Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna ukweli hapo
Mhuuuuuuh unafiki wa hawa wadada umezidi
Tanzania kila kitu ni maigizo, mapenzi maigizo, Huduma za jamii maigizo, viongozi maigizo.Maisha bila unafiki hayaendi
Wanaume wanawatambua wanawake wa sampuli hii, ndio maana wanawamega na kuwaacha.Hivi ni kweli kina dada mmeshindwa kabisa kupambanua kuwa huyo chalii ni fake na huyu yuko real hadi muishie kumegwa na kuachwa...
Sio mmuza magazeti Bali ni dalali.Mkuu wacha nikupe siri kidogo ya kugundua sisi watu...Ukiona mtu kila akija kwako anaongelea mambo makubwa tu na ya kujisifia tu masifa yanayoendana na kumwonyesha yuko fit financially na kila akija anakuja na gari tofauti hadi kwenye list ya hayo magari unataja hammer na the like...Kimbiaaaaa huyo si muoaje yaanai ni anataka akuchanganye uingie kingi amege asepe..Nikweli tumewagundua kina dada wengi mnapenda mwanume mwenye nazo sasa wanaume wanafanya action kama kwenye movie kuakisi maisha ya mtu mwenye pesa na nyie mnajichanganya...Ukija shtuka kumbe mi nauza magazeti lakini ndiyo hivyo shamega na sitaki tena..
Wanawake wameshindwa kwenye hil na ndio inatupa advantage sisi wanaume kupata gia ya kumuingiliaWanaume wanawatambua wanawake wa sampuli hii, ndio maana wanawamega na kuwaacha.
Hapa kazi tu, mapenzi nyumbani.Sheria na taratibu za kazi haziruhusu kuwa na mahusiano sehemu za kazi. Hisia zako acha nyumbani hapo ni sehemu ya kazi.
Bora umekuwa muwazi, hongeraUnajua sio kama wanawadharau, bali ni ile hali ya kukujua tabia zako vyema kwa vizuri kabsaa bila utata ndio inafanya tusiwe na nyinyi wa kazini au mitaani au mliotuzunguka karibu. pengine haziendani na matakwa yetu, hata kama ni wewe tumeishi mtaa mmoja na ulikwua unaona jinsi nilivyomjeuri kwa mama yangu na muda mwengine kuongea hata maneno ya kijeuri, akili yako inakuwa ishajenga mawazo ya kwamba huyu msichana hafai, lakini kuna mtu wa mbali kabsaa ananiona namfaa ni kwa vile hajui tabia zangu nyengine n.k., au wewe ulikuwa unaona jinsi nilivyokuwa nikigombana na dada zangu kisa usafi na kupika au kuchelewa kurudi n.k., kuna tabia tunajuana moja kwa moja zinaturudisha nyuma both side, kwa wanaume na wanawake.
mifano tu simaanishi nilikuwa mjeuri au mbishi kuosha vyombo au mvivu🙄 lol.Bora umekuwa muwazi, hongera
Umeona hilo ndio tatizo kubwa.Ni kweli kabisaaaa. Kuna frnd yangu mmoja namfahamu vzr kabisa yaan ni mlev tena wa viroba na kingine mchaaafu kias kwamba nikasema huyo sijui if atapata mtu. Bt huwez amin kaoa mwaka juzi had nikajiuliza huyo mwanamke hajaona uchafu wote huo na ulevi masaa24? Nikagundua kuwa ni kwasababu mimi na tunao mzunguka tunamfahamu zaidi kuliko huyo msichana ( mkewe) ndio maana akaoa lakin kwa mtaani kwetu asingepata hata wa kusingiziwa cz kila msichana alikua anamuona majanga
Yap mwayaUmeona hilo ndio tatizo kubwa.
Kumbuka huyo huyo jirani anaweza akaja akaolewa na mwanaume hana hata kitu ndio wanaanza maisha, au hapo hapo kazini kwako ukakuta msichana anachukuliwa na mtu sawa na wewe ilia mapenzi sio pesa tu kama unavyodahni, na usifikiri kila mwanamke yuko kipesa, chunguza ndoa nyingi watu wameanza na wako zao kwenye chumba, au nyumba za kupanga mpaka wanakuwa na maisha yao mazuri, waolewaji au wenye nia ya dhati ya kuolewa ni wachache wanaoangali pesa na ndio maana unakuta anaanza na mumewe wakiwa duni, wenye shida ya mabwana wa kuwawezesha ndio huangalia mshiko Zaidi. na wenye mshiko wengi si waowaji au unakuta tayari ameshaoa.Hii inaweza ikawa sababu lakini haina nguvu kwa kuwa wadada waliowengi kwa nyakat hzi za sayansi na teknolojia wanapenda sana maisha rahis rahis anataka kutoka na mtu mwenye pesa wakati unakuta jamaa hana kitu lakini anauwezo wa kumvumilia mpaka atakapopata
Lakini wao huwa hawalioni hilo anachoamini akiwa na mwanaume mwenye pesa hakuna linaloshindikana, ni sawa lakini siku ukiachwa na Mimba juu inakuwa tabu nyingine unaanza kukumbuka nyuma kumbe yule alikuwa akinipenda japo hakuwa na kitu
Kinachomata katika maisha ya kimausiano siku zote ni upendo na kukubaliana na hali ya mwenzako coz ndicho alichojaaliwa na mwenyez mungu kumdharau na kumuona boya ni kumkosea adabu huyu mwenye mapenzi ya dhati kwako take it on your head
Weka mfanoAkina dada nipende kuwashauri kitu kimoja.
