubutu kufatilia mshahara wake hata Siku moja na hata ukiishiwa usimwombe hela Bali mkope na ukipata mrejeshee haraka sana.
 
Akina dada nipende kuwashauri kitu kimoja.

Msipende kuwadharau vijana mnaofanyanao kazi ofisi moja na kuwaona wa thamani kubwa watu msiowajua hasa wa kwenye mitandao mkidhani kuwa hao ndio wana maisha bora.

Ukweli ni kwamba akina dada wengi wanatabia ya kuwadharau vijana wanaoishinao wakiamini kwamba watawapata watu wenye sifa wanazozihitaji toka kwenye mitandao ya kijamii.

Matokeo yake kwa sasa kumekuwa na ongezeko kubwa la watoto wasiokuwa na baba au kwa jina maarufu kama watoto wa love connect, wakishazalishwa huko walikokimbilia na kuachwa ndio wanawaona wa thamani kubwa hawa waliowaacha mtaani.

Ushauri kwa wadada acheni tamaa rizikeni na vijana mnao ishi nao kwenye mazingira yenu kwani wengi wao ni watu wenye nia nzuri kwenu.
Umesahau kuwaambia sio wakishakuwa tu na Masihano na mwanaume miezi 3 au mwaka basi anajilengeshea mimba, kwani huyo kakwambia anataka mtoto na hata akikwambia anasomekaa ? sio kila mapenzi mwisho wake baba vs mama
 
Mkuu Hii Kuna Ukwel...Niliwah Zungukwa Na Watu Wanafik Hata Wale Ambao Sikutegmea Ni Wangeweza Kuwa Wanafik Ila Wamekua Wanafik!! Ninachukia Sanaa Hii Tabia Mimi Nachoonyesha Nje Ndicho Hicho Hicho Kilichopo Ndan Ya Moyo Hapa Huwa Nakwaruzana na weng Coz Wanapenda Maisha Unafik Na Kujifanyisha.
Bora Mchawi kuliko Mnafiki.
 
Akina dada nipende kuwashauri kitu kimoja.

Msipende kuwadharau vijana mnaofanyanao kazi ofisi moja na kuwaona wa thamani kubwa watu msiowajua hasa wa kwenye mitandao mkidhani kuwa hao ndio wana maisha bora.

Ukweli ni kwamba akina dada wengi wanatabia ya kuwadharau vijana wanaoishinao wakiamini kwamba watawapata watu wenye sifa wanazozihitaji toka kwenye mitandao ya kijamii.

Matokeo yake kwa sasa kumekuwa na ongezeko kubwa la watoto wasiokuwa na baba au kwa jina maarufu kama watoto wa love connect, wakishazalishwa huko walikokimbilia na kuachwa ndio wanawaona wa thamani kubwa hawa waliowaacha mtaani.

Ushauri kwa wadada acheni tamaa rizikeni na vijana mnao ishi nao kwenye mazingira yenu kwani wengi wao ni watu wenye nia nzuri kwenu.
Duuh
 
Back
Top Bottom