PNipe ukweli.
Halafu haya maji ya baraka huwa yanapatikana kwa wingi wakati wa Pasaka, na kipindi cha Pasaka kawaida mvua hunyesha, na hapo ndipo huyakinga na kuweka chumvi halafu watu wanagawiwa kwenye vyupa.
Mimi huwa ninatengeneza ya kwangu na huwa ninapata matokeo.Hukingwa kwa usafi
Huwekwa chumvi mbichi
Huombewa kwa mistari maalumu ya zaburi kwa siku 41, katika hali ya purity!,
Usije ukajichotea tu na kuweka chumvi. ๐๐
Wakristo ni mafarisayo sana mnasoma biblia kina Paulo walifanya Miujiza na mnaamini LAKINI akija mtumishi wa Mungu akifanya Miujiza,uponyaji mnamuita mganga mara nfanya mazingaombwe nyie hamna tofauti na waliomsurubisha Yesuโฆโฆ.blind phariseesโฆ..
Acha uongo jumuiya unaenda ili ukitokea msiba kwako ama sherehe upate ushirikiano wa wana RCโฆโฆ.unasemaje unakua kiroho akati ndani yako unajua sio kweliโฆ.umekua kiroho kufika level zip mfano
Naomba kujua Logic behind kuwa nikiwa sihudhurii Jumuiya kila Siku za Jumamosi nikifa Kanisa Katoliki haliji Kunisalia na Kuniombea.
Hivi Mwenyezi Mungu nae mwenye Dini yake na hii Dunia yake yote angekuwa na Vitisho kama hivi vya Kanisa Katoliki kuna Mtu angesalimika?
Hivi Kiimani Mtu wa Mungu anatakiwa atishwe Kipumbavu ( Kipopoma ) kama mfanyavyo RC's au anatakiwa Ashawishiwe na Abembelezwe ili aone Fahari kuwa mwana Jumuiya na Muhudhuriaji?
Sihudhurii Jumuiya zenu kutokana na hili Tishio lenu na ikitokea nimekufa hata kama Kanisa Katoliki litakataa kuja Kunisalia watakaokuwepo Watanisalia na nina uhakika kwa Mema niliyoyafanya hapa duniani nitapokelewa Fasta Sebuleni kwa Mungu Baba huku nyie Wanafiki mkiishia kukaribishwa nje na Stoo huku akisubiria zamu yenu ya Kuchomwa Moto kwa Dhambi zenu mnazozifichia kwa Vazi la Imani Takatifu na Kusali kila mara.
Hahahah, Imani ndio ugonjwa mbaya kabisa wa akili kuwahi kuikumba hii duniaBaadhi yenu baada ya kusikia leo Mwaposa ana Ibada yake ya Mkesha ya Vuka na Chako ( ambayo Demu wangu Kaniwakilisha ) mlivyo na Wivu, Chuki na Roho Mbaya zenu nanyi kwa Makusudi mkaandaa Mikesha yenu ili Waumini wenu wasiende Mkeshani Tanganyika Packers Kawe.
Haya nyie KKKT. Kawe kwa mfano oneni sasa Mlivyoumbuka kwani pamoja nanyi kuandaa Mkesha wenu Usiku huu hadi hivi sasa GENTAMYCINE naandika huu Uzi nachungulia Kanisa lenu naona hakuna Waumini kabisa huku Wanakwaya wenu wakiamza kupiga tu Miayo na wengine Wakitongozana na Walinzi wenu wakiwa Wanalijadili tu na Kulisifia Tamasha la Mwaposa linaloendelea sasa.
RC, KKKT, SDA na Anglican msichokijua tu ni kwamba Utajiri mkubwa wa Waumini wa Mwaposa ni wale waliokuwa Waumini wenu Kimadhehebu hivyo GENTAMYCINE nawaombeni kaeni chini mjiulize mmekosea wapi mpaka Jamaa ( Mwaposa ) amewapigeni na anaendelea Kuwapigeni Bao kwa Kukubalika na Kuaminika Kwake.
Binafsi RC ( Dhehebu langu tukuka ) kama kuna Kitu mnanikwaza GENTAMYCINE ni Kauli yenu ya Kibabe kuwa kama hatuhudhurii Ibada za Jumuiya za kila Jumamosi na hatutoi Michango yenu mnayoibuni kila mkiamka na mkijisikia basi Tukifa wala hamtopoteza muda wenu kuja Kutuombea achilia mbali kuja katika Misiba yetu tukiwa Majenezani tukisubiria kwenda kuyaanza Maisha yetu mapya tukiwa peke yetu chini ya Ardhi / Udongoni.
Haya nyie Wanakwaya wa KKKT Kawe baada ya Mkesha wenu Kudoda / Kuwadodeeni nawashaurini fungeni tu hilo Kanisa lenu na mpelekeeni huo Ufunguo Mchungaji wenu ambaye namuona Kisirisiri ( kwa Kumchungulia ) nae akiwa glued katika Tv yake iliyo Ukutani akifuatilia Mubashara kabisa Mkesha wa Mwaposa wa Vuka na Chako.
Hakika Mwaposa anawanyoosheni!!
Yeah!...Ila tunaamini kwenye ubatizo wa maji mengi tena baada ya mtu kuamini na kuokoka.Mkuu PEFA, FPCT, TAG, ELIM na PHM wanabatiza kwa utatu Mtakatifu.
Acha upumbavu, mafuta anauza buku tuu tena hadharani na keki wanakula bure tunaona kwenye tv ya arise and shine. Uongo unakusaidia nini?Kwa Mwamposa waumini 90 % ni wanawake.
Wanawake ni rahisi sana kuwakamata vichwa kwa mambo ya miujiza, kwa kulijua hili watu wa mazingaombwe wamejipenyeza makanisani kuwawehua wanawake, wanawake wengi wana vichwa vyepesi sana mambo ya imani
Mafuta yanauzwa laki, Keki ya upako inauzwa sh ngap ๐ ๐
Leta tuKukosa maarifa na kutokufahamu undani wa mambo ni janga, wengi hufuata maji ya marangu water fall, mpaka wazungu "I don't know the secret of that water, lakini kwa dondoo kidogo yana tabia ya ku re new!, infact unakuwa mtu mpya,na matakataka yanakukaa pembeni!
-YAPO MENGI NATAMANI KUYAWEKA HAPA LAKINI HUENDA YAKAARIBU MIFUMU YA MANABII WETU HAWA WAPI (WAKISASA)
*LAY UNTO YOUR TRUTH LORD, TOA DHAKA NA SADAKA, HUTAPUNGUKIWA!
AMEN.
Hapo ndipo sanaa inapoanzia!Ni kweli wajifunze, watu wanataka kusikia neno na kuona Mungu na nguvu zake...
Wakae na ujinga wao...wanajifanya wao ndio Deputy Mungu.Baadhi yenu baada ya kusikia leo Mwaposa ana Ibada yake ya Mkesha ya Vuka na Chako ( ambayo Demu wangu Kaniwakilisha ) mlivyo na Wivu, Chuki na Roho Mbaya zenu nanyi kwa Makusudi mkaandaa Mikesha yenu ili Waumini wenu wasiende Mkeshani Tanganyika Packers Kawe.
Haya nyie KKKT. Kawe kwa mfano oneni sasa Mlivyoumbuka kwani pamoja nanyi kuandaa Mkesha wenu Usiku huu hadi hivi sasa GENTAMYCINE naandika huu Uzi nachungulia Kanisa lenu naona hakuna Waumini kabisa huku Wanakwaya wenu wakiamza kupiga tu Miayo na wengine Wakitongozana na Walinzi wenu wakiwa Wanalijadili tu na Kulisifia Tamasha la Mwaposa linaloendelea sasa.
RC, KKKT, SDA na Anglican msichokijua tu ni kwamba Utajiri mkubwa wa Waumini wa Mwaposa ni wale waliokuwa Waumini wenu Kimadhehebu hivyo GENTAMYCINE nawaombeni kaeni chini mjiulize mmekosea wapi mpaka Jamaa ( Mwaposa ) amewapigeni na anaendelea Kuwapigeni Bao kwa Kukubalika na Kuaminika Kwake.
Binafsi RC ( Dhehebu langu tukuka ) kama kuna Kitu mnanikwaza GENTAMYCINE ni Kauli yenu ya Kibabe kuwa kama hatuhudhurii Ibada za Jumuiya za kila Jumamosi na hatutoi Michango yenu mnayoibuni kila mkiamka na mkijisikia basi Tukifa wala hamtopoteza muda wenu kuja Kutuombea achilia mbali kuja katika Misiba yetu tukiwa Majenezani tukisubiria kwenda kuyaanza Maisha yetu mapya tukiwa peke yetu chini ya Ardhi / Udongoni.
Haya nyie Wanakwaya wa KKKT Kawe baada ya Mkesha wenu Kudoda / Kuwadodeeni nawashaurini fungeni tu hilo Kanisa lenu na mpelekeeni huo Ufunguo Mchungaji wenu ambaye namuona Kisirisiri ( kwa Kumchungulia ) nae akiwa glued katika Tv yake iliyo Ukutani akifuatilia Mubashara kabisa Mkesha wa Mwaposa wa Vuka na Chako.
Hakika Mwaposa anawanyoosheni!!
Nimefuatilia kujiridhisha kuhusu Mwamposa kuuza mafuta, maji, keki ya upako.Kwa Mwamposa waumini 90 % ni wanawake.
Wanawake ni rahisi sana kuwakamata vichwa kwa mambo ya miujiza, kwa kulijua hili watu wa mazingaombwe wamejipenyeza makanisani kuwawehua wanawake, wanawake wengi wana vichwa vyepesi sana mambo ya imani
Mafuta yanauzwa laki, Keki ya upako inauzwa sh ngap ๐ ๐