Msipende kuwadharau vijana mnaofanyanao kazi ofisi moja na kuwaona wa thamani kubwa watu msiowajua hasa wa kwenye mitandao mkidhani kuwa hao ndio wana maisha bora.
Ukweli ni kwamba akina dada wengi wanatabia ya kuwadharau vijana wanaoishinao wakiamini kwamba watawapata watu wenye sifa wanazozihitaji toka kwenye mitandao ya kijamii.
Matokeo yake kwa sasa kumekuwa na ongezeko kubwa la watoto wasiokuwa na baba au kwa jina maarufu kama watoto wa love connect, wakishazalishwa huko walikokimbilia na kuachwa ndio wanawaona wa thamani kubwa hawa waliowaacha mtaani.
Ushauri kwa wadada acheni tamaa rizikeni na vijana mnao ishi nao kwenye mazingira yenu kwani wengi wao ni watu wenye nia nzuri kwenu.
Umesahau kuwaambia sio wakishakuwa tu na Masihano na mwanaume miezi 3 au mwaka basi anajilengeshea mimba, kwani huyo kakwambia anataka mtoto na hata akikwambia anasomekaa ? sio kila mapenzi mwisho wake baba vs mamaAkina dada nipende kuwashauri kitu kimoja.
Msipende kuwadharau vijana mnaofanyanao kazi ofisi moja na kuwaona wa thamani kubwa watu msiowajua hasa wa kwenye mitandao mkidhani kuwa hao ndio wana maisha bora.
Ukweli ni kwamba akina dada wengi wanatabia ya kuwadharau vijana wanaoishinao wakiamini kwamba watawapata watu wenye sifa wanazozihitaji toka kwenye mitandao ya kijamii.
Matokeo yake kwa sasa kumekuwa na ongezeko kubwa la watoto wasiokuwa na baba au kwa jina maarufu kama watoto wa love connect, wakishazalishwa huko walikokimbilia na kuachwa ndio wanawaona wa thamani kubwa hawa waliowaacha mtaani.
Ushauri kwa wadada acheni tamaa rizikeni na vijana mnao ishi nao kwenye mazingira yenu kwani wengi wao ni watu wenye nia nzuri kwenu.
Bora Mchawi kuliko Mnafiki.Mkuu Hii Kuna Ukwel...Niliwah Zungukwa Na Watu Wanafik Hata Wale Ambao Sikutegmea Ni Wangeweza Kuwa Wanafik Ila Wamekua Wanafik!! Ninachukia Sanaa Hii Tabia Mimi Nachoonyesha Nje Ndicho Hicho Hicho Kilichopo Ndan Ya Moyo Hapa Huwa Nakwaruzana na weng Coz Wanapenda Maisha Unafik Na Kujifanyisha.
Hahahaha...eti anatoa slesiKuna ukweli saaana. Kuna vibinti mnaajiriwa wote na mnapokea sawa mshahara lakini kalivyo na nyodo kama hakaendi choo na kakienda choo kanatoa slesi!
DuuhAkina dada nipende kuwashauri kitu kimoja.
Msipende kuwadharau vijana mnaofanyanao kazi ofisi moja na kuwaona wa thamani kubwa watu msiowajua hasa wa kwenye mitandao mkidhani kuwa hao ndio wana maisha bora.
Ukweli ni kwamba akina dada wengi wanatabia ya kuwadharau vijana wanaoishinao wakiamini kwamba watawapata watu wenye sifa wanazozihitaji toka kwenye mitandao ya kijamii.
Matokeo yake kwa sasa kumekuwa na ongezeko kubwa la watoto wasiokuwa na baba au kwa jina maarufu kama watoto wa love connect, wakishazalishwa huko walikokimbilia na kuachwa ndio wanawaona wa thamani kubwa hawa waliowaacha mtaani.
Ushauri kwa wadada acheni tamaa rizikeni na vijana mnao ishi nao kwenye mazingira yenu kwani wengi wao ni watu wenye nia nzuri kwenu.