Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bara bara kabisa ndugu mtangazaji . Hana pumzi ya kusimama 2025. ...Bado hata sindano hazijaanza kumwingia kashaweweseka.Niwahakikishie tu kutoka huko jikoni ndani kabisa.
2025 anaachia ngazi, washauri wameshamusihi iwe hivyo; Baadhi ya wanufaika na uwepo wake wanamtaka asiachie ngazi.
Nami nasema; Akisimama tu narudisha kadi.
Kwako Mwalimu KASHASHA - r.i.p
Unaongelea nani? Wewe nani hata CCM ikupaparikie, wameondoka kina Lowasa na wakarudi, itakuwa wewe unayejificha nyuma ya keyboard?Niwahakikishie tu kutoka huko jikoni ndani kabisa.
2025 anaachia ngazi, washauri wameshamusihi iwe hivyo; Baadhi ya wanufaika na uwepo wake wanamtaka asiachie ngazi.
Nami nasema; Akisimama tu narudisha kadi.
Kwako Mwalimu KASHASHA - r.i.p
Huna msimamo wewe wala uelekeo. Yaani hadi 2025?Niwahakikishie tu kutoka huko jikoni ndani kabisa.
2025 anaachia ngazi, washauri wameshamusihi iwe hivyo; Baadhi ya wanufaika na uwepo wake wanamtaka asiachie ngazi.
Nami nasema; Akisimama tu narudisha kadi.
Kwako Mwalimu KASHASHA - r.i.p
DAH. Ila wewe.Unaongelea nani? Wewe nani hata CCM ikupaparikie, wameondoka kina Lowasa na wakarudi, itakuwa wewe unayejificha nyuma ya keyboard?
CCM haitegemei kura za wenye kadi za CCM pekee, kama ulikuwa huelewi basi leo umeelewa.
Kitu usichoelewa ni kuwa Serikali ya mama Samia anfata sera za CCM, ntaisahihisha kama itatoka nje ya sera za CCm.DAH. Ila wewe.
Ni itu gani serikali ya Samia itafanya hadi wewe uje hapa uisahihishe?. Nahisi wewe kila kitu ni ndio.
Natabiri hadi 2025 utakuwa umeshachoka kuisifia kila ikifanya jambo la kiboya.
Uwaziri atampa nani? Huyo apelekwe hospitali ya wehu.Huyu atawagawa wapiga kura.
Huyu aje awe waziri fulani inatosha. Kwenye Urais kura zitagawanyika mno.
Wapi CCM imeandika itagawa mali asili za nchi?Kitu usichoelewa ni kuwa Serikali ya mama Samia anfata sera za CCM, ntaisahihisha kama itatoka nje ya sera za CCm.
Umeelewa?
Acha izo yaani unakua kama Ney na Roma mkatoliki hadi kitokee usichokipenda ndio unapata kuimba.Wakati ni hakimu mzuri.
Huyu atawagawa wapiga kura.
Huyu aje awe waziri fulani inatosha. Kwenye Urais kura zitagawanyika mno.
Kuna team yake inasubiri kwa hamu ....!Huna msimamo wewe wala uelekeo. Yaani hadi 2025?
Sasa unasubiri nini na unang'ang'ania nini hadi sasa?
Sio presidential material lakini pia atakua miongoni mwa mawaziri Mizigo mnoHuyu atawagawa wapiga kura.
Huyu aje awe waziri fulani inatosha. Kwenye Urais kura zitagawanyika mno.
makuwadi ya samia na warabu koko dpworld mwambien mamayenu kanda ya ziwa wamepanga kumtoa nyongo kwenye uchaguz 2025 na nyie wapiga zumari mtanyooshwa mpaka mtie adabu.Uwaziri atampa nani? Huyo apelekwe hospitali ya wehu.
makuwad ya warabu yamechanganyikiwa.Sio presidential material lakini pia atakua miongoni mwa mawaziri Mizigo mno