Akina RC, KKKT, SDA na Anglican msimchukie tu Mwamposa, bali jiulizeni mmekosea wapi na kawazidi nini sawa?

Akina RC, KKKT, SDA na Anglican msimchukie tu Mwamposa, bali jiulizeni mmekosea wapi na kawazidi nini sawa?

Nipe ukweli.

Halafu haya maji ya baraka huwa yanapatikana kwa wingi wakati wa Pasaka, na kipindi cha Pasaka kawaida mvua hunyesha, na hapo ndipo huyakinga na kuweka chumvi halafu watu wanagawiwa kwenye vyupa.
P
Hukingwa kwa usafi
Huwekwa chumvi mbichi
Huombewa kwa mistari maalumu ya zaburi kwa siku 41, katika hali ya purity!,
Usije ukajichotea tu na kuweka chumvi. 😁😁
Mimi huwa ninatengeneza ya kwangu na huwa ninapata matokeo.
 
Wakristo ni mafarisayo sana mnasoma biblia kina Paulo walifanya Miujiza na mnaamini LAKINI akija mtumishi wa Mungu akifanya Miujiza,uponyaji mnamuita mganga mara nfanya mazingaombwe nyie hamna tofauti na waliomsurubisha Yesu…….blind pharisees…..

Paulo alifanya miujiza sio mazigaombwe.
 
Acha uongo jumuiya unaenda ili ukitokea msiba kwako ama sherehe upate ushirikiano wa wana RC…….unasemaje unakua kiroho akati ndani yako unajua sio kweli….umekua kiroho kufika level zip mfano

Wewe ndio unawaza hivyo. Jumuiya hazijaanza Leo Wala Jana. Zilikuwepo tangu 1920 hapa Tanganyika.
 
Naomba kujua Logic behind kuwa nikiwa sihudhurii Jumuiya kila Siku za Jumamosi nikifa Kanisa Katoliki haliji Kunisalia na Kuniombea.

Hivi Mwenyezi Mungu nae mwenye Dini yake na hii Dunia yake yote angekuwa na Vitisho kama hivi vya Kanisa Katoliki kuna Mtu angesalimika?

Hivi Kiimani Mtu wa Mungu anatakiwa atishwe Kipumbavu ( Kipopoma ) kama mfanyavyo RC's au anatakiwa Ashawishiwe na Abembelezwe ili aone Fahari kuwa mwana Jumuiya na Muhudhuriaji?

Sihudhurii Jumuiya zenu kutokana na hili Tishio lenu na ikitokea nimekufa hata kama Kanisa Katoliki litakataa kuja Kunisalia watakaokuwepo Watanisalia na nina uhakika kwa Mema niliyoyafanya hapa duniani nitapokelewa Fasta Sebuleni kwa Mungu Baba huku nyie Wanafiki mkiishia kukaribishwa nje na Stoo huku akisubiria zamu yenu ya Kuchomwa Moto kwa Dhambi zenu mnazozifichia kwa Vazi la Imani Takatifu na Kusali kila mara.

Kama huwezi kufuata masharti ya RC tafuta dhehebu jingine linalokufaa ambalo utakuwa mshirika jina tu.
 
Baadhi yenu baada ya kusikia leo Mwaposa ana Ibada yake ya Mkesha ya Vuka na Chako ( ambayo Demu wangu Kaniwakilisha ) mlivyo na Wivu, Chuki na Roho Mbaya zenu nanyi kwa Makusudi mkaandaa Mikesha yenu ili Waumini wenu wasiende Mkeshani Tanganyika Packers Kawe.

Haya nyie KKKT. Kawe kwa mfano oneni sasa Mlivyoumbuka kwani pamoja nanyi kuandaa Mkesha wenu Usiku huu hadi hivi sasa GENTAMYCINE naandika huu Uzi nachungulia Kanisa lenu naona hakuna Waumini kabisa huku Wanakwaya wenu wakiamza kupiga tu Miayo na wengine Wakitongozana na Walinzi wenu wakiwa Wanalijadili tu na Kulisifia Tamasha la Mwaposa linaloendelea sasa.

RC, KKKT, SDA na Anglican msichokijua tu ni kwamba Utajiri mkubwa wa Waumini wa Mwaposa ni wale waliokuwa Waumini wenu Kimadhehebu hivyo GENTAMYCINE nawaombeni kaeni chini mjiulize mmekosea wapi mpaka Jamaa ( Mwaposa ) amewapigeni na anaendelea Kuwapigeni Bao kwa Kukubalika na Kuaminika Kwake.

Binafsi RC ( Dhehebu langu tukuka ) kama kuna Kitu mnanikwaza GENTAMYCINE ni Kauli yenu ya Kibabe kuwa kama hatuhudhurii Ibada za Jumuiya za kila Jumamosi na hatutoi Michango yenu mnayoibuni kila mkiamka na mkijisikia basi Tukifa wala hamtopoteza muda wenu kuja Kutuombea achilia mbali kuja katika Misiba yetu tukiwa Majenezani tukisubiria kwenda kuyaanza Maisha yetu mapya tukiwa peke yetu chini ya Ardhi / Udongoni.

Haya nyie Wanakwaya wa KKKT Kawe baada ya Mkesha wenu Kudoda / Kuwadodeeni nawashaurini fungeni tu hilo Kanisa lenu na mpelekeeni huo Ufunguo Mchungaji wenu ambaye namuona Kisirisiri ( kwa Kumchungulia ) nae akiwa glued katika Tv yake iliyo Ukutani akifuatilia Mubashara kabisa Mkesha wa Mwaposa wa Vuka na Chako.

Hakika Mwaposa anawanyoosheni!!
Hahahah, Imani ndio ugonjwa mbaya kabisa wa akili kuwahi kuikumba hii dunia
 
Mkuu PEFA, FPCT, TAG, ELIM na PHM wanabatiza kwa utatu Mtakatifu.
Yeah!...Ila tunaamini kwenye ubatizo wa maji mengi tena baada ya mtu kuamini na kuokoka.

Hatubatizi watoto wachanga.
 
Kwa Mwamposa waumini 90 % ni wanawake.

Wanawake ni rahisi sana kuwakamata vichwa kwa mambo ya miujiza, kwa kulijua hili watu wa mazingaombwe wamejipenyeza makanisani kuwawehua wanawake, wanawake wengi wana vichwa vyepesi sana mambo ya imani

Mafuta yanauzwa laki, Keki ya upako inauzwa sh ngap 😅 😅
Acha upumbavu, mafuta anauza buku tuu tena hadharani na keki wanakula bure tunaona kwenye tv ya arise and shine. Uongo unakusaidia nini?
 
Huyu popoma juzi kasema kwenye mkesha wa cow way mademu wanaenda kujiuza kwa buku sasa kajisahau kapeleka demu wake akajiuze!
Huyu kalaaniwa nilisema.
 
Kukosa maarifa na kutokufahamu undani wa mambo ni janga, wengi hufuata maji ya marangu water fall, mpaka wazungu "I don't know the secret of that water, lakini kwa dondoo kidogo yana tabia ya ku re new!, infact unakuwa mtu mpya,na matakataka yanakukaa pembeni!
-YAPO MENGI NATAMANI KUYAWEKA HAPA LAKINI HUENDA YAKAARIBU MIFUMU YA MANABII WETU HAWA WAPI (WAKISASA)
*LAY UNTO YOUR TRUTH LORD, TOA DHAKA NA SADAKA, HUTAPUNGUKIWA!
AMEN.
Leta tu

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Baadhi yenu baada ya kusikia leo Mwaposa ana Ibada yake ya Mkesha ya Vuka na Chako ( ambayo Demu wangu Kaniwakilisha ) mlivyo na Wivu, Chuki na Roho Mbaya zenu nanyi kwa Makusudi mkaandaa Mikesha yenu ili Waumini wenu wasiende Mkeshani Tanganyika Packers Kawe.

Haya nyie KKKT. Kawe kwa mfano oneni sasa Mlivyoumbuka kwani pamoja nanyi kuandaa Mkesha wenu Usiku huu hadi hivi sasa GENTAMYCINE naandika huu Uzi nachungulia Kanisa lenu naona hakuna Waumini kabisa huku Wanakwaya wenu wakiamza kupiga tu Miayo na wengine Wakitongozana na Walinzi wenu wakiwa Wanalijadili tu na Kulisifia Tamasha la Mwaposa linaloendelea sasa.

RC, KKKT, SDA na Anglican msichokijua tu ni kwamba Utajiri mkubwa wa Waumini wa Mwaposa ni wale waliokuwa Waumini wenu Kimadhehebu hivyo GENTAMYCINE nawaombeni kaeni chini mjiulize mmekosea wapi mpaka Jamaa ( Mwaposa ) amewapigeni na anaendelea Kuwapigeni Bao kwa Kukubalika na Kuaminika Kwake.

Binafsi RC ( Dhehebu langu tukuka ) kama kuna Kitu mnanikwaza GENTAMYCINE ni Kauli yenu ya Kibabe kuwa kama hatuhudhurii Ibada za Jumuiya za kila Jumamosi na hatutoi Michango yenu mnayoibuni kila mkiamka na mkijisikia basi Tukifa wala hamtopoteza muda wenu kuja Kutuombea achilia mbali kuja katika Misiba yetu tukiwa Majenezani tukisubiria kwenda kuyaanza Maisha yetu mapya tukiwa peke yetu chini ya Ardhi / Udongoni.

Haya nyie Wanakwaya wa KKKT Kawe baada ya Mkesha wenu Kudoda / Kuwadodeeni nawashaurini fungeni tu hilo Kanisa lenu na mpelekeeni huo Ufunguo Mchungaji wenu ambaye namuona Kisirisiri ( kwa Kumchungulia ) nae akiwa glued katika Tv yake iliyo Ukutani akifuatilia Mubashara kabisa Mkesha wa Mwaposa wa Vuka na Chako.

Hakika Mwaposa anawanyoosheni!!
Wakae na ujinga wao...wanajifanya wao ndio Deputy Mungu.
 
Kwa Mwamposa waumini 90 % ni wanawake.

Wanawake ni rahisi sana kuwakamata vichwa kwa mambo ya miujiza, kwa kulijua hili watu wa mazingaombwe wamejipenyeza makanisani kuwawehua wanawake, wanawake wengi wana vichwa vyepesi sana mambo ya imani

Mafuta yanauzwa laki, Keki ya upako inauzwa sh ngap 😅 😅
Nimefuatilia kujiridhisha kuhusu Mwamposa kuuza mafuta, maji, keki ya upako.
Siyo kweli hauzi na yupo live kwenye Media sasa acha uongo wa shetani toa ushahidi wapi umeona anauza mafuta laki? Jumapili ijayo katangaza kula keki ya upako umesikia atauza bei gani?

Mimi siyo Mwamposa ila niliamua kupata ukweli, ila huyu jamaa kafanikiwa sana na kasema anayetaka hela za sadaka nae afunge turubai aite watu wakampe sadaka.
 
Kwa taarifa yako hayo makanisa yanayo milikiwa na mtu mmoja mmoja chunguza uhai wake toka yaanzishwe na yalipo kwa sasa hata huyo mwamposa ni muda wake huu ila kuna muda unakuja hutomsikia zaidi ya kuuliza alipotelea wapi? (Kakobe, Kulola, Malisa, na wengine uwajuao waliovuma kipindi chao kwa sasa ni vipi?)

Lakini fatilia KKK, RC, SDA ni miaka mingapi toka waanzishe hayo makanisa yao kabla hata ya uhuru wa Tanzania zaidi yanazidi kutanua matawi yao.
Lakini hayo makanisa ya kumilikiwa na mtu mmoja mmoja ndo hivyo yeye ndo kila kitu(kusema, utaratibu wa ibada, utunzaji fedha umiliki wa mali)
Na hata usomaji wa biblia yeye ndo anajua kufafanua mafungu ya kwenye biblia wengine hakuna kitu zaidi kupelekeshwa kama ng’ombe!

Hata habari ya wokovu na kuacha dhambi kwenye hayo makanisa hakuna ni miujiza na utajiri ndo mahubiri yao.
(Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa)
 
Back
Top Bottom