Akina Dada wa JF kuweni na huruma basi

Teh teh teh,,
 
Dume la mbegu maana yake rijali ungekuwa mwanamke ungenishawishi nikutumie picha

Lakini we mwanaume mwenzangu hapana
sawa dume la mbegu nimenyoosha mikono juu mwendo wa mateka
 
nakumbusha:hadi sasa hakuna yeyote alokuja PM kwanini lakini
 
ngoja Leo nianze RASMI kuingia PM 😎

NITAFIKA TU WAKUU NA NITALETA MREJESHO MUJARABU KABISA Kama goli la DS15 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…