FANALEKI
JF-Expert Member
- Jul 28, 2023
- 237
- 438
Siasa za afrika ni ujuha mtupu. Mm sio mwana siasa na sina chama ila CCM ni wezi lipo waziVyovyote utavyofikiri ni sawa.
Miaka yote uibiwe wewe tu? Utakuwa ni poyoyo wa hali ya juu kama unashindwa kulinda haki yako